Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu ungeanzisha uzi wako jamaa mzee ONTARIO aona unataka kumuover take siyo fair.
Wabongo tunapenda mteremko kweli nikilipa ukaingia mitini je?
 
AF mimi napendekeza hii thread iondolewe aisee wengi wetu humu tumeshafahamu nahisi kabisa mabank yataweka umoja wao nakupinga hichi tunachofanya kwa serikali ili tuonekane tunakiuka hivyo kufanya tunapoteza hili dili maono yangu lakini

Watapinga dunia nzima? Fx haija anzia Tanzania.
 
Visa card ni cheaper and faster.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…