Mkuu heshima kwako Mkuu. . Tunaomba utupakulie
Kitabubu alichorecommend mhenga mkuu Ontario hapo juu mkuu cha How to trade with price Action
Umekuwa msaada mkubwa sana kwetu linapokuja suala la vitabu....Tunaomba utusaidie na Hili mkuu na usichoke kutusaidia.
Natanguliza shukrani za dhati kwa niaba ya traders to be..
Kama umemaliza vile vitabu vya mwanzo pia inabidi upitie hivi:- Vinapatikana sana, ninavyo lkn siwezi kuvibandika.
Mkuu heshima kwako Mkuu. . Tunaomba utupakulie
Kitabubu alichorecommend mhenga mkuu Ontario hapo juu mkuu cha How to trade with price Action
Umekuwa msaada mkubwa sana kwetu linapokuja suala la vitabu....Tunaomba utusaidie na Hili mkuu na usichoke kutusaidia.
Natanguliza shukrani za dhati kwa niaba ya traders to be..
To the contrary, hii sio njia ya mkato kabisa. Kusoma huku kote, unaita njia ya mkato? Njia a mkato ni kama DECI, D9, n.k. We unaweka hela tu basi na kusubiri kuvuna. Hutumii akili yoyote.WATANZANIA BADO MNADANGANYANA NJIA ZA MKATO?
KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI
SAY NO TO DECI.
Alisema ni jumatano au alhamisiOntario
Nakumbuka ulisema utatoa upadates leo siku ya jumatano kuhusu kuhusu darasa la forex??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwa nataka kuanza demo...nichague broker yupi? Ili nikiiva niendelee nae kwenye real account? Natanguliza shukrani zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Morning good people!!
Nikisema kitu hua sibahatishi guys, I am doing good guys, same does to our project. Tukianza basi tunaanza na speed ya radi. Tuna siku chache sana zisizofika siku 7. Ongezeni knowledge na mitaji dear traders. Nataka tukianza tunaanza kupiga pesa on the spot, sio upuuzi wa demo.
Mungu ni mwema sana bosses, I actually can't believe this is about to happen. Kwa niliyokutana nayo during the whole process naweza kusema - I have been stronger than ever before. Thank you all kwa ushirikiano wenu and wishing u nice preps.
Mkuu kama ww huna uthubutu wa kufanya vitu vipya kutokana na wakati usiwashawishi negative advice ili waogope..mimi nilijisomesha ughaibuni miaka 5 kwa hii forex naiheshimu sana japo siku za awali nilikua napata loss mpaka nilipo master kwa kusahihisha makosa na kusoma vitabu vingi kuwa na technics nyingi za kuingiza profit kwa muda mfupi.WATANZANIA BADO MNADANGANYANA NJIA ZA MKATO?
KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI
SAY NO TO DECI.
Unquenchable fire no one can stop itMnasoma kweli ndugu zangu...?
Forex won't be easy kama hutaki vitabu - I must not kumung'unya ukweli, vitabu nilivyoreccomend msome ni vya msingi sana. Soma sana sana sana. Mimi muda wowote nikipata free time hua nasoma. Kabla sijalala nacheki at least chapter 1. I read a lot of stuff si forex pekee, nasoma kuhusu cryptos, personal development, philosophy, business articles, nk nk.
Kama umemaliza vile vitabu vya mwanzo pia inabidi upitie hivi:- Vinapatikana sana, ninavyo lkn siwezi kuvibandika.
Pamoja na hiki hapa
P.S: Yani mimi nawapa vitabu vyepesi zaidi ambavyo unaweza kuelewa, vitabu ambavyo havitakuchanganya lkn vitakuacha na ufahamu mkubwa mno. Si lazima uelewe kila kitu, yani usisome as if kuna mtihani (kuingia kwenye program wala hakutakuwa na interview wala paper - sisi ni watu wazima). Just soma like you need knowledge, not kwamba bcoz you need to secure a chance for training. Vitu usivyoelewa njoo uliza hapa, nisipokusaidia kuna aliyeelewa atakusaidia. [emoji23] BTW forex is TOOO wide uwezi kuelewa kila kitu, nimesoma vitabu sio chini ya 50 about fx lkn nahisi natumia only 2% ya nilivyovisoma [emoji23] [emoji23]
Guys hadi kufika stage kama hii niliyofikia unahitaji kusoma na kuipenda forex. Mimi I have 3 mentors lkn mara chache sana hua hafata their analysis, mara nyingi sana I trade different pairs with theirs, ndio raha ya kuwa na knowledge. Hata ikitokea mentor wangu Mungu akampenda zaidi, still it won't be my last day in the market. Why? Kwasababu I have knowledge.
Thanks mkuu,Mnasoma kweli ndugu zangu...?
Forex won't be easy kama hutaki vitabu - I must not kumung'unya ukweli, vitabu nilivyoreccomend msome ni vya msingi sana. Soma sana sana sana. Mimi muda wowote nikipata free time hua nasoma. Kabla sijalala nacheki at least chapter 1. I read a lot of stuff si forex pekee, nasoma kuhusu cryptos, personal development, philosophy, business articles, nk nk.
Kama umemaliza vile vitabu vya mwanzo pia inabidi upitie hivi:- Vinapatikana sana, ninavyo lkn siwezi kuvibandika.
Pamoja na hiki hapa
P.S: Yani mimi nawapa vitabu vyepesi zaidi ambavyo unaweza kuelewa, vitabu ambavyo havitakuchanganya lkn vitakuacha na ufahamu mkubwa mno. Si lazima uelewe kila kitu, yani usisome as if kuna mtihani (kuingia kwenye program wala hakutakuwa na interview wala paper - sisi ni watu wazima). Just soma like you need knowledge, not kwamba bcoz you need to secure a chance for training. Vitu usivyoelewa njoo uliza hapa, nisipokusaidia kuna aliyeelewa atakusaidia. [emoji23] BTW forex is TOOO wide uwezi kuelewa kila kitu, nimesoma vitabu sio chini ya 50 about fx lkn nahisi natumia only 2% ya nilivyovisoma [emoji23] [emoji23]
Guys hadi kufika stage kama hii niliyofikia unahitaji kusoma na kuipenda forex. Mimi I have 3 mentors lkn mara chache sana hua hafata their analysis, mara nyingi sana I trade different pairs with theirs, ndio raha ya kuwa na knowledge. Hata ikitokea mentor wangu Mungu akampenda zaidi, still it won't be my last day in the market. Why? Kwasababu I have knowledge.
Safi sana mkuu... hiyo profit umeigonga ndani ya muda gani??Mkuu kama ww huna uthubutu wa kufanya vitu vipya kutokana na wakati usiwashawishi negative advice ili waogope..mimi nilijisomesha ughaibuni miaka 5 kwa hii forex naiheshimu sana japo siku za awali nilikua napata loss mpaka nilipo master kwa kusahihisha makosa na kusoma vitabu vingi kuwa na technics nyingi za kuingiza profit kwa muda mfupi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana mkuu!!Mkuu kama ww huna uthubutu wa kufanya vitu vipya kutokana na wakati usiwashawishi negative advice ili waogope..mimi nilijisomesha ughaibuni miaka 5 kwa hii forex naiheshimu sana japo siku za awali nilikua napata loss mpaka nilipo master kwa kusahihisha makosa na kusoma vitabu vingi kuwa na technics nyingi za kuingiza profit kwa muda mfu
Sent using Jamii Forums mobile app