Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
View attachment 566618

Naomba maana ya maneno haya, in relation to pending order

Sent using Jamii Forums mobile app
Buy limit- when you want to buy a pair at a low price than market price (buy low)

Sell limit- when you want to sell a pair at a high price than market price (sell high)

Buy stop- when you want to buy a pair at high price than market price (buy high)

Sell stop- when you want to sell a pair at low price than market price. (sell low)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon guys!!

I will launch this week, bado sijajua exact date but ni wiki hii. Wait for final call Mungu akijalia uzima.

Cheers and keep being positive!!
Mkuu kila la kheri ktk maandalizi yako.
Tukumbuke na sisi ma age mate wako ambao kdg ndo tumetoka vyuo hatuna uwezo mkubwa wa kulipia kiasi kikubwa sana kwaajili ya training,MUNGU akujalie uweke kiasi affordable kwa wote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buy limit- when you want to buy a pair at a low price than market price (buy low)

Sell limit- when you want to sell a pair at a high price than market price (sell high)

Buy stop- when you want to buy a pair at high price than market price (buy high)

Sell stop- when you want to sell a pair at low price than market price. (sell low)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante. Now kwa mfano bei ni 1.425, naweza weka buy limit 0.5 ambayo ndo minimum nahc bei itafika, na buy stop 1.0? Je muda wote bei ikiwa between 0.5 na 1.0 pending order itakuwa executed? Au iko vp vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED

Another head and shoulders today pouring blues.


Patience pays and it is one of rule to forex trading. It is running spitting out blues.

3492ee58818796d502aae6dd2eceef0d.jpg


e05cc42624b8dfb893182ee1b8502b2b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
you right bro I am looking forward to this answers
View attachment 566598

Wakuu wangu.... Niko katika mchakato wa kufungua accounts hizo hapo juu...
Kwa sisi wenye Mtaji wa Kudunduliza Suala la msingi ni kutaka kujua Fees (kitu ambacho wengi wanaki overlook)
Kwenye hizo herufi A mpaka F ni Fees husika kwa kila account.
Kuna Annual Fees, Monthly Fees (mfano nasikia FNB wanakata 16,000 kwa mwezi)
Kuna Withdrawal Fees, Deposit fees.

Ni vizuri tukazijua hizi fees na Best Bank accounts zenye minimum Charges (Especially hapo kwenye Local Bank na Payoneer)
Kwa wale wenye Mitaji midogo hili suala ni la muhim kufanya consideration.
Lakini kama mtaji wako ni mkubwa na transaction zako ni kubwa kubwa nadhani huna haja sana ya kuwaza kuhusu charges.
Kuna aliefungua accounts zote hapo anijuishe kuhusu Charges (hasa kwenye Banks) ili niepukane na Bank zenye makato ya juu yanayoweza kuwa yanakula Significant Percent ya Faida na Mtaji wangu??
 
Soon guys!!

I will launch this week, bado sijajua exact date but ni wiki hii. Wait for final call Mungu akijalia uzima.

Cheers and keep being positive!!
UBARIKIWE SANA ndio neno Adhimu katika lugha yetu adhimu iliyojaa utoholewaji wa maneno.
Siwezi pata picha FURAHA ILIYOKUJAA baada ya kufanikiwa kupitia vikwazo vingi na kebehi na vitisho na ugumu wote......
ILA nadhani sisi tunazidi furaha hiyo kama tamaa ya kusubiri muda mrefu imefika mwisho.... Wache tuongeze vitu kichwani..

[HASHTAG]#MTAANIPAGUMUSANA[/HASHTAG]
[HASHTAG]#ONTARIOtheHUSTLER[/HASHTAG]
[HASHTAG]#GODBLESSyOU[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante. Now kwa mfano bei ni 1.425, naweza weka buy limit 0.5 ambayo ndo minimum nahc bei itafika, na buy stop 1.0? Je muda wote bei ikiwa between 0.5 na 1.0 pending order itakuwa executed? Au iko vp vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mf. kwa sasa EURUSD ni 1.1425 we waweza weka buy limit 1.1420 (hapa tofauti ni 5pips). Wakati movement inaendelea kupanda na kushuka, ikishuka na kufika buy limit yako ya 1.1420 automatic itaexecute trade....
 
Patience is paying.

My earlier head and shoulders pattern is now being pushed down bringing blues by the recent USD fundamental news

It is still demo guys and I am testing my arsenal ready for training from the boss ONTARIO

4a4bd7a0324b0ece2ba53fb77d89cc6e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU,
1. Kwanini Payoneer wanahitaji Bank Account Number?
2. Na, Je hii Curreny type(Maana ziko 2 USD & EUR) inamaanisha Account type currency?

BANK.PNG
 
WAKUU,
1. Kwanini Payoneer wanahitaji Bank Account Number?
2. Na, Je hii Curreny type(Maana ziko 2 USD & EUR) inamaanisha Account type currency?

View attachment 566888
Hizo unajaza na wanatumia taarifa za akaunti ya benk yako ya hapa kama uthibitisho kwao kama unavyoenda na barua ya Mtendaji kwe hizi benki zetu kufungua akaunti.........sijui umenielewa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mkuu ONTARIO hilo pindi unalotarajia kuanzisha wiki hii litarekodiwa ama?
 
Inabidi ujibidishe sana kusoma vitabu, ni wazi kuwa hujaelewa aina za order, soma Astraforex kuanzia uk. wa 27 na kuendelea, hutajuta...yote haya utayakuta, kitabu kimo kwenye thread hii hii.

Ahsante. Now kwa mfano bei ni 1.425, naweza weka buy limit 0.5 ambayo ndo minimum nahc bei itafika, na buy stop 1.0? Je muda wote bei ikiwa between 0.5 na 1.0 pending order itakuwa executed? Au iko vp vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom