Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ahaaa, ukiwa na pesa kwa skrill na unataka kuzitoa kwa bank unazihamisha tu kwenda bank na kuzitoa chap.
Hii ni sawa na kuhamisha pesa toka m pesa kwenda bank ili utoe kwa atm

Mkuu hapa luna linkage naona kama nimeipoteza tena sababu ya maswali ya watu.

1. Do u mean ile MasterCard from Pioneer naweza link it to my skrill account halafu mie nikishapata pesa kwa broker ambaye ana support skrill na hamishia to Skrill account then from skrill to Pioneer Master Card which I can cash out kwa any ATM ambayo ina support Mastercard?

2. Au unamaanisha any money transfered to my local bank account ambayo iko linked na Skrill haiwezi kuwa blocked na nita cash out bila shida?

Natanguliza shukrani
 
Mkuu na kujaza dollar kwny hyo MasterCard ambayo haina ac unajazaje sasa pesa au ndo unatumia local bank ac ambayo inasupport online transactions kujaza kwny hyo mastercard au kuna njia nyingine?
Ahaa hili la kujaza pesa unaenda kujaza bank ulikochukulia mastercard bila shida yoyote then unatumia eidha kwa ku buy online, au kutoa kwa atm popote duniani palipo na atm ya mastercard
 
Mkuu hapa luna linkage naona kama nimeipoteza tena sababu ya maswali ya watu.

1. Do u mean ile MasterCard from Pioneer naweza link it to my skrill account halafu mie nikishapata pesa kwa broker ambaye ana support skrill na hamishia to Skrill account then from skrill to Pioneer Master Card which I can cash out kwa any ATM ambayo ina support Mastercard?

2. Au unamaanisha any money transfered to my local bank account ambayo iko linked na Skrill haiwezi kuwa blocked na nita cash out bila shida?

Natanguliza shukrani
Masahihisho ..ni PAYONEER na sio pioneer..x
1. Uko sahihi sana unatakiwa kulink na skrill kwani Payoneer hawakubali transaction za individual kuepusha kufadhili ugaidi..wanataka pesa yako itoke kwenye makampuni ya online services eg skrill, worldremit na mengineyo.
Ukinisoma kwa posts za nyuma nimewaeleza unapojaza kazi na kusudio la ac ujaze hivi;
1. Online working
2. Forex trading
Ndipo uweze kuruhusiwa kutrade.
Wako makini sana ukijaza vinginevyo watataka link ya store yako au biashara yako...ujue hii ni ya kimarekani...utatakiwa u attach banking statement na swift code ya bank yako na watafuatilia kwa bank yako wajiridhishe kama taarifa zsko ni za kweli. Ukivuka viunzi hivi sasa usumbufu wa kutrade kwishaaaa

2. Kutoka local akaunt;
Pata mastercard isiyo na ac..mfano I&M bank...hii unajaza madolari yako itume kwa skrill ili umtumie broker wako..ukishspata faida rudisha kwa skrill ili uzitume PAYONEER BANK ili u withdrawal bila vikwazo vya bank.
Ukiwa na swali zaidi karibu
 
Wote mnaasema attachment ya Bavaria kuwa haifunguki, fanyeni hivi. Hiyo attachment imekuwa compressed na software ya WINRAR, na ili kuona kilichomo ndani ambacho ni excel yakupasa uiextract kwa software husika. So ili uifungue, download WINRAR kisha install katika PC yako. Then utaweza kuiextract na kuiona excel iliyo ndani yake.
Umejaribu ikafanikiwa?
 
Masahihisho ..ni PAYONEER na sio pioneer..x
1. Uko sahihi sana unatakiwa kulink na skrill kwani Payoneer hawakubali transaction za individual kuepusha kufadhili ugaidi..wanataka pesa yako itoke kwenye makampuni ya online services eg skrill, worldremit na mengineyo.
Ukinisoma kwa posts za nyuma nimewaeleza unapojaza kazi na kusudio la ac ujaze hivi;
1. Online working
2. Forex trading
Ndipo uweze kuruhusiwa kutrade.
Wako makini sana ukijaza vinginevyo watataka link ya store yako au biashara yako...ujue hii ni ya kimarekani...utatakiwa u attach banking statement na swift code ya bank yako na watafuatilia kwa bank yako wajiridhishe kama taarifa zsko ni za kweli. Ukivuka viunzi hivi sasa usumbufu wa kutrade kwishaaaa

