Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Waungwana muda kidogo sijaingia humu please any updates Training ishaanza jamani.
 
Wakuu naomba kuuliza ile seminor ipo tayari ama!!
Maana wwngine lazma tuje tutoke huku tulipo"Tarime" tuhudhurie hiyo important seminor.
Nafikiri mkuu ataliona hilo pia ili niwawakilishe watu wa Tarime wajifunze fursa hii pia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CRDB waliblock pesa zangu, hawakujua kuwa wananipa akili, sasa natumia mastercard nawithdrawal as mtalii tena kwa rate sahihi na sio za local banks.
Hakuna kuchunguliana tena
 
Nimejaribu kuattach hii document ya excel nimeshindwa.

Nimejaribu kuconvert kwenda pdf, imetokea document nusu.

Nipeni ushauri wa cha kufanya..

Hiyo excel ina ukubwa size gani.? Njia nzuri ni hiyo ya kuzip kisha uapload zipped file kama mdau mmpja alivyoshauri.
 
umefungua dollar a/c yenye mastercard? ebu elezea kidogo hapa kamanda
Unatumia SKRILL WALLET...hii ni kama m pesa tu kwani sina mfano mzuri zaidi ya huu. Akaunt hii unaweka pesa kwa m pesa hasa safaricom, au kwa kutumia mastercard., ndipo unatuma pesa kwa broker. Ukishapata faida kwa broker unahamishia pesa yako kwa skrill akaunt ili uzi withdrawal utumie...zikiingia kwa skrill unahamishia kwa mastercard...mastercard nzuri ni ya Payoneerbank of America. Uzuri wake hakuna bank inakuchungulia...hakuna kuhold pesa zako, hakuna rate chafu za local banks. Uzuri wa hii mastercard waweza kuweka eur, gbp na usd
 
Hiyo pioneerbank of america inatawi hapa bongo au ndo inakuaje kupata MasterCard yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulifanyajefanyaje tumegee siri nasi tufungue maana haya mabenki hivyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi huduma nimezijua baada ya kushikiliwa pesa na CRDB. ndipo nikapewa siri na rafiki zangu namna ya kuepukana na suluba hizi.
Skrill ac ni dakika chache unafungua na inakubalika na broker karibu wote.
Payoneer pia sio ngumu kufungua, ujiandae ku upload:
1.Bank ac and banking statement,
2.Swift code ya bank yako..mfano crdb ni corutztz
3. ID yako eg pasport, driving l .nk
4. Physical address(not p.o.box) eg livingstone str. Dar.
5. Maelezo ya biashara..jibu ni ONLINE WORKING AND FOREX. vinginevyo utakwama, ukitaja biashara wanataka na link
Hayo ni mambo muhimu zaidi. Ukikwama nicheki
 
Kwahyo kumbe ili uwe na pioneer ni pia uprovide info za local bank unayotumia sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…