Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Salute Mkuu, hiyo ni technique nzuri ya kuanzia kwa wale waoga wa ku-risk.
 
hakika vinavutia
 
Jumapili Jion???

Kuna harufu ya utapeli hapa... i smell tapeli here... someone PM huko... please kua mwangalifu

We all know weekend hii biashara yetu penda inakua imefungwa, na mda wa kufunguliwa wote twaujua...


Mzee pita kushoto
 
Au anamaanisha jpili jioni saa sita ucku asian session labda?
 
Jumapili Jion???

Kuna harufu ya utapeli hapa... i smell tapeli here... someone PM huko... please kua mwangalifu

We all know weekend hii biashara yetu penda inakua imefungwa, na mda wa kufunguliwa wote twaujua...


Mzee pita kushoto

Naomba unitake radhi kwa kunivunjia heshima yangu hapa.

Labda ungeuliza Jumapili jioni ya wapi ndugu yangu kabla ya kuanza kunituhumu kwa maneno ya kejeli.

Mimi naheshimiana na watu sana hapa, na sina sababu ya kuleta utapeli kwa sababu hakuna nitakachopata na zaidi roho yangu itanisuta.

Sijataka kumuuzia mtu kitu.Sijataka kumfundisha mtu kitu.

Natoa mfano tu watu wajue kwamba kuna watu wanapata katika biashara hii wasife moyo kwamba hakuna anayepata.

Mambo ambayo wewe unaona yanahitaji utapeli ili kuwapo, mimi nayafanya kirahisi katika maisha yangu halisi.

Ni hivi, mimi niko North America. Saa kumi na mbili jioni East Coast US tayari ni asubuhi ya New Zealand.

Kwa hivyo, masoko ya New Zealand yakianza kufunguliwa asubuhi ya kwao New Zealand, kwetu US East Coast ni saa 12 jioni tunaangalia TV na kusubiri dinner.

Siku nyingine kabla ya kumu accuse mtu ambaye humjui uongo - neno kubwa sana hilo-, angalau uliza kwanza ujihakikishie mambo.

Na ukiwa wewe unakaa kijiji cha Mtakuja, usifikiri kwamba dunia nzima tunaokutana hapa tunatoka kijiji chako kwamba Jumapili jioni yako ni Jumapili jioni ya kila mtu.

Ushaelewa?

Soma link hii hapa -->Holidays & Hours Unaelewa "6 PM Sunday" ni muda gani au unahitaji kutafsiriwa?

Trading hours
Nadex is open for trading from 6pm ET Sunday through 4:15pm ET Friday, excluding end-of-day processing hours which occur between 5pm and 6pm ET on Monday through Thursday. Our customer services team is available during all regular trading hours.

Trading hours for individual contracts are given in the Contract Specs for each market.
 
Nimechukua Jumapili jion kama mfano

ila hata jumamos umeaziandika humo humo, jumapili humo humo.. Yaan Direct kutoka ijumaa hadi jumatatu, na pili, katika kusoma soma sijaona soko linalo funguliwa saa 12 jion au asubuhi (hili niliache hvyo hvyo manake bado naendelea kusoma)


Kuna maneno ume copy and paste direct from Astr"", hujabadili hata herufi moja


Watu wanatafuta pesa kwa tabu sana,, rudi kwenye magari yako uendelee kutapeli kule..

Gar ya mil 5 s ulikua unauza mil 10??? rudi kule... atleast hao wana pesa..
 
Hamasa nzuri hizi twashukuru.hizi umetengeneza kwa mtaji wa kiasi gani?your trading account

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nachukua profit na kuzitoa kabisa kwenye portfolio some time, ku hedge against the temptation to bet it all and lose big.

Lakini kwa hii session, nimeanza na $2,000 abt 3 weeks ago. Hapo kati kuna some zigzagging (losing a bit, stop loss, reversing positions etc) lakini the big picture is overall progress from $2,000 to about $12,300 in 3 weeks.

That's about $10,300 of profit in 3 weeks. Most of which I made over this weekend, this shows that my game is improving rapidly in so far as understanding the movements and getting in/ out at the right times.
 
Jumapili mfano wa nini? Umekubali kwamba hilo la Jumapili umefulia?

Jumamosi nilipoziandika wapi? Unaweza kunipa a verbatim quote hapa?

Do you even know what that is?

Katika kusoma hujaona soko linalofunguliwa Jumapili saa 12 jioni, saa 12 jioni ya wapi?

Umesomahiyo link ya NADEX? Unajua kusoma Kiingereza?

Hivi unaelewa concept ya time zones wewe? Unaelewa kwamba dunia nzima ina masaa 24 tofauti at any given moment?

Unaelewa kwamba Jumapili saa 12 jioni ya East Coast US tayari ni Jumatatu asubuhi New Zealand na watu wa East Coast US wanaweza kuanza ku trade saa 12 yao ya jioni Jumapili kwenye mtandao kwa sababu tayari ni asubuhi Jumatatu New Zealand?

