Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Mkuu mbona Niki download iyo mark Douglas-trading in zone haij badala yake inakuja iyo ya Godfather??haya Mkuu hivyo hapo all the best
hicho hapo mkuu nimekutumia tena jaribu kudownload tenaMkuu mbona Niki download iyo mark Douglas-trading in zone haij badala yake inakuja iyo ya Godfather??
Sent using Jamii Forums mobile app
automatafx.comHivi naweza kupata broker mzuri ambaye atanifanyia trade mimi nikawekeza kiasi cha pesa?
XM, wapo vizuri mkuu.Mnaotumia platform ya MT4. Ni broker yupi mnayemtumia kufungulia DEMO account.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss,Kama una pesa za mawazo achana nao hao FNB. Nenda zako BancABC na vitambulisho vyako, wao ni Tsh 15,000 kufungua akaunti na hawana makato ya mwezi. Nenda uwaambie wakupe cash card. Hii ni card unayoweza kufanyia malipo na kupokelea pesa online.
Boss,
hivi kwenye kufungua account (real) ni lazima ile bank statement unayotuma kama proof of residency ndo bank yao itumike kwenye transactions zako onwards au waweza tumia banks nyingine
Ok sawa sawa bossUnaweza tumia bank nyingine mradi jina liwe lilelile.
Mkuu mimi nimefungua acc ya benki Equity Bank, nikajiunga na internet banking then huko kuna Huduma ya Mini bank Statement ambayo nikaitumia kama proof of residence ila broker wamenikatalia wakisema nitume tena.. Sasa nilikua nauliza ni lazima mpaka uende bank ukaombe hardcopy then ndo uiscan ndo uiattach?Unaweza tumia bank nyingine mradi jina liwe lilelile.
Mkuu mimi nimefungua acc ya benki Equity Bank, nikajiunga na internet banking then huko kuna Huduma ya Mini bank Statement ambayo nikaitumia kama proof of residence ila broker wamenikatalia wakisema nitume tena.. Sasa nilikua nauliza ni lazima mpaka uende bank ukaombe hardcopy then ndo uiscan ndo uiattach?
Mwambie atume hata risiti ya malipo umeme, au statement ya malipo ya maji,Hapana, ila mini statement sidhani kama ina jina lako, Mimi nilijisubsribe na NBC mobile banking. So kila mwezi huwa wananitumia statement katika email ktk form ya PDF. Na ndo niliichukua hiyo nikasubmit, wakaikubali. Wanahitaji statement ambayo inaonesha jina lako na other details.
Kama una pesa za mawazo achana nao hao FNB. Nenda zako BancABC na vitambulisho vyako, wao ni Tsh 15,000 kufungua akaunti na hawana makato ya mwezi. Nenda uwaambie wakupe cash card. Hii ni card unayoweza kufanyia malipo na kupokelea pesa online.
Watu tunaohitaji kupata hudhuria haya mafunzo ni zaidi ya hao 300.Big boss amedokeza atatumia vigezo kupata hao wa awali.Ivi hao watu 300 tayari wameshatimia and wameshaenda kupewa somo tayari????
Aha kwaiyo kumbe bado hawajateuliwaWatu tunaohitaji kupata hudhuria haya mafunzo ni zaidi ya hao 300.Big boss amedokeza atatumia vigezo kupata hao wa awali.
Ndiyo,badoAha kwaiyo kumbe bado hawajateuliwa
Aha asante Mungu maana nahis namimi ni mmoja wao humoNdiyo,bado
Kuna vitabu kadhaa humu tulivyoambia tuvisome vipi umeviona?Aha asante Mungu maana nahis namimi ni mmoja wao humo