Mkuu hizo patterns ni part ya naked trading, na sio indicators, indicators ni kama Ma, rsi, bb, na nyinginezoKwani ni lazima utrade kwa indicator?
Ontario anatumia Support na Resistance tu. Akizidisha sana Fibonacci (Ontario is my forex trading personality) Hahaaa
Post sent using JamiiForums mobile app
ANGALIZO
nina wapa tahadhari msijaribu ku trade kwa kutumia BANK YA CRDB..WATABLOCK PESA.
TUMIENI EQUITY NA FNB AU SKRILL AKAUNTI
nimeachwa sana
hii ni sehemu ya uchezaji wa forex ambayo na fanya kama mtu niliye anza na dola 7 usd.na jua wapo wanao penda kukwaza wenzao kwa kila jambo. elimu yake ni nzuri kama ukijua
Sent from my SM-G928C using JamiiForums mobile app
Mkuu wanablock kwa nini?ANGALIZO
nina wapa tahadhari msijaribu ku trade kwa kutumia akaunti ya BANK YA CRDB..WATABLOCK PESA.
TUMIENI EQUITY NA FNB AU SKRILL AKAUNTI
kitu ambacho tz kisiwe na faida upenda kuwa ni kibaya kwakua hawa jiaminiMkuu wanablock kwa nini?
Kuna mambo fulani nafatilia yakikaa sawa tu naingia class kuona hili swala litakuwajeBoss bado hujaachwa, still waweza dandia gari tukaendelea na safari pamoja.
Hawatoi sababu za msingi, lkn hawataki watu wajue biashara hii ni aina ya mbinu ya kukuvunja moyo, wengi wamekumbana na tatizo hiliMkuu wanablock kwa nini?
Uko sawa kwa namna moja mkuu....lakini hujanisoma. Nimesema kwenye mabano, nina other personality named Ontario[emoji3] nikianza kusoma tu Forex...najiuliza What Would Ontario (or any other Pro) Do?Boss, ulimquote vibaya. Hakuna sehemu ontario aliyosema anatumia anatumia support and resistance pekee na Fibonacci.
To be a succesful trader requires combination of skills not only support and resistance nor fibonacci.
Wakiwa wanazingua sana basi tutahamia South Africa tukafanye trade na maisha uko uko kwani nini bhana au mnasemaje wana Forex maisha popoteHawatoi sababu za msingi, lkn hawataki watu wajue biashara hii ni aina ya mbinu ya kukuvunja moyo, wengi wamekumbana na tatizo hili
ANGALIZO
nina wapa tahadhari msijaribu ku trade kwa kutumia akaunti ya BANK YA CRDB..WATABLOCK PESA.
TUMIENI EQUITY NA FNB AU SKRILL AKAUNTI
Watakupa kwa kuchelewesha lknDaaa leo nime withdraw $ zangu IQ Option nime direct kwenye card yangu. Kwaiyo nimeshapoteza Pesa usiniambie. Maana natumia CRBD Bank
Kuna jamaa kajifunza Forex for more than five years.yeye anatumia sana Renko chart analysis ambayo ni kama iko supported na theory za naked Forex.yaani kwa kutumia Renko chart tu.ambayo has got no noise of time and volume.anapata kujua entry point na exit point.na Renko chart kikubwa inakupa overbought state na oversold state.ambayo inakupa picha clear ya uptrend Au downtrend.na inakuonyesha retracement zote zinazotokea ambazo kwa pro trader it's nothing as long as ushakuwa confirmed na Trend.Uko sawa kwa namna moja mkuu....lakini hujanisoma. Nimesema kwenye mabano, nina other personality named Ontario[emoji3] nikianza kusoma tu Forex...najiuliza What Would Ontario (or any other Pro) Do?
Na kwa sababu wengi wao wanaenda na hivyo vitu vitatu/vinne aka Price Action (Support, Resistance, Trendline na Fibo),nami nahamishia nguvu kwenye hivyo kwanza.
Honestly, sijaona wengi wanatumia ichimoku
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app