Unaelewa kwamba dunia yote haiendi kwa saa moja?

Hayo maneno niliyo copy paste from Ast yako wapi? yaweke hapa tuyaone na tupelink ya Astr tuone unachosema kama ni kweli.

Ukishindwa kufanya hivyo niombe radhi, ama sivyoumeniruhusu kukuita mzushi popote nitakapokuona hapa.

Kwenye magari wapi? Sijawahikuuza gari maishani mwangu.

Unanichanganya na nani?

Au una chuki na watu wanaotengeneza hela ambazo wewe unaziona kama ndoto tu?
 
Porojo za nn kiongozi... anyway... Labda nikujibu kwa mtindo huu

Tanzania na Newzland tumepishana kati ya masaa tisa au kumi hvi


Ni kwann sasa, siku ya jumapili soko huku kwetu lisiwe open muda ambao Newzland kwao tayari n open(Naongelea Online hapo)


Ama Australia.. kule n jumanne mchana saaa hv,, n Kwann basi, soko lao linapofunguliwa hiyo usiku huku kwetu bado linakua ziii (Naongelea Online hapo)


Nikwann huko unakodai upo saiv time zote yenu iingiliane na time zote ya sehemu nyingine ????

NB. Huko kwenu mmepishana masaa 12
 
Hahaaa,

Wewe kabla ya kujiingiza katika Forex soma jiografia kwanza ujue time zones zimeendaje.

Unaniuliza kwanini Jumapili jioni Tanzania soko lisiwe open kwa kuangalia New Zealand, unajua Jumapili jioni ya Tanzaniani ni saa ngapi New Zealand na ni saa ngapi US East Coast?

Hii ramani inayoonyesha time zones unaielewa?

 
Nimekuuliza swali dogo kiongozi.. ambalo jibu lako lingeondoa doubt niliyo nayo


Kwa maelezo mwenyewe umesema mnatofautiana msaa 12, asubuh yao n jion kwenu, sie twatofautiana masaa 8..


ni Kwann wewe uweze litumia saa 12 mtu wa Tanzania ashindwe litumia saa mbili???


N kwanni la Australia lipofunguliwa, hiyo night.. mtu wa Tanzania bado linakua limefungwa??? Kama Time zone zingeweza ingiliana namna hiyo.. that mean pale Australia likifunguliwa, jumapili asubuhi huku kwetu mtu angeamkia kwenye laptop ama simu yake akaendelea na trade zake.. ama kwa lugha nyepes, isingekua biashara ya siku 5 tena kwa wiki, kuna maeneo ingekua siku sita... sijui unapata wasiwasi wangu ulipo lakn


Swali ndio likaja


Huku kwenu inawezekana vipi hili?? hapo tu ndio nataka ufafanuz, baada ya hapo, Nitatengua kaul yangu ya awali kwamba i smell tapel
 

First things first.

Tatizolako la kwanza hujui kusoma.

Ushanielewa?

Hujui kusoma. Na kwa sababu hujui kusoma, hata kunielewa inakuwa ngumu.

Rudi shule jifunze kusoma kwa comprehension kwanza, halafu ndiyo urudi hapa.

Wapi nimesema tunatofautiana masaa 12?

Unaweza kunipa hiyo sehemu? Unaweza kunukuu ukanionyesha nilipoandika kwamba tunatofautiana masaa 12?
 
Boss hiyo ni real account ama demo tujue kabisa, maana trading demo na real account ni experiance mbili tofauti kabisa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss hiyo ni real account ama demo tujue kabisa, maana trading demo na real account ni experiance mbili tofauti kabisa


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaulizwa swali hili awali na nimelijibu, na nalijibu tena.

Hiyo ni real account, habari yoyote nitakayoiweka hapa ni ya real account.

Sitakaa kuzungumzia habari ya demo hapa.

Kama habari ya real account tu watu wanataka kupasukaroho kwa chuki za ajabu na kijinga, nikiweka demo account ambayohuwa nafikisha mpaka $100,000 na zaidi, naweza kuwapa ugonjwa wa moyo wakafarikibure.

Real account boss, faida ya about US $ 10,300 in about 3 weeks.Nimeitoa $2,000 nikaenda nayo, kuna sehemu nilipoteza kidogo nikaangalia kubadili gia angani,weekend hii imenipaisha sana Ijumaa nimepiga $3,800, Jumapili jioni nimepiga $500 na leo Jumatatu asubuhi nimepiga $1030.

Hizi figures ni kwa sababu nimetakakuwa "risk averse", lakini kama Ijumaa nilikulaEUR/USD, kama ningekuwa mroho siogopi risk ningeweza kupiga profit hata ya $15,000. Nilikuwa na hela ya ku call those long positions, lakini ukifanya hivyo halafu position ika backfire una lose big time pia. Nikaamua kuwa conservative kidogo.

One thing to note, this is not straight up Forex trading, this is options trading using Forex. There is a difference.

I am using NADEX, you can create a demo account and see how it works if you want.
 
Binary option hiyo ama?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…