Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kabisa mkuu wangu
 
Niko karibu na Arusha,lini mtakuwa huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ungeweka hapa ingekaa vizuri maana wengi wangefaidika waka weight out if waende Dar au wafanye hio ya Arusha kama hakutakua na gharama kubwa saidia uwezavyo
Ya Dar ilishafanyika, tuliweka link hapa ya group la whatsapp, tulibezwa, tulitukanwa na wengine walienda mbali zaidi hadi kuwatisha menta wasikanyage bongo watawafunga. Mtu asaidiweje?
Ontario anaposema anapitia wakati mgumu hatanii, nimethibitisha mwenyewe..nadhani umenielewa
 


yes sir, naomba nisaidie kwa DM tafadhali
 

Mkuu hii Skrill haina limit ya transfer? Je unaweza hamisha kiasi chochote cha fedha? lets say USD 20,000 etc??
 
Tunamshukuru kwakwel na naamini atafanikisha tu lengo lake la kututoa vijana wa kitanzania kwenye hli janga la umaskini for the mean time let us help each other kupigana na hii mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejijibu mkuu..unatumiwa kama parcel within 10 days iko mikononi
Mkuu sijajuua kama nimekuwa mgumu kuelewa au la, Je naanza kufungua Bank account ya tz ulio itaja kwenye post za nyuma then Skrill nakumalizia na Payoneer au inakuaje embu nipe mtiririko mzuri tayari nina mastarcard ya ecobank.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…