Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Sahihi kabisa

Real ECN broker kwa sehemu kubwa pato lake anategema commission.

Hivyo kwa utafiti mdogo nilio ufanya Tickmill ni moja kati ya ECN broker wazuri.

Kuna instaforex pia. So far naona ni wazuri. Na wanatoa analysis nzuri sana ukijisubscribe na nao asubuhi na mapema unapata analysis. Ingawa si za kutegemea sana, but it worth kujua analysts wengine wanafikiriaje soko la siku hiyo, hivyo inakupa wewe starting point ya namna ya kuliangalia soko hususan kwa sisi ameteurs.
 
Duu kumbe jamaa ni muongo...ohoo atawatapeli wengi basi humu jf..bora umetu stua
 
Hahahaha huyu jamaa tapeli kabisa kama angekuwa anapiga hela nyingi hivi kwa Fx asingejitangaza anatafuta kazi yoyote
 
Mnaochunguza Tickmill hivi mnafanya real money account au mpo demo??

Ndugu zangu demo na real account ni vitu viwili tofauti kabisaa, mimi nafanya real account ninavyosema tickmill hana hizo MUELEWE

Narudia tena TICKMILL SI MZURI KWA AFYA YAKO KAMA NDIO UNAANZA.
 

Kumbe huyo analeta mchezo wa kuigiza kwenye kazi? Aaaghhhh!
 
you have no idea what you're talking about mkuu, and its a shame you insist ,
 
The hustle is real bosses

Nina matumaini wote mmekua na weekend yenye amani na baraka ndugu zangu.

Wengi mlitarajia niseme chochote about what's to happen with regard to our programme maaana nilipromise nitanyanyua uzi mpya kuhusu training lkn haikuwa hivyo. Nimepokea text nyingi sana kuanzia JF, IG, FB na hata private messages (mpk nashangaa wengine mnapata wapi namba zangu za simu [emoji23] )

Kuna wengine niliwajibu kuwaaeleza nini kinanikwqmisha, lkn nikaona kwa manufaa ya watu wengi inabidi nizungunze chochote ili kuwaondoa hofu. Nafahamu asilimia kubwa mmeshasoma sana, na tayari mna broad knowledge kusuhu forex na wengine hata mnaweza kufanya analysis, wengine mpo kwenye demo na wengine wamediriki kuingia live. Na natambua wengi wenu mmekua na shauku ya kupata go ahead kutoka kwangu, lkn nimezidi kua kimya.

Guys!! Kuna watu nimekutana nao uso kwa uso and they can testify how much am fighting to make sure that the programme is up and running the soonest. Lkn kuna vitu siwezi kuvizungumzia, kuna vitu vinajitokeza unexpectedly, nje ya uwezo wangu. Tulibidi tufanye launch weekend hii then J3 ya kesho programme ianze kwa 1st batch, lkn imeshindikana. Msizani nimepumzika guys, mpk hapa nimejisacrifice almost all of me.

Naamini odds are still on our side, it's a journey worth taking. Mwanzo ni mgumu lkn mwisho ni mzuri by God's grace. Na ninaamini hii programme tutakayoinza pa1 itatikisa nchi, we will have national leaders discussing it at national level in a positive way, maana si journey ya kutoa technical knowledge and skills pekee bali itaimpact people's financial lives na kupunguza unemployment crisis. It's a journey I am really looking forward to, ndio maana nimeinvest a lot of my hopes, times, knowledge, hustle and money as well.

So niseme 90% ya possibilities ni kua tutalaunch this week. Am doing all it takes week hii tuilaunch at our offices, then safari ianze. So guys bado nitoe tu wito kua tunahitaji patience, hakuna mtu atakua proud hii programme ikianza zaidi yangu, coz tayari nimeshaspend vitu vingi vingi vingi sana until now, natamani hata kesho tuanze. But am being patient and very positive.

Ni ndefu, epuka kuquote boss... nimesoma comments zote tangu post no. 1, so unaeza andika comment yako na nitaiona pia.

Guys enjoy the week ahead, keep being positive. Add something into your brain. Stay focused and hv life goal. Cheers [emoji485]

==============================

Sitafanya mambo ya kushtukiza coz najua kuna baadhi yetu watakua wanatoka mbali so watahitaji preparation kuja Dar. Tuombeane afya na uzima, nitanyanyua uzi mpya kwa ajili ya kutoa maelezo na taratibu. But for now tuendelee kukaza vyuma kichwani kwa kuongeza vitu viwili vitatu kwenye ubongo huku tukiandaa mitaji.

One of our biggest principle ni kua tutafanya LIVE trading kwa pamoja during the training. Hivyo lazima wote tuwe live tuingie sokoni kwa pamoja na tupate real market experience. Utaratibu mzuri wa system tumeandaa so hakuna mtu atakayeachwa nyuma guys. So hata usipokua batch ya kwanza kuna batch zingine zaidi ya 100. Na hata tukianza training ambazo zitahitaji kupay fees bado fees itakua reasonable kwa mTZ yoyote yule mwenye kiu ya mafanikio.
 
Tuko pamoja mkuu.

Shukrani kwa update.
 
Thank you boss, tukopamoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Out of topic guys

Kuna mtu aliwahi kuniPM siku za nyuma sana. PMs ni nyingi sana siwezi kuanza kupekua na kuipata zipo nyingi sana. Alinambia kua ana degree ya sheria kutoka SAUT, tukazungumza kidogo kuhusu hilo na kugusia kufanya kazi pamoja. Please naomba unicheki kwa PM the early the better.
 
Watakuja wengi sana kwa mtindo huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


TUlikuwa pamoja katika hili tangu mwanzo wake, na binafsi naamini tutakuwa pamoja hata katika ukamilifu wake.
 
Thanks Kwa feedback.
Be blessed tunaisubiria siku Kwa hamu Sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…