PRESIDA TO BE..
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 302
- 200
Very well saidTo the contrary, hii sio njia ya mkato kabisa. Kusoma huku kote, unaita njia ya mkato? Njia a mkato ni kama DECI, D9, n.k. We unaweka hela tu basi na kusubiri kuvuna. Hutumii akili yoyote.
View attachment 561739
Bonus
- Galen Woods - How to Trade with Price Action (Master): Trading Tools, Tips & Methods
- Galen Woods - How to Trade with Price Action (Strategies): Trading Setups, Rules & Examples
Ontario waiting your call for classes..
Tokea May 26, hadi leo Aug. 9
Kweli subira yavuta heri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa mkuu...mm nashauri hata wengine wataanza hivi karibuni tuwepo na sisi wa intake ya pili ambayo inaweza ikaanza hata hiyo September!mim naona km hata aisogeze mbele kidogo mpk September mwanzoni,angalau nizidi kuchimba vitabu niwe na uelewa mpana aisee.naona bado kbs yan.tusome tusimpressurize.tena ndio tutakuwa vizuri,tukisukuma angalau vitabu kadhaa
Wapendwa nataka kuanza demo...nichague broker yupi? Ili nikiiva niendelee nae kwenye real account? Natanguliza shukrani zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thompson ni hivi.... hapo ishu ni setup ya stop-loss umeikosea katika mazingira haya: Wakati una sell hiyo pair ilikuwa kwenye range, kwa hiyo ilitakiwa uweze ku- identify key technical levels za hiyo timeframe (15m)...na maanisha support and resistance. key technical levels huweza kusaidia kupata key price levels for setting stop-loss order. when you are setting stop-loss, you also need to focus on margin of error. Margin of error is just a distance from key price levels where u think retest can happen and can not hit your stop-loss.Wakuu hapa imekuaje? nipo na demo hapa, nime open position ya ku sell GBPUSD kwa 1.30311 muda wa saa 13:01 mchana na kwenye trade history hapo chini, pia niliweka stop loss ya 1.30383 kama nilivyoonyesha kwa hiyo line nyekundu hapo na trade history ilivyo, ila cha ajabu ilipofika muda wa saa 13:22 trade ili hit stop loss na kujifunga na nikapata hasara ya 6.70 kama inavyoonyesha, ila cha ajabu naona pair ya GBPUSD ilikuwa inashuka tu na hakuna mahali ilipanda na kufikia 1.3083 kama graph inavyoonyesha hapo, nimefikiria nimekosa jibu nimekosea wapi?
wadau Lodrick Thomas , Bavaria , Root ONTARIO hebu nielewesheni, hapo kuna sehemu value ya GBPUSD ilipanda na kufikia stop loss yangu? hata kwenye pc zenu mnaweza kutazama ndani ya hiyo timeframe kama hapa haionekani vizurui
View attachment 561404
asante sana mkuu, bless you$30 Welcome Account - Tickmill
Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaaSafi sana mkuu... hiyo profit umeigonga ndani ya muda gani??
Asante mkuuI do recommend Pepperstone as he is the True ECN Broker. Hautajuta kutrade naye!
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaalakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
Aiseee bro unachofanya si sahihi. Nilikua nangoja tu unijibu.Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaalakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
Umenifanya nijisikie vibaya sana bro. Let's keep it real, forex haina porojo za kis3nge. Utatumiaje screen shot za mtu afu unaleta uzushi boss wangu. Tapeli watu when Ontario is not around, ukiwa unafanya mbele yangu maana yake umedharau sana IQ yangu kwamba sijui nini kinaendelea ktk trading industry.Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe Unadhani hii ni Njia ya Mkato jaribu uone Inahitaji usome pia inahitaji Muda ... Sio kama DECI hii na pia kama alivyosema mkuu Hapa hatuuzi pembejeo ingewezekana ungapita kimya kimya kuna Thread za kilimo tafadhali usichafue hali ya Hewa sisi tuko busy na Forex BibleWATANZANIA BADO MNADANGANYANA NJIA ZA MKATO?
KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI
SAY NO TO DECI.
Kwaio.utakua unachaji sh ngapi tuanzie hapo kwanzaKama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kazi tunayo ndugu kwahyo jamaa anatutakia nn sasa na anadai eti anamaterial ambayo yatarahisisha watu kutrade bila kufanya analysis yoyote ile kumbe anatafuta kutupiga kavukavu. Ahah sema kiongozi umemnyoosha fala hyo akirudi hapa ye kidumeUmenifanya nijisikie vibaya sana bro. Let's keep it real, forex haina porojo za kis3nge. Utatumiaje screen shot za mtu afu unaleta uzushi boss wangu. Tapeli watu when Ontario is not around, ukiwa unafanya mbele yangu maana yake umedharau sana IQ yangu kwamba sijui nini kinaendelea ktk trading industry.