Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ontario waiting your call for classes..

Tokea May 26, hadi leo Aug. 9

Kweli subira yavuta heri!

Sent using Jamii Forums mobile app

mim naona km hata aisogeze mbele kidogo mpk September mwanzoni,angalau nizidi kuchimba vitabu niwe na uelewa mpana aisee.naona bado kbs yan.tusome tusimpressurize.tena ndio tutakuwa vizuri,tukisukuma angalau vitabu kadhaa
 
mim naona km hata aisogeze mbele kidogo mpk September mwanzoni,angalau nizidi kuchimba vitabu niwe na uelewa mpana aisee.naona bado kbs yan.tusome tusimpressurize.tena ndio tutakuwa vizuri,tukisukuma angalau vitabu kadhaa
Uko sawa mkuu...mm nashauri hata wengine wataanza hivi karibuni tuwepo na sisi wa intake ya pili ambayo inaweza ikaanza hata hiyo September!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hapa imekuaje? nipo na demo hapa, nime open position ya ku sell GBPUSD kwa 1.30311 muda wa saa 13:01 mchana na kwenye trade history hapo chini, pia niliweka stop loss ya 1.30383 kama nilivyoonyesha kwa hiyo line nyekundu hapo na trade history ilivyo, ila cha ajabu ilipofika muda wa saa 13:22 trade ili hit stop loss na kujifunga na nikapata hasara ya 6.70 kama inavyoonyesha, ila cha ajabu naona pair ya GBPUSD ilikuwa inashuka tu na hakuna mahali ilipanda na kufikia 1.3083 kama graph inavyoonyesha hapo, nimefikiria nimekosa jibu nimekosea wapi?
wadau Lodrick Thomas , Bavaria , Root ONTARIO hebu nielewesheni, hapo kuna sehemu value ya GBPUSD ilipanda na kufikia stop loss yangu? hata kwenye pc zenu mnaweza kutazama ndani ya hiyo timeframe kama hapa haionekani vizurui
View attachment 561404
Thompson ni hivi.... hapo ishu ni setup ya stop-loss umeikosea katika mazingira haya: Wakati una sell hiyo pair ilikuwa kwenye range, kwa hiyo ilitakiwa uweze ku- identify key technical levels za hiyo timeframe (15m)...na maanisha support and resistance. key technical levels huweza kusaidia kupata key price levels for setting stop-loss order. when you are setting stop-loss, you also need to focus on margin of error. Margin of error is just a distance from key price levels where u think retest can happen and can not hit your stop-loss.

Read on Margin of error au error of margin .....utaelewa ishu yako.. Its very important, mana unaweza ona ndege uliyemkamata anaenda hivihivi baada ya ku hit stop-loss.
 
Safi sana mkuu... hiyo profit umeigonga ndani ya muda gani??
Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaa
47a5b0d7da234b4c9d61f94108e2a3ec.jpg
b1dcd6c0fac679fbdcdc7f1ae98f0548.jpg
lakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
3d77acf65b9106963c972da088a45ca1.jpg
8d8dcaf219fdf32acb1e5ab6cc1a68bb.jpg
37bb6114b0ff13e87aa174874dc7f61e.jpg
2c631a1a238eb8e86561fdc12825c7f8.jpg
bc29606da7d8d270d0f261ec5c3d0377.jpg
690c45fd0c36c8ae769df71cf2e262f6.jpg
 
Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaa
47a5b0d7da234b4c9d61f94108e2a3ec.jpg
b1dcd6c0fac679fbdcdc7f1ae98f0548.jpg
lakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
3d77acf65b9106963c972da088a45ca1.jpg
8d8dcaf219fdf32acb1e5ab6cc1a68bb.jpg
37bb6114b0ff13e87aa174874dc7f61e.jpg
2c631a1a238eb8e86561fdc12825c7f8.jpg
bc29606da7d8d270d0f261ec5c3d0377.jpg
690c45fd0c36c8ae769df71cf2e262f6.jpg
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.
8ec47477cd071f7b9948d7e0c9417521.jpg
f6f994938d364fe35003ce1ff4e92f33.jpg
6ffc779cf3cb14aaf8a36eff50bf2f00.jpg
5f6677d855cfcda27573e70daa85f958.jpg
663aa20b63a19601c456c8f49eada9cc.jpg
0cc65c133e47d8014e66e9ab81fdd9e7.jpg
d394adeda12cd54c49e57f9065bd31eb.jpg
89c43279fe59354715784a5bdbc67f2a.jpg
kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaa
47a5b0d7da234b4c9d61f94108e2a3ec.jpg
b1dcd6c0fac679fbdcdc7f1ae98f0548.jpg
lakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
3d77acf65b9106963c972da088a45ca1.jpg
8d8dcaf219fdf32acb1e5ab6cc1a68bb.jpg
37bb6114b0ff13e87aa174874dc7f61e.jpg
2c631a1a238eb8e86561fdc12825c7f8.jpg
bc29606da7d8d270d0f261ec5c3d0377.jpg
690c45fd0c36c8ae769df71cf2e262f6.jpg
Aiseee bro unachofanya si sahihi. Nilikua nangoja tu unijibu.

Aina hii ya uhuni hua siipendi kabisa sheikh wangu. Let's keep it real!!

Mimi nikikwambia najua vitu vingi sana kuhusu forex, nieleweke hivyo. Hizo trades ambazo unazipiga screen shot tangu mwanzo nazifahamu. Thabani Ngcobo ni mwanangu sana, nilikua nae Juzi juzi tu aisee, yani hata ukiniamsha usiku ukanionesha trades zake wala sitahitaji kunawa uso kuzitambua.

Forex haina siasa boss. You either learn the art or be an observer. Naomba utuombe msamaha kwa ulichokifanya, otherwise tutakuona vitu vyote ulivyozungumza ni ujanja ujanja. Hizo trades za Thabani Ngcobo na umezitoa kwa IG yake. Sitaki kuleta hapa ushaidi just kulinda heshima yako. But let's try to put it real.

Kuhusu forex wadanganye watu mkiwa wawili sehemu mmetualia, lkn usizungumze forex mbele yangu ukadhani forex nimeijua juzi. Acha izo jombaa!! Sisi hua Thaba tunamuita Mr. 0.5 - nitajitahidi kumleta aje atusalimie.
 
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.
8ec47477cd071f7b9948d7e0c9417521.jpg
f6f994938d364fe35003ce1ff4e92f33.jpg
6ffc779cf3cb14aaf8a36eff50bf2f00.jpg
5f6677d855cfcda27573e70daa85f958.jpg
663aa20b63a19601c456c8f49eada9cc.jpg
0cc65c133e47d8014e66e9ab81fdd9e7.jpg
d394adeda12cd54c49e57f9065bd31eb.jpg
89c43279fe59354715784a5bdbc67f2a.jpg
kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifanya nijisikie vibaya sana bro. Let's keep it real, forex haina porojo za kis3nge. Utatumiaje screen shot za mtu afu unaleta uzushi boss wangu. Tapeli watu when Ontario is not around, ukiwa unafanya mbele yangu maana yake umedharau sana IQ yangu kwamba sijui nini kinaendelea ktk trading industry.
 
WATANZANIA BADO MNADANGANYANA NJIA ZA MKATO?

KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI

SAY NO TO DECI.
Yaani wewe Unadhani hii ni Njia ya Mkato jaribu uone Inahitaji usome pia inahitaji Muda ... Sio kama DECI hii na pia kama alivyosema mkuu Hapa hatuuzi pembejeo ingewezekana ungapita kimya kimya kuna Thread za kilimo tafadhali usichafue hali ya Hewa sisi tuko busy na Forex Bible
 
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.
8ec47477cd071f7b9948d7e0c9417521.jpg
f6f994938d364fe35003ce1ff4e92f33.jpg
6ffc779cf3cb14aaf8a36eff50bf2f00.jpg
5f6677d855cfcda27573e70daa85f958.jpg
663aa20b63a19601c456c8f49eada9cc.jpg
0cc65c133e47d8014e66e9ab81fdd9e7.jpg
d394adeda12cd54c49e57f9065bd31eb.jpg
89c43279fe59354715784a5bdbc67f2a.jpg
kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio.utakua unachaji sh ngapi tuanzie hapo kwanza

What goes around always comes around
 
Umenifanya nijisikie vibaya sana bro. Let's keep it real, forex haina porojo za kis3nge. Utatumiaje screen shot za mtu afu unaleta uzushi boss wangu. Tapeli watu when Ontario is not around, ukiwa unafanya mbele yangu maana yake umedharau sana IQ yangu kwamba sijui nini kinaendelea ktk trading industry.
Dah kazi tunayo ndugu kwahyo jamaa anatutakia nn sasa na anadai eti anamaterial ambayo yatarahisisha watu kutrade bila kufanya analysis yoyote ile kumbe anatafuta kutupiga kavukavu. Ahah sema kiongozi umemnyoosha fala hyo akirudi hapa ye kidume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom