Tickmill.comOk vizuri, nipe link nikasome au nikaone hiyo sifa yake
Tickmill Broker | 1ForexBrokers.com
yangu hiyo kuonesha hizo sifa nilizotoa
Sioni, nipe link ya direct kama nilivyokupa
Mkuu ulitaka uweke order hapo au cjakuelewa vizuri labda?
Wana masharti sana.. Ila ingia kwenye website yao afu nenda kwenye chat live they should help you.. Waelezee hicho unachokisema hapa watakusaidia hopefully.Wakuu
Napata tabu sana ku - verify account yangu na hawa tickmill, kila nikituma supporting documents wanazitoa kasoro wakati ni documents elekezi hebu nisaidiwe hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
duh mkuu, kuna broker hana order kweli yani unaingia kwenye price moja kwa moja?, unataka kusema buy limit , sell limit , buy stop , sell stop zote hazipo?? yani ni kubuy na kusell tu, are you serious ,mimi nimetumia tickmill zote zipo, halafu kwenye kutafuta broker watu wanajali sana fastest market execution,uliposema tickmill hana currency ndio nimeshindwa kabisa kukuelewa ,oco is another thing ila kwa jinsi ulivyofafanua naona hujaelewa vizuri some terms,no disrespect but im surprised umeanza live, i guess umerush mnoMkuu kwanza hawana option ya currency wao wana trade commodities ,indeces na energy
Wao hawana Order unaingi kwenye markert price moja kwa moja
Hawana SL (stop looser) hapa hadi ukate wewe
hawna OCO one cancel other order
inategemea na wewe unataka kutrade vipi short time au ling time, kama ni short time tumia 1day, 4hrs, 1 hour kwnye analysis yako, kama ni long time tumia 1month au weekly, I stand to be corrected for learning puporse
Kuhusu TF inategemea whether you are swing trader, intra day trader or day trader.
wakuu naombeni website ya pioneer bank na skrill wallet mana kila nikigoogle zinakuja nyingi na wanasema kuna scam
Payoneer na Skrill, zote c ni bank? Kuna haja ya kuwa na akaunti kote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanashauri kwamba unapofanya analysis, basi uanzie na time frame kubwa na kushuka kuelekea chini. Nna hii wanaiita top down analysis, and this is according to AstrofxLet me rephrase,napoanze nianze na lower timeframe nipande juu au nianze na higher timeframe kushuka chini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru tena umekua muwazi kwamba ni referral, so nani ananufaika nduguMkuu mimi nilishajisajiri.. Pitia hiyo link ya referral ya payoneer utaingia kwenye website sahihi...
https://share.payoneer.com/nav/640l...U9juC9nHarJ563mWEMOKKWYBIWsLNHAypj4xHgmxXEJQ2
Bila shaka anayenufaika ni huyu aliyekupa hii link... Sababu hawa brokers huwa wanakuwa na promotions kama hizi kwamba ukialika kiasi fulani cha watu kujiunga kupitia hizo referral, kuna commision fulani unapata... Hili nmeliona hata FXTMNashukuru tena umekua muwazi kwamba ni referral, so nani ananufaika ndugu