Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu nimepata vitabu vyote je kuna mtiririko wowote napaswa kufuata kwamba nianze na kitabu fulani au naweza kuanza na chochote cha msingi ni kuelewa
No vyote ni vya beginners! Walitushauri tuanze na forex for dummies ila kwa mtazamo wangu "forex bible" kiko very straight kikifwatiwa na cha astrofx!! All in all you check what suits u the most mkuu maana vyote viko vizuri!!

Karibu!!
 
Wadau za WeekEnd

Hiv ni broker gani mzur kat ya hawa. Tradesway, Tickmill, MB Trading? Thank U.
Labda tuanze na hili...

Unajua maana halisi ya ECN/STP na market markers??

Kama unajua tofauti na sifa za ecn/stp na market makers na kama utakua na basics za forex itakua rahisi sana kwako kuchagua broker yupi atakufaa kati ya hao!!

Inshort ni ngumu kupewa jibu la moja kwa moja maana kila broker ana pros and cons zake!!
 
Aisee MT4 yangu mbona sioni oil.? Au ipo sehem gani nielekezwe chief
Mara nyingi mt4 ni special kwa forex (may be na stocks am not sure) ila kama unataka hizo oil ...gold and the alike tafuta broker anaye support mt5 maana zote hizo zipo kwenye platform ya mt5 na sio mt4!!
 
Nawaelewa vzur. Nmesoma kuhs Tradesway wamenivutia kuanza nao mana minimum n $10.
 
Mara nyingi mt4 ni special kwa forex (may be na stocks am not sure) ila kama unataka hizo oil ...gold and the alike tafuta broker anaye support mt5 maana zote hizo zipo kwenye platform ya mt5 na sio mt4!!
Duhhh kumbe mpk mt5.. dahhh afu hii sina..
 
Nawaelewa vzur. Nmesoma kuhs Tradesway wamenivutia kuanza nao mana minimum n $10.
Wako mpaka ambao minimum deposit ni 1dolla wengine 5dolla!! Kuangalia tu min deposit sizan kama inatosha!

Pitia hizi terms...ECN/STP na market marker brokers!! Utapata mwanga zaidi!
 
Kwa hiyo mkuu hii MT4 yangu niachane nayo mkuu..coz haina oil
Ni lazima ujue hili....japo sio famous kama mt4 ila mt5 ina features zote za mt4 plus hizo gold na oil!! So its all up to u mkuu!!

Japo lazima ujue pia...

Kama unatumia broker ambaye ha support mt5 then hutaweza itumia!!

Kama umefungua account inayobase kwenye mt4 tu pia hutaweza tumia mt5!!

Ila kama unatumia demo its simple...download mt5 then fungua demo mpya!!

Karibu!
 
Ni lazima ujue hili....japo sio famous kama mt4 ila mt5 ina features zote za mt4 plus hizo gold na oil!! So its all up to u mkuu!!

Japo lazima ujue pia...

Kama unatumia broker ambaye ha support mt5 then hutaweza itumia!!

Kama umefungua account inayobase kwenye mt4 tu pia hutaweza tumia mt5!!

Ila kama unatumia demo its simple...download mt5 then fungua demo mpya!!

Karibu!
Nmekupata chief
 
Aisee MT4 yangu mbona sioni oil.? Au ipo sehem gani nielekezwe chief
Hapo ndio kuna utofauti kati ya broker na broker, among other things lazima uangalie services ambazo broker wako Anakupa. Mfano, mimi broker wangu wa sasa ambae nimefunga nae ndoa ya madhabahuni ananipa karibu kila kitu kama US equities mfano Apple, Amazon, Bank of America, America express, BlackBerry, Chevron, FedEx, IBM, mastercard, Netflix, Nike, Vodafone, Verison, Walmart, Qualcomm, Visa, Pepsi, Coke, Yahoo, ExxonMobil, Microsoft, Goldman Sachs, Ebay, FB, Google, Chevron, JP Morgan nk nk. Ananipa CDF index (.DXA), Future CDF kama copper na silver, Ananipa Indices za NASDAC na S&P500 hata UK500, yani options ni nyingi nyingi - kama currencies zinazokuja kwa kasi mfn USDZAR na USDMXN.

Pia kitu cha kuangalia zaidi ni spreads, unahitaji broker mwenye spread nyembamba sana kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kutoka kwa ECN. mfn mimi broker wangu nikitrade OIL nahitaji pips 2 tu kua in deep [emoji838] . Afu nilikuja kugundua XM ni broker mmoja muhuni sana, japo siwezi kusema ni mbaya sana. Saa zingine anaweza akadelay kufungua/kufunga potision yako hivyo akakupunguzia faida ama akakuongezea hasara. Kuna siku zingine (ijumaa) broker anafunga platform ht kabla muda haujafika.

But all in all - skills and trading psychology ndio vinamatter. Ukiwa na hivyo hii game unakua unatereza tu bila kujali factors zingine zilizo nje ya uwezo wako.

8b54dc485b769c8e02185fb2e5a68b35.jpg
 
joining form kwamba training does guarantee success in Forex trading, trade at your own risk
emoji23.png
Naamini ulikusudia "does not guarantee" ......

shida ya vitabu vingi ni lugha korofi iliyotumika mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom