the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,372
a healthy risk reward ratio ni ile ya 1:2 manake hiyo ina tija...yaani unarisk 1$ kupata 2$....Kwa maana hiyo ni kwamba unarisk 100usd lupata 100usd??
Yaani unapata hasara ya 100usd ili upate 100usd??
Mbona kama ni unrealistic??
mkuu haifai,MWANA WA NGURUMO yupo sahihi..stop loss ukiiweka hufai kuisumbua tena..bora uende mwendo wa trailing SL..sababu ni kwamba,SL ni kama hand break ya kusimamisha hasara pindi itokeapo..a good trader lazima uwe umeshafanya hesabu yako awali na kujua risk reward ratio yako..hivyo,hata ukipoteza 1$ ukifata 2$ itakuwa sawa...kifupi,stop loss unapoiweka unajua kwamba hata ukipoteza hiyo amount haitaadhiri margin balance yako..Boss nnahisi kama haukumwelewa jamaa yeye alimaanisha SL anakuwaga anaisogeza pindi trend ikiwa ishahamia kwenye faida so nnahisi anachofanya ni sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Lodrick naomba kupinga..upo sahihi kwa mtazamo wako ila i totally disagree na hiyo idea ya kutumia stop loss kurinda profits zako..KEMUODIO yuko sahihi!! SL inaweza tumika kama mechanism ya kuzua losses pia inaweza tumika kama exit strategy ya kukutoa sokoni ukiwa na profit incase soko limeenda kombo!!
Unachofanya, kama ume go-long kwenye pair, ni kuisogeza pindi profit inapopanda na incase soko likiharibika utatoka sokoni ukiwa na profit na sio loss (incase ungeiacha at its initial point)! In this case inakua inafanya kazi kama trailling SL japo wewe ndio utakua unasogeza!
Inshort SL sio tu inatumika kukulinda na losses ilasometimes inaweza tumika ili ku-retain profit uliyoipata!
Nawashauri mkasome kitabu cha NAKED FOREX TRADER kwenye chapter ya EXIT STRATEGIES!! Mtaona yote humo!!
Mkuu viking.mkuu Lodrick naomba kupinga..upo sahihi kwa mtazamo wako ila i totally disagree na hiyo idea ya kutumia stop loss kurinda profits zako..
Najua unaelewa maana ya "REQUOTING" mkuu..kwa ambavyo soko lipo volatile,ni vigumu kubashiri kipi kitatokea dakika moja ijayo au sekunde kadhaa zijazo..hivyo,SIO SAHIHI kwa njia yoyote ile kuiondoa stop loss yako ulipoiweka..kama asemavyo MWANA WA NGURUMO,it shows lack of discipline in your trading strategy..
turudi kwenye requoting,hapa ni pale unapotaka kuexcecute an order ila inagoma kwa sababu prices ulizokuwa umechagua zimebadilika kabla haujabofya kile kitufe cha place order au modify order,hivyo broker akakupa prices zingine...hivi unapata picha soko likianza kuenda kinyume kwa ile kasi ya umeme na wakati huo ndio una adjust stop loss?..je unapata picha ya huzuni itakayokukumba pindi ukiona kitu kimepita ulipoiweka stop loss yako mara ya kwanza?..
kifupi nachosema ni kwamba,stop loss inafaa itumike kwa ajili ya kukurinda usije ukaingia hasara na ndiyo maana unaifanyia hesabu kwanza ukajua where to place it...haifai kutumika kama exit point upande wa faida.kuna take profits tutumie hizo..its the reason as to why they exist..
objections are welcome..
Halafu naomba nikucorrect hapo kidogo. Hakuna kitu trailing TP. Na kama ulimaanisha trailing SL basi swala la kuhamisha stop loss halina shida yoyote. Kwa sababu kama uliweka stop loss katika order yako, then ukaamua kuset trailing stop loss, trailing stop losss ikianza kufanya kazi ile SL yako ya mwanzo haitaendelea kubaki. Itakuwa imeshageuka na kuwa trailing....mkuu haifai,MWANA WA NGURUMO yupo sahihi..stop loss ukiiweka hufai kuisumbua tena..bora uende mwendo wa trailing TP..sababu ni kwamba,SL ni kama hand break ya kusimamisha hasara pindi utikeapo..a good trader lazima uwe umeshafanya hesabu yako awali na kujua risk reward ratio yako..hivyo,hata ukipoteza 1$ ukifata 2$ itakuwa sawa...kifupi,stop loss unapoiweka unajua kwamba hata ukipoteza hiyo amount haitaadhiri margin balance yako..
E bwana hongera! Naona top-reversal patterns unazipatia sana. Big up. ingawa SL siooni. utakuwa na 100% uhakika na pattern yako haha! Safi sanaA TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED
Head and shoulders pattern is pouring blues
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tafuta vizuri ,kuna vitabu kibao viko attached hapaDuh! Siku zote hii thread nilikuwa naipotezea hata kuifungua tu maana nilikuwa sielewi hata heading yenyewe!
Leo nimeifungua ki utani utani baada ya kuona wachangiaji wanazidi kuongezeka siku hadi siku
Ki ukweli nimesoma maelezo yote na comments za wachangiaji kadhaa nimejikuta nahamasika sana
Tatizo kubwa niko mbali kidogo na dsm na kama tujuavyo mikoa mingi haijaendelea kiasi hicho
Natamani sana kupata material zaidi kujifunza! Mwenye kujua tunayapataje tafadhali hasa sisi tulio mkoani tuelekezeni tutakapo yapata!
