Mwaka mpya
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 213
- 222
Unajua kwamba Sunday ya kwenu ni Monday ya sehemu nyingine dunia hii hii moja?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Naomba akapimwe mkojo
Forex sunday???
Sawa mi kilaza ila kwa hapo [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwamba Sunday ya kwenu ni Monday ya sehemu nyingine dunia hii hii moja?
Na Monday ya kwenu kwa watu wengine ni Sunday? Wakati huohuo mmoja. Unaelewa hilo?
Na kwenye mtandao hatuna mipaka?
Umesoma na kuelewa post [HASHTAG]#7473[/HASHTAG] ?
Kwa taarifa yako sehemu nyingine Sunday watu wanapiga mambo vizuri sana tu, labda kama wewe hujafahamu.
Nimerudi kuangalia katika mitego yangu nitegeshe wapi saa hizi.Kaka naona una darasa la Jiografia 🙂. Let them breathe and figure out by themselves
mkuu tunaomba ka'screenshot kama hutojaliNimerudikuangalia katika mitego yangu nitegeshe wapi saa hizi.
$1030 faida kwa siku hazijanitosha bado natakakurudilive niangalie pair ipi inatoa.
Hawa watoto walio na utapiamlo wa elimu wasiojua tofauti ya "time zone" na "time travel" ni makosa ya wazazi waona serikali zao kukosa elimu, kwa hiyo siwezi kujivika kazi ya ualimu wakati kuna maelfu ya USD yananingoja kuzipiga hapa.
Create Telegram tuwe wote
Ulishawahi kupitia kidogo na kukielewa kitabu cha currency trading for dummies?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Naomba akapimwe mkojo
Forex sunday???
Sawa mi kilaza ila kwa hapo [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea mtu anayebisha kwa tija kukataa matapeli aniulize swali kama lako.mkuu tunaomba ka'screenshot kama hutojali
Wakuu kwa huo mjadala uliopita kuhusu Time Zones nafikiri Lugha ya Kiingereza watu wengi inawapiga chenga.
Ni dhahiri tuna safari ndefu ya kufikia mafanikio, moja ya jambo muhimu hapa si kusoma na kumaliza vitabu bali ni kusoma na kuelewa neno kwa neno katika vitabu vyote tulivyopewa.
Tuzingatie Time Zone na tuzielewe sana kwa mfano Sisi Tanzania na Uingereza tumepishana masaa ma3 kwa maana hiyo kama Uingereza ni saa 1:30 asbh basi Tanzania ni saa 4:30 asbh kuna maeneo mengine tumepishana hadi masaa 11, jamani tujitahidi kuyaelewa masaa haya.
Nakumbuka wakati wa mechi za Kombe la Dunia kule Korea sisi tulikuwa tunaangalia Mpira wakati mwingine saa 2 asbh lakini kwa wenzetu Korea ni jioni ya saa 10. Tusione aibu tujifunze Jiografia vizuri.
Nawasilisha.
mkuu tunaomba ka'screenshot kama hutojali
Then mkuu upige mpunga $2000 uendeleze ligi isiyo na msingi. Mimi sinyweswi chai kitahisi[emoji23]hahahhaa mimi pia nilikuwa nafikiria kwanini mkuu asilete angalau hizo screen shot za pesa alizopiga ili kumaliza malumbano au clear jina kwakuwa kazushiwa kuwa tapeli.very simple ,shut them mouth kwa kuprove them wrong with evidence
unaelewa hata binary ni nini?
Unajua kusoma?
Unajua time zone nikitu gani?
Umekubalikwamba NADEX wana trade 6 PM Sunday?
Unajua 6 PM Sunday ni muda gan?
Umeshapost nilipo copy Ast hapa?
Moja kati ya vitu Al_watan umekosea, ni kumtusi mwenzako kabla hujamfunza kuhusu time zones.
Ni jambo la msingi kutambua kuwa co wote humu walisoma, au wanafahamu jiografia vizuri. Nadhani ulipaswa kumuelekeza kwa staha na heshima, ili hata wengine wasiofahamu wajifunze kupitia kwenu..
Danpol tatizo lako ni kama langu, kudhan yeyote anayepiga hela ananidanganya, lakn hukuuliza kistaarabu ili kupata ufafanuzi, ni kweli, ishu ya tofauti ya masaa ni ngumu kuielewa, lakn ninaamin taratibu tutafika... Ningeshauri, uulize maswali kistaarabu ili kupata majibu yanayojitosheleza..
Maoni yangu ni mali yangu, lakn naamini kuwa kuna watu wazma wanafuatilia uzi huu, ambao hawapend lugha za matusi na kejeli, sbb wamesubscribe hapa kujifunza forex, co matusi...
Kama nko sahh, 12jion ni ucku mnene kwa tz (kama 8 ucku, ambayo ni j3, nahc) so danpol, waeza jarb kuamka muda huo, ukiwa na app ya NADEX na kujarb kutrade uone...
Zaidi sana, naombeni tuwe wastaarabu...
Samahanini kwa kuingilia ugomvi wenu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlishaomba samahani kwa kuingilia magomvi yenu, kama yapo ya kujifunza kwako, ntauliza, mara ntakapopata shda na vitabu nasoma, lakn labda unsaidie, n kipi ni rahc zaidi kutrade, kati ya forex na binary..Sikiliza wewe.
Kuna wanaotaka kufundishwa na wanaotaka uzushi.
Na usinifanye mimi mjinga sijui tofauti.
Ushanielewa?
Tafadhali sana naomba uniheshimu na usije na judgement zako nimekosea kumsema maaluni huyu mwenye ugonjwa wa akili wa "oppositional defiance disorder".
Mimi naheshimiana na watu sana hapa.
Lakini akija mtu maaluni akitaka kuniletea umaaluni atajua Al-Watan mtoto wa Kariakoo haswaaa.
Nina mizizi tangu misheni kota mpaka Mchikichini.
Akitaka uungwana atakutana nao tele, akitaka matusi na kejeli pia kwelea kwele.
Kwa nini unampa nafasi sawa maaluni huyu ambaye kanizushia uongo halafu kakataa hata kuniomba radhi hapa?
Sent from my Kimulimuli
Nlishaomba samahani kwa kuingilia magomvi yenu, kama yapo ya kujifunza kwako, ntauliza, mara ntakapopata shda na vitabu nasoma, lakn labda unsaidie, n kipi ni rahc zaidi kutrade, kati ya forex na binary..
Sent using Jamii Forums mobile app