Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
These stuffs are more tangible and real, could you please emphasise more on these mkuu.

Regards
Mkuu Kuna post moja ulisema unaachana na kilimo, au Ndio unajiandaa andaa? MIMI NDIE YULE MUHENGA NILIYESEMA "KAMA MNATAKA MALI MTAZIPATA SHAMBANI"
 
Bible of forex MSAADA PAGE YA ngapi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Bible of forex MSAADA PAGE YA ngapi

Post sent using JamiiForums mobile app
hii ni kwa kiswahili soko la hisa au biashara ya kuangalia thamni ya kitu hiwe pesa,bizaa,nchi,uchumi,siasa n.k.kumbuka kuwa wahenga wana sema.anaye kupandisha ndiye anaye kishusha.basi forex ndivyo ana tumia

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Vizuri sana mkuu kilimo kina lipa ukiwa serious pia nichukue fursa hii kuwaambia tu wana member Magroup mnayojiundia huko ya WhatsApp mkitapeliwa msije kusema huku jukwaani.Watanzania hawako serious kabisa unajisajili kushiriki coz isitoshe na kulipa utalipa MTU humjui ofisi hujui iko wapi asee kuweni serious Why watu wanakuwa wazembe hivi we ulipie kusoma then itakusaidia nn akati hata Broker humjui ni nan na majukum yake asee watu hawataki kufungua vichwa waelewe cjui kwa nn ma group haya uki challenge unaondolewa niliingia kudukua kinachoendelea huku siku so nyingi watu watapigwa kimjini.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
 
You don't know anything mawazo finyuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ni lianza na usd 7 ndani ya mwezi mmoja ni mefikisha usd 36 na nikaweza nunua kadi na kutumia kupitia mashine yoyote
Waswahili bwana mnatabu! Kwahiyo $36 ikakuwezesha kupata kadi ambayo inaonyesha ni prepaid? Inaonekana wengi humu hamuelewi nini ni Forex Trading kwa kukurupuka tu bila kujifunza ipasavyo. Ebu tu enlighten kidogo kuhusu hiyo kadi. Wenye hiyo kadi ni nani?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ficha ID yako mkuu au umeamua Ku disclose
Afiche ID wakati ina usd36 au zitakuwa zimeshaliwa by now! Na id gani hisiyo na sura!? There is nothing to hide there for Christ sake!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
I'm back msema kweli mpenzi wa Mungu! Magufuli oyeeee!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
we kijamaaaaa chenga sanaaaa
unataka kuona ameshika Jembe ndo uone kama jamaa analima au??


Una wivu ulio pitiliza aisee au wewe ni jinsia ''ke"?

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

pitia pitia huo uzi ukutoe tongo tongo izo kiazi ww!!
I'm back msema kweli mpenzi wa Mungu! Magufuli oyeeee!

Post sent using JamiiForums mobile app


Sent from my iphone 6s using Jamii Forum Mobile app
 
Ontario, natamani uanzishe mpango wa kututumia signals kisha tuwe tunalipia!
Ni mwendo wa kusema uza/nunua

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ontario, natamani uanzishe mpango wa kututumia signals kisha tuwe tunalipia!
Ni mwendo wa kusema uza/nunua

Post sent using JamiiForums mobile app
Broker atakushauri vipi uhuze au ununue? Kweli mmechoka akili sasa! Kilichobakia njaa tupu!
Msema kweli mpenzi wa Mungu...Magufuli oyeeeeee!
 
Broker atakushauri vipi uhuze au ununue? Kweli mmechoka akili sasa! Kilichobakia njaa tu!
Msema kweli mpenzi wa Mungu...Magufuli oyeeeeee!

Post sent using JamiiForums mobile app
Wewe ni Ontario?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni Ontario?

Post sent using JamiiForums mobile app
Unamsumbua Ontario usiku wote na njaa zako. Watu wamelala wewe unaleta habari ya "signal" utengeneze pesa kama unaokota jalalani! Nenda kazoe taka utapata pesa[emoji23] [emoji23]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Unamsumbua Ontario usiku wote na njaa zako. Watu wamelala wewe unaleta habari ya "signal" utengeneze pesa kama unaokota jalalani! Nenda kazoe taka utapata pesa[emoji23] [emoji23]

Post sent using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta kiki tuu maana hata unachokiongea hukijui! In short swali halikuhusu wewe!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naona unatafuta kiki tuu maana unachokiongea hukujui! In short swali halikuhusu wewe!

Post sent using JamiiForums mobile app
Unataka signal kiraisi raisi? Hivyo unafikiri ma broker wapo kwa ajili ya kukunufaisha wewe kwa kukupa signal?Duh! wewe una mawazo ya ajabu sana.
Msema kweli mpenzi wa Mungu..Magufuli oyeeee!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…