Acha hoja nyepesi na kulalamika kama upinzani Wa tanzania,leta mbadalaUmemuandikia Ontario alafu unaweka Cc to Ontario! Umeshamuandikia sasa copy kwa Ontario ya nini? Ontario ataona haufai kufundishwa.. ndiyo nyiye wa "syllabus za kibongo" kama alivyosema Ontario, miaka 20 ukimaliza kusomeshwa bado huelewi unatoka mweupe!
Mambo ya forex trading yanaitaji commitment, focus, time, knowledge, enough fund to loose na akili iliyo sawazika, ama sivyo utakufa kifo cha miguu juu kama mende! Utaikimbia mwenyewe forex trading lakini broker mwenzako atakuwa anadunda!
Una trade na broker gani ndg?Even 10$,you can start
Hakupi jibu huyo! [emoji23]Una trade na broker gani ndg?
Sometimes brokers wana influence market. Refer market marker broker!!
Nashukuru kwa ushauri wako "to be kind" and i have not been kind. Naona kuchukiwa kwangu kumefika mbinguni katika uzi huu. Kuanzia leo nang'atuka na wala hamtonisikia tena nikichangia negativity yeyote kama mnavyodai.Mkuu Mberoya
Sikuwa na mpango wa kuingilia kati your agenda... Lakn Mkuu your going too far..!
Unadai kwamba Wakuu humu hawaitaji constructive arguements.. Atleast stand on your words..!!
Calling people waongo na kumfananisha na vichaa ili kwamba tuwapuuze bila uthibitisho wowote is that
constructive Mkuu kama unavyojipambanua....??? OR insulting your fellow members...?
Kwa nini usingethibitisha uongo wao na ukichaa wao kwa ushaidi ulionao..??? You would have been constructive..!
Ukishindwa, basi ujue your no longer constructing but destructing...! Na yamkini unajua au hujui pia...!!
Mkuu what your doing its not funny kabisaa..! Najua your a grown person, mtu na maisha yake, na umeenda shule(hapa kuna mawili).
Ukiona majority of people wanakukosoa jaribu kujichunguza kwa makini kwa sbb kuna kitu kwako hakijakaa sawa..
Stop conflicting yourself and others bro...!
TRY TO BE KIND
Ndio maana nikasema "sometimes"!!Not to that extent, kama asilimia ni 0.01%, hizo zingine zilizobaki zinabaki kuwa kubase katika demand na supply. That is the golden rule.
Thanks Mkuu,Nashukuru kwa ushauri wako "to be kind" and i have not been kind. Naona kuchukiwa kwangu kumefika mbinguni katika uzi huu. Kuanzia leo nang'atuka na wala hamtonisikia tena nikichangia negativity yeyote kama mnavyodai.
Najiondoa kwa amani nitakuwa naendelea kujifunza tu. Kwa wale niliowakwaza tusameheane. Adios Amigo![emoji22] [emoji24] [emoji24]
we Jamaa kilaza saaana yaaniYaani huelewi? Ukimu win broker ana maana ukimpa broker rushwa...mambo yakibongo bongo babuu!
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Soma uzi taratibu uelewe kila kitu kime wekwa wazi umu uki fata akili za uyu jamaa mberoya utapotea bure!! hana mchango wowote umu zaidi ya kutu kejeli kweny huu uziReally elfu saba???
Sent from my TECNO 8H using JamiiForums mobile app
You are forgiven.. Farewell bro!!Nashukuru kwa ushauri wako "to be kind" and i have not been kind. Naona kuchukiwa kwangu kumefika mbinguni katika uzi huu. Kuanzia leo nang'atuka na wala hamtonisikia tena nikichangia negativity yeyote kama mnavyodai.
Najiondoa kwa amani nitakuwa naendelea kujifunza tu. Kwa wale niliowakwaza tusameheane. Adios Amigo![emoji22] [emoji24] [emoji24]
Hii ni live? hongera
Hongera mkuuSoma+mazoez... mdogo mdogo vinaanza ingia
kwenye account ilikua 2000, nimejarb kutia hasara wee ili ipungue ikawa mtihan, nimeakaamua kuachia hapo hapoHongera mkuu
Umeanza kutrade na $ ngapi?
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Really elfu saba???
Sent from my TECNO 8H using JamiiForums mobile app[/anakudanganya huyo kwa nini usisome huu uzi wote mbona wadau wameongelea hiloQUOTE]