Sent using Jamii Forums mobile app
Page 321 kuna vitabu viwili, kingine hiki kidogo kitakupa picha kwa ifupi kuhusu fxDuh! Siku zote hii thread nilikuwa naipotezea hata kuifungua tu maana nilikuwa sielewi hata heading yenyewe!
Leo nimeifungua ki utani utani baada ya kuona wachangiaji wanazidi kuongezeka siku hadi siku
Ki ukweli nimesoma maelezo yote na comments za wachangiaji kadhaa nimejikuta nahamasika sana
Tatizo kubwa niko mbali kidogo na dsm na kama tujuavyo mikoa mingi haijaendelea kiasi hicho
Natamani sana kupata material zaidi kujifunza! Mwenye kujua tunayapataje tafadhali hasa sisi tulio mkoani tuelekezeni tutakapo yapata!
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu..nilimaanisha trailing stop loss...Halafu naomba nikucorrect hapo kidogo. Hakuna kitu trailing TP. Na kama ulimaanisha trailing SL basi swala la kuhamisha stop loss halina shida yoyote. Kwa sababu kama uliweka stop loss katika order yako, then ukaamua kuset trailing stop loss, trailing stop losss ikianza kufanya kazi ile SL yako ya mwanzo haitaendelea kubaki. Itakuwa imeshageuka na kuwa trailing....
I stand to be corrected
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa kunisaidia mkuu wangu!!Mkuu viking.
Naomba na mimi nikupinge kama ifuatavyo. Stop inaweza ikafanya kazi mbili,
1. Itatumika kuzuia usipate hasara zaidi endapo price itakwenda against na plan zako. Na hii ndio kazi kubwa ambayo watu wengi wanatumia
2. Itatumika kusecure profits zako in case kama uliiadjust and price imegoma kuhit your take profit. Kwa mfano umeenter a long position and umeshakusanya pips kadhaa, price bado inapanda lkn bado haijafika kwenye TP. Unao uwezo wa kuadjust stop loss yako ili hata kama price haitahit TP then ikareverse, basi usipoteze pips zako ulizokuwa umekusanya. Vipi kama hujuadjust SL yako then price ikareverse kabla ya kuhit TP then ikarudi mpaka ikagusa tena stop loss, si utakuwa umeingia hasara???
STOP LOSS INAWEZA KUHAMISHIKA NA NDIO MAANA KUNA TRAILING STOP LOSS AMBAPO TOFAUTI YAKE NA STOP LOSS YA KAWAIDA NI KWAMBA TU YENYEWE INAHAMA AS THE PRICE MOVE ON YOUR SIDE
I stand to be corrected.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Lodrick naomba kupinga..upo sahihi kwa mtazamo wako ila i totally disagree na hiyo idea ya kutumia stop loss kurinda profits zako..
kifupi nachosema ni kwamba,stop loss inafaa itumike kwa ajili ya kukurinda usije ukaingia hasara na ndiyo maana unaifanyia hesabu kwanza ukajua where to place it...haifai kutumika kama exit point upande wa faida.kuna take profits tutumie hizo..its the reason as to why they exist..
objections are welcome..
Great! Thanks muchPage 321 kuna vitabu viwili, kingine hiki kidogo kitakupa picha kwa ifupi kuhusu fx
exactly, simply tunaita ku lock profitsKasome kitabu cha NAKED FOREX chapter 11 (Existing the trade)From screenshot:
Briefly,
Namba 1: SL inawekwa mwanzoni kukukinga na losses kama soko likienda hivyo.
Namba 2: stop loss imesogeza ili incase trend ikibadika utoke sokoni ukiwa na faida kiasi.
Namba 3: SL imesogeza chini zaidi baada ya trend kuendelea kushuka, kama utaona hapo chini baada ya trend ku-reverse position imefungwa na SL na kumuacha trader akiwa na faida!!
Ukiweza soma kitabu chote kitakusaidia sana, ukikimaliza utaelewa nilichoandika. Karibu mkuu!View attachment 568145
nimeelewa kaka..ila wasiwasi wangu ulikua hapo kwenye requote manake niliwahi kuexperience hilo jambo..tena nilishasoma sehemu kwamba kama platform unayoitumia haina trailing stop loss waweza ukabuni yako kwa kuiadjust ile Stop loss ya kawaida..ila kuna wakati flani nilikuwa nafanya hivyo kisha kabla ya kumodify kitu kikashuka ghafla na kunighalimu sana..Nashukuru kwa kunisaidia mkuu wangu!!
Nadhani the viking atakua amekupata. Kama akiwa na wasi wasi ni vyema akapitie kitabu cha NAKED FOREX kwenye chapter ya EXIT STRATEGIES, hiki kitu kimeelezewa kule kwa undani sana!!
Once again, Thank you!
Kwa nnachojua reqoutes mara nyingi ni tatizo la broker kama broker na sio tatizo la SL, na sio muda wote inatokea mara nyingi inatokea wakati soko likiwa lina-move so fast (hasa wakati wa news release)!nimeelewa kaka..ila wasiwasi wangu ulikua hapo kwenye requote manake niliwahi kuexperience hilo jambo..tena nilishasoma sehemu kwamba kama platform unayoitumia haina trailing stop loss waweza ukabuni yako kwa kuiadjust ile Stop loss ya kawaida..ila kuna wakati flani nilikuwa nafanya hivyo kisha kabla ya kumodify kitu kikashuka ghafla na kunighalimu sana..
[emoji119][emoji119][emoji119] sawa mkuu.... Na Mimi pia niliifumia hiyo setupE bwana hongera! Naona top-reversal patterns unazipatia sana. Big up. ingawa SL siooni. utakuwa na 100% uhakika na pattern yako haha! Safi sana