Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kuna Forex Cheat Sheet naiandaa. Inaonesha jinsi gani pairs zinavyo correlate na news gani zina affect pair zipi. Nikimaliza ntaishare humu.

WP_20170702_001.jpg
 
Kwa jinsi mie nilivyo na roho mbaya kana kwamba nimekula vidonge aina ya TAKUKURUEQUININE sidhani kama ningeweza kuleta haya madini hapa endapo ningekua mjuzi wa hili game.So ngoja mie niendelee kuisaka RUPIA ya mjerumani tu sasa maana hakuna namna!
 
Download link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zip
File size: 39mb

Books Uploaded

1. AstroFX Training Book
2. Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading
3. The Forex Bible
4. Forex Godfather Elite - Mpangilio wake nikama wa Babypips .COM
Asante sanaa mkuu stay blessed and all the best ngoja nipitie haya madini
 
Katika analysis naona kama pair ya EUR/USD wiki inayoanza(kesho) itaanza na bullish japokuwa itakuwa inapanda slow slow...
Au mnaonaje wadau?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kweli hapo umedhihirisha una haraka mkuu!!

Sizani kama ni muda muhafaka wa kuanza na trial/demo accounts!

Kama una kitabu cha forex for dummies, tafuta cha bible of forex kipo humu na kizuri sana, pia kuna cha stro fx na naked forex!! nadhan Mwl.RCT atatusaidia kukupatia u-download!!

Ukienda vizuri na hivi vitabu wala hutakua na swali kama la kwenye bold!!

Karibu sana mkuu!
Mkuu nimepata vitabu vyote je kuna mtiririko wowote napaswa kufuata kwamba nianze na kitabu fulani au naweza kuanza na chochote cha msingi ni kuelewa
 
Kila nikipiga hesabu naiona EURO inapanda dhidi ya dollar... Wazee wa kuuza dollar na kununua Euro kazi kwenu kuanzia kesho,
mwenye maoni ya utofauti anakaribishwa
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kwa upande wa Wese(oil) naona bado haina dalili ya kudrop,
ila kwangu mimi siwezi kutia mguu hayo maeneo, labda kuanzia jumanne.
So Bullish kwenye Oil kama kawaida
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu ONTARIO shukrani sana kwa hii elimu , haya makitu nilikua nayaona kwenye muvi zangu pendwa za wamarekani . machalii wadogo wadogo wako geto wanacheki hayo machat yakipanda na kushuka wanashangilia wakipiga hela . nikubali kua umetupita sana kwa mengi baadhi ya vijana kwa wazee tuliopo jukwaa hili . simaanishi kwa kipato bali kwa uthubutu wa kujaribu . hii kitu wengi hatuna . kutokana na bango lako umesema hujibu PM hivyo nakuandikia hapa . mm nataka kujifunza mengi sana toka kwako ila somo la kwanza sitaki liwe forex japo napenda zaidi ya sana hii kitu . kama ulivyosema hii ni game ya big boys . yet am not big enough to enter . OMBI LANGU . take me in as ua hench man , nipe test , ni train . ukiona nafaa nichukue . Naomba unijibu hapa usije PM
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Mkuu na mimi nisaidie hivyo vitabu kwanza 0754744177 WhatsApp 0786744177
 
Kwahiyo itafaa kwa forex, mana cjajua kama unaweza kupokelea mpunga au ni kufanyia manunuzi tu.

Binafsi cash card ya BancABC nimenunulia vitu mitandaoni na pia nishawahi kupokelea pesa toka nje ya nchi kwa kutumia Master/Visa method. Ila haikuwa Forex related stuffs, zilikuwa ni other stuffs zisizohusiana na forex. Ila whatever Forex got, this BancABC thing, must be able to comply with forex transactions. Ingawaje mpaka sasa sijafanya deposit/transaction yoyote inayohusiana na forex.

But i am determined using the same cash card in forex transactions.
 
Wadau za WeekEnd

Hiv ni broker gani mzur kat ya hawa. Tradesway, Tickmill, MB Trading? Thank U.
 
Msaada wenu wakuu...Tutorial page gani youtube itanifaa mm begginer katika kuelewa haya mambo
cc Ontario, Bavaria and Co
 
Kwa upande wa Wese(oil) naona bado haina dalili ya kudrop,
ila kwangu mimi siwezi kutia mguu hayo maeneo, labda kuanzia jumanne.
So Bullish kwenye Oil kama kawaida
Aisee MT4 yangu mbona sioni oil.? Au ipo sehem gani nielekezwe chief
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom