1. Skrill fungua hata sasa na upande wa kujaza mastercard jaza hiyo ya ecobank..usiwe na hofu wana option ya ku add acc. Hivyo ya payoneer utajaza ukipata mastercard.Mkuu sijajuua kama nimekuwa mgumu kuelewa au la, Je naanza kufungua Bank account ya tz ulio itaja kwenye post za nyuma then Skrill nakumalizia na Payoneer au inakuaje embu nipe mtiririko mzuri tayari nina mastarcard ya ecobank.
Gharama zake zikoje kufungua account na kutumiwa hiyo card?Umejijibu mkuu..unatumiwa kama parcel within 10 days iko mikononi
Kimsingi gharama ni $30 kwa mwaka, wakati wa kufungua ni freeGharama zake zikoje kufungua account na kutumiwa hiyo card?
Unajazaje?Ukisha jiunga na Payoneer watakutumia mastercard ndani ya siku 10 za kazi.
Hapa bongo tunia I&M bank upewe mastercard isiyo na ac ambayo utakuwa unajaza dolari zako na kumtumia broker kupitia skrill
Hii nafuu maana haya mabenki yetu yanaendesha kisiasa sana!!Umejijibu mkuu..unatumiwa kama parcel within 10 days iko mikononi
Wapi mkuuUnajazaje?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Usumbufu walionipa CRDB hauna mfanoHii nafuu maana haya mabenki yetu yanaendesha kisiasa sana!!
minimum deposit ni kiasi gani unapofunguaKimsingi gharama ni $30 kwa mwaka, wakati wa kufungua ni free
Hakuna kianzio payoneer wala skrill.minimum deposit ni kiasi gani unapofungua
ok...sasa mkuu hiyo mastercard unatumiwa bila kudeposit chochote kwenye hiyo account ya payoneer?Hakuna kianzio payoneer wala skrill.
Payoneer watakucharge $30 kwa mwaka unavyotumia huduma zao.
Skrill watakucharge per transaction
Sasa si ni yaleyale mkuu. Benki so wanzuia usizitoe?Ahaaa, ukiwa na pesa kwa skrill na unataka kuzitoa kwa bank unazihamisha tu kwenda bank na kuzitoa chap.
Hii ni sawa na kuhamisha pesa toka m pesa kwenda bank ili utoe kwa atm
Ndio..kimsingi kwenye hii acc hutakiwi kudeposit bali unahamishia pesa toka kampuni nyingine mfano skrill wanazuia mtu kudeposit kuepusha kufadhili ugaidi..fuatilia maelezo yangu juu:ok...sasa mkuu hiyo mastercard unatumiwa bila kudeposit chochote kwenye hiyo account ya payoneer?
Pole mkuu naona hujaelewa...anza tena post to post utaelewa
Hakuna kianzio payoneer wala skrill.
Payoneer watakucharge $30 kwa mwaka unavyotumia huduma zao.
Skrill watakucharge per transaction
Mkuu nimekupata vzr ..lakn bado nina utata kidogo kazi ya ile MasterCard ya I&M Ni nn hasa?? Kwasabab umesema inahitajika kufunguliwa..!Ndio..kimsingi kwenye hii acc hutakiwi kudeposit bali unahamishia pesa toka kampuni nyingine mfano skrill wanazuia mtu kudeposit kuepusha kufadhili ugaidi..fuatilia maelezo yangu juu:
Iko hivi:
Ukitrade na ukapata faida, badala ya kuitoa pesa kupitia bank unapeleka SKRILL,
Kutoka skrill to payoneerbank.
Ikishaingia bank..Payoneer ndipo unaanza kutoa kwa mastercard zote mara moja au kidogo kidogo
Umejaza namba ya card?Mkuu,
Nimefungua Skrill account now.
But nikitaka kuload pesa inagoma, napata ujumbe Authentification Failed. Natumia account ya CRDB VISA.
Msaada tafadhali.
ok....sasa kwenye mastercard ukienda kwenye ATM utawithdrawal interm of USD au kwa Tsh?Ndio..kimsingi kwenye hii acc hutakiwi kudeposit bali unahamishia pesa toka kampuni nyingine mfano skrill wanazuia mtu kudeposit kuepusha kufadhili ugaidi..fuatilia maelezo yangu juu:
Iko hivi:
Ukitrade na ukapata faida, badala ya kuitoa pesa kupitia bank unapeleka SKRILL,
Kutoka skrill to payoneerbank.
Ikishaingia bank..Payoneer ndipo unaanza kutoa kwa mastercard zote mara moja au kidogo kidogo