2. Kutoka local akaunt;
Pata mastercard isiyo na ac..mfano I&M bank...hii unajaza madolari yako itume kwa skrill ili umtumie broker wako..ukishspata faida rudisha kwa skrill ili uzitume PAYONEER BANK ili u withdrawal bila vikwazo vya bank.
Ukiwa na swali zaidi karibu
Aisee ww jamaa Mungu akutunze,umeniondolea kikwazo kikubwa sana kwangu kwny forex,banks,thank u.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masahihisho ..ni PAYONEER na sio pioneer..x

Still maswali yangu yapo pale pale hiyo ni auto correction

Na nilisha register tayari nasubiri verification process ambayo ni 3days

Capture.PNG
 
Dah mkuu tokea tokea jana usiku sina cha kukupa zaidi ya shukrani mana yote unayonipa nlikua sijui hta moja huu uzi ni shule tosha
Tumshukuru ONTARIO kutukutanisha hapa
Ninasikitika jamaa alikuwa na nia njema kuleta uzi na kutuletea menta lkn wabongo wenye roho za korosho wamesababisha jamaa apate vikwazo vya kutmiza lengo kwa wakati.
Sisi pia tulijiorganize na kuleta menta jamaa walituwekea vikwazo balaa lkn we thank God tulifanikisha Dar last week, na Arusha nao watafanikisha two weeks to come.
Wakuu bila menta forex huwezi...lazima ufundishwe namna ya kutumia charts..candlestick, fibonacci namna ya kufanya analysis before you sell or buy.
Ontario alituweka wazi namna alivyoanza na hata sasa ana menta wake. Itakuwa vyema afanikishe training ili watu wajue kwa usahihi.
Mabanks hawataki kabisa hili tulijue lkn wamechelewa. Tumwombee jamaa afanikishe ili watanzania wengi wajue hili.
Wakuu tusiwe na wivu kuwafundisha wengine hii sio biashara ya matango, viazi au mchele eti tukijua wote soko litaharibika, la hasha.
 
Nguvu inayotumika kupambana na mimi ni kubwa sana. Just imagine hii ni JF pekee yake, vipi huko nje nje. No one wants u to be financially independent. No one wants you to know the truth.

1ae7095ce6cdd15ba872b15745d95d76.jpg


Kuna screen shots humu humu JF siwezi kuzileta kwa public, it's that fvcking crazy.

Duh! Ni zaidi ya North Korea Na USA!
Those who think that we will fail, let them know that FAIL STANDS FOR: FIRST ATTEMPT IN LEARNING. So it's just an engagement of first gear.
 
Masahihisho ..ni PAYONEER na sio pioneer..x
1. Uko sahihi sana unatakiwa kulink na skrill kwani Payoneer hawakubali transaction za individual kuepusha kufadhili ugaidi..wanataka pesa yako itoke kwenye makampuni ya online services eg skrill, worldremit na mengineyo.
Ukinisoma kwa posts za nyuma nimewaeleza unapojaza kazi na kusudio la ac ujaze hivi;
1. Online working
2. Forex trading
Ndipo uweze kuruhusiwa kutrade.
Wako makini sana ukijaza vinginevyo watataka link ya store yako au biashara yako...ujue hii ni ya kimarekani...utatakiwa u attach banking statement na swift code ya bank yako na watafuatilia kwa bank yako wajiridhishe kama taarifa zsko ni za kweli. Ukivuka viunzi hivi sasa usumbufu wa kutrade kwishaaaa

2. Kutoka local akaunt;
Pata mastercard isiyo na ac..mfano I&M bank...hii unajaza madolari yako itume kwa skrill ili umtumie broker wako..ukishspata faida rudisha kwa skrill ili uzitume PAYONEER BANK ili u withdrawal bila vikwazo vya bank.
Ukiwa na swali zaidi karibu

Hapo tumeenda sawa sababu kuna maswali yalinitoa kwenye concept nikaona napoteza direction.

Kumbe I bado naweza ku credit account yangu ya skrill through my CRDB account then naitumia nitakavyo ila ni mwiko kurudisha pesa CRDB from any online platform unless iwe refund tu

Umenitoa gizani aisee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom