Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
[SIZE=16px said:
The opening of the trading week There is no officially designated starting time to the trading day or week, but for all intents the market action kicks off when Wellington, New Zealand, the first financial center west of the international dateline, opens on Monday morning local time. Depending on where you live, it roughly corresponds to early Sunday afternoon in North America, Sunday evening in Europe, and very early Monday morning in Asia. The Sunday open represents the starting point where currency markets resume trading after the Friday close of trading in North America

Kwa lugha iliyotumika hapo juu Ndugu Al Watan uko sahihi.[/SIZE]
 
Then mkuu upige mpunga $2000 uendeleze ligi isiyo na msingi. Mimi sinyweswi chai kitahisi[emoji23]

Wewe nawe bado hujakubali tu hata baada ya kuonyeshwa screenshot au hii post ya awali?

$ 2,000 ni relative mbona hizo tunaoata kwa mishe mishe nyingine kibao hata bila ku trade?

Ilikuwa haijaulizwa screen shot. Ndiyo maana screenshot ilikuwa haijaletwa.

Soma thread uone mzozo nini.

Umeuliza screen shot. Umepewa screenshot. Au hujapewa?

Kitu ambacho wewe usiye na hulka ya kukomalia ukweli utaona ligi isiyo na msingi, mimi ambaye sipendi kuona ukweli unapotoshwa nitaona ni kitu cha msingi.

Kuna watu walikuwa wanafuatilia hawakujua kwamba kuna sehemu watu wanafanya trading Sunday 6 PM.

Sasa wamejua na huyu mzushi kawa exposed kwamba muongo.

Sasa watu kupata kujua hilo kwa uhakika unaona jambo dogo?

Ulitaka uongo kwamba hakuna anaye trade Jumapili jioni uachiwe ukubalike?



Sent from my Kimulimuli
 
Moja kati ya vitu Al_watan umekosea, ni kumtusi mwenzako kabla hujamfunza kuhusu time zones.

Ni jambo la msingi kutambua kuwa co wote humu walisoma, au wanafahamu jiografia vizuri. Nadhani ulipaswa kumuelekeza kwa staha na heshima, ili hata wengine wasiofahamu wajifunze kupitia kwenu..

Danpol tatizo lako ni kama langu, kudhan yeyote anayepiga hela ananidanganya, lakn hukuuliza kistaarabu ili kupata ufafanuzi, ni kweli, ishu ya tofauti ya masaa ni ngumu kuielewa, lakn ninaamin taratibu tutafika... Ningeshauri, uulize maswali kistaarabu ili kupata majibu yanayojitosheleza..

Maoni yangu ni mali yangu, lakn naamini kuwa kuna watu wazma wanafuatilia uzi huu, ambao hawapend lugha za matusi na kejeli, sbb wamesubscribe hapa kujifunza forex, co matusi...

Kama nko sahh, 12jion ni ucku mnene kwa tz (kama 8 ucku, ambayo ni j3, nahc) so danpol, waeza jarb kuamka muda huo, ukiwa na app ya NADEX na kujarb kutrade uone...

Zaidi sana, naombeni tuwe wastaarabu...

Samahanini kwa kuingilia ugomvi wenu...



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,, Hiyo mada ya time zone kaileta nani humu??? unaweza kuleta kitu ambacho hukijui??

Yaan nikupeleke bwawan mm alafu unaiambie sijui bwawa n kitu gani??
 
Heheeeheeh, Dah, Ndo nimepata muda wa kuwasha PC saa hizi, Duh huu mchuano wa time zones ulikuwa mkali kweli. Nadhani wa kujifunza wameshajifunza na wa kuelewa wameelewa.
 
Kwa lugha iliyotumika hapo juu Ndugu Al Watan uko sahihi.[/SIZE]
Hawa vinyamkela wengine kwani unafikiri wanabisha facts basi?

Wanabisha kwa roho ya korosho tu, yani wakisikia Al-Watan kapiga dola elfu kadhaa katika siku moja huku kakaa anakunywa juisi na kuangalia TV Jumapili jioni wao roho inawauma saaana.

Wanakuwa hawapendi kusikia hivyo.

Wanazusha ume copy paste kutoka Ast, unawaambia nipe link nime copy paste wapi, wananywea.

Wengine wanakuwa hawaamini, wanaomba screenshot, na mwanao Al-Watan alivyo walii hata kukataa hajui, unataka screenshot, hiyo hapo, nimewapa.

Sasa sijui watakuja na nini.

Hii roho ya wivu wa kijinga ni mbaya sana, mtu akionyesha njia na kuwaambia wengine jamani nimepiga hapa maelfu haya ya dola, huyo ni wa kuona anawatakia wenzake mema, badala ya kumuuliza umepigaje, tuonyeshe na sisi tupige, watu wanamuwekea roho ya kijicho na kumuita tapeli.

Ndiyo maana watu wengine wanaamua kufanya mambo yao kimyakimya.

Mi nikipiga dollar zangu bila mlavumbi kujua nitapungukiwa nini?

Kichwa changu nakiamini hakuna semina niliyoenda wala kufundishwa na mtu nimekomaa mwenyewe kwenye demo na vitabu na kusoma news.

Huyo mlavumbi akikataa wakati hela zipo katika akaunti yangu nitapungukiwa nini?

Tatizo sitaki upotoshaji tu hapa kusema hamna trading Jumapili.

Kama kijijini kwao nyumba hazina taa za umeme basi asifikiri dunia nzima ndiyo iko hivyo.
 
Mkuu,, Hiyo mada ya time zone kaileta nani humu??? unaweza kuleta kitu ambacho hukijui??

Yaan nikupeleke bwawan mm alafu unaiambie sijui bwawa n kitu gani??


Boss take it easy, Mlichokuwa mnabishania haikuelezwa moja kwa moja kama ni time zone, Ila base ya ubishi wenu ni time zone. Take your time to chck correctness of it, Ujiridhishe hope utapata jibu.
 
Boss take it easy, Mlichokuwa mnabishania haikuelezwa moja kwa moja kama ni time zone, Ila base ya ubishi wenu ni time zone. Take your time to chck correctness of it, Ujiridhishe hope utapata jibu.
Huyo jamaa ni kati ya wale maamuma wasiojua a wala be lakini wabishi kuliko mshipa wa punda.

Mtu hajui time zone ni nini halafu anabishana kuhusu kama watu wanaweza ku trade Sunday 6 PM US ET kwa ku link market ya New Zealand Jumatatu asubuhi, bila kujua hilo ni suala la time zones.

Anabisha kabisa hata haulizi aeleweshwe, anaanza kwa kutukana watu kama matapeli.

Mpumbavu kama huyo inabidi pigwe mpaka atoke damu ajue kuna watu hawapendi ujinga hapa.
 
Boss take it easy, Mlichokuwa mnabishania haikuelezwa moja kwa moja kama ni time zone, Ila base ya ubishi wenu ni time zone. Take your time to chck correctness of it, Ujiridhishe hope utapata jibu.
Hiyo haikua case.. aliamua ivutia huko.. kwakua haikua mada nikapotezea kashikia bango, kuna mambo ya kuwekwa sawa,


Issue ya time zone nilileta mm, n sawa nakuletea kijiko alafu unaniambia sijui kijiko


Jambo la msingi jamaa alilopaswa kufanya

Kwanza nilidhan labda yuko hapa hapa, baadae akaja kusema hayuko hapa

kilichofanya mada iwe ndefu n ubishi tu, anang'ang'ana na PM... Evening.. pm evening , n majibu ambayo hayajitoshelezi... Ukisoma maelezo yangu kuna wakat niliweka na mwongozo nikawambia... we niambie huko kwenu haiwezekan kwasababu moja mbili tatu, huku tulipo inawezekana kwasababu moja mbil... ilikua rahisi sana


Kuna mdau hapo katikat kajibu vizuri tu,

Anasema hujui kusoma, mara sijui umetoka kijiji gani [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mara hili mara lile.. swali moja tu, lilipaswa jibiwa na paragraph moja tu... anadunda kama katenesi... anyway.. mada ilishaisha, kwakua nimekuta kaendelea nam nikaendeleza
 
Watu wanaoniheshimu na ninaowaheshimu wameniomba niachane na mjadala huu kwa sababu ni mjadala unaopambanisha vitu ambavyo ni tofauti.

Ni kama pambano la ndondi kati ya heavyweight na light minimumweight, si pambano, ni kama mauaji.

Na mimi kwa sababu naheshimu watu wanaoniheshimu naamua kujitoa katika mjadala huu, kwa sababu pia muda wangu wa kupiga pesa zaidi ushawadia, nataka nikae nisome trend analysis etc, nipige maelfu zaidi.

Hawa maaluni wengine wakibishana sana hapa hawana cha kupoteza.

I have some serious money to make or lose.

Kwaherini.
 
According to currency trading fo dummies-;
Around the World in a Trading Day
The forex market is open and active 24 hours a day, from the start of business hours on Monday morning in the AsiaPacific time zone straight through to the Friday close of business hours in New York. At any given moment, dependingon the time zone, dozens of global financial centers — such as Sydney, Tokyo, or London — are open, and currency trading desks in those financial centers are active in the market. In addition to the major global financial centers, many financial institutions operate 24-hour-a-day currency trading desks, providing an ever-present source of market interest. It may be a U.S. hedge fund in Boston that needs to monitor currencies around the clock, or it may be a major international bank with a concentrated global trading operation in Singapore.

The opening of the trading week There is no officially designated starting time to the trading day or week, but for all intents the market action kicks off when Wellington, New Zealand, the first financial center west of the international dateline, opens on Monday morning local time. Depending on where you live, it roughly corresponds to early Sunday afternoon in North America, Sunday evening in Europe, and very early Monday morning in Asia. The Sunday open represents the starting point where currency markets resume trading after the Friday close of trading in North America (5 p.m. eastern time [ET]). This is the first chance for the forex market to react to news and events that may have happened over the weekend. Prices may have closed New York trading at one level, but depending on the circumstances, they may start trading at different levels at the Sunday open.
Mkuu Danpol ndo maana kakomaa sana lakini ni vizuri kwa maana bado tunajifunza hakuna haja ya kushikana mashati.
Mkuu ONTARIO ,Bavaria amueni kesi hii matrader tusonge mbele uzi huu utatusaidia sote japo kuna baadhi wanautumia ndivyo sivyo ikiwemo kupiga dili n.k
Dr. adams faida

asante kwa ufafanuz

Ndio jibu lililopaswa kuwepo hapa.


At first nilidhan labda anaishi bongo, trading na jumapili mmh tango pori kabisa


anyway, katika mjadala wetu nadhan kuna kitu kilikosekana na ndio umekileta,

NISEME TU NIMEELEWA VIZURI TU


Nilimwambia nitatengua kaul akitoa ufafanuz wa kuelewaka kama hivi, kwann kule waweze fanya hvyo na sio huku kwetu, matokeo yake n mbilinge moja hatari sana [emoji13] [emoji13] [emoji13]


Kwakua lengo lilikua n kupata ufafanuz, na ufafanuz umepatikana

MR Al Watan, Natengua kauli yangu ya awali kuhusu mtazamo wangu juu yako, kwa maelezo haya kuna uwezekano ni kweli unafanya hvyo jumapil jion kama ulivyodai, tuishi kwa aman


Ila tu, iwe kweli upo huko North America sio North mara
 
Moja kati ya vitu Al_watan umekosea, ni kumtusi mwenzako kabla hujamfunza kuhusu time zones.

Ni jambo la msingi kutambua kuwa co wote humu walisoma, au wanafahamu jiografia vizuri. Nadhani ulipaswa kumuelekeza kwa staha na heshima, ili hata wengine wasiofahamu wajifunze kupitia kwenu..

Danpol tatizo lako ni kama langu, kudhan yeyote anayepiga hela ananidanganya, lakn hukuuliza kistaarabu ili kupata ufafanuzi, ni kweli, ishu ya tofauti ya masaa ni ngumu kuielewa, lakn ninaamin taratibu tutafika... Ningeshauri, uulize maswali kistaarabu ili kupata majibu yanayojitosheleza..

Maoni yangu ni mali yangu, lakn naamini kuwa kuna watu wazma wanafuatilia uzi huu, ambao hawapend lugha za matusi na kejeli, sbb wamesubscribe hapa kujifunza forex, co matusi...

Kama nko sahh, 12jion ni ucku mnene kwa tz (kama 8 ucku, ambayo ni j3, nahc) so danpol, waeza jarb kuamka muda huo, ukiwa na app ya NADEX na kujarb kutrade uone...

Zaidi sana, naombeni tuwe wastaarabu...

Samahanini kwa kuingilia ugomvi wenu...



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] Issue ya kupigwa pesa kwa sasa inatisha kuliko ukimwi, yaan ukifumba macho tu wamepita nayo
 
Parting shot.

Another $1050 in the bag for Monday's new profit , Forex options on NADEX.

That pushes Mondays profit to $2,080. USD/ CAD was adjusting down but we squeezed it nonetheless.

From Friday, here is how we stand. These are daily profits.Real account (some have asked if its demo)

Friday $3,800

Sunday $500

Monday $2,080

I may want to call it a day.
 
Watu wanaoniheshimu na ninaowaheshimu wameniomba niachane na mjadala huu kwa sababu ni mjadala unaopambanisha vitu ambavyo ni tofauti.

Ni kama pambano la ndondi kati ya heavyweight na light minimumweight, si pambano, ni kama mauaji.

Na mimi kwa sababu naheshimu watu wanaoniheshimu naamua kujitoa katika mjadala huu, kwa sababu pia muda wangu wa kupiga pesa zaidi ushawadia, nataka nikae nisome trend analysis etc, nipige maelfu zaidi.

Hawa maaluni wengine wakibishana sana hapa hawana cha kupoteza.

I have some serious money to make or lose.

Kwaherini.


Sasa mkuu unatuaga unaenda wapi sasa wakati uwepo wako unahitajika hapa....ila duuuu..kweli mkuu we mtoto wa kariakoo..Nimelala nimeacha mtifuano...nimeamka bado unaendelea..
 
Sasa mkuu unatuaga unaenda wapi sasa wakati uwepo wako unahitajika hapa....ila duuuu..kweli mkuu we mtoto wa kariakoo..Nimelala nimeacha mtifuano...nimeamka bado unaendelea..
Nipo mkuu. Niende wapi?

Nilikuwa nasema hivi, watu wangu ninaowaheshimu na wao wanaoniheshimu, wamenifuata na kuniambia chonde chonde Al-Watan achana na malumbano na watoto ambao hawajui hata time zone ni nini.

Watoto hawajui time zone ni nini wanataka kubishana na kichwa kinachochambua Wave Particle duality ya Quantum Physics?

Wakaniambia hiyo si fair game.

Na mimi kuangalia ule muda wangu wa kutengeneza hela jioni ulikuwa umewadia.

Ikabidi niende kuangalia trends zinaendaje na kuweka kichwa huko.

Na kweli. Muda si mrefu nikapiga $1050 nyingine za jioni.

Nikichanganya na zile $1030 za asubuhi leo nimepiga $2080.

Sasa nina haja ya kubishana na mjinga mjinga asiyejua time zone from time travel?

Tena bora angekuwa hajui halafu anauliza kwa heshima ajulishwe, mbona wengi tumejifunza yote hayo? Yeye hajui halafu anatukana watu tunaoheshimiana na watu hapa matusi kuniita mimi tapeli? Mtu naaacha shughuli zangu kutia watu motisha hapa tusionekane wote tumefulia, leo aniite tapeli?

Ni hayo tu mkuu wangu.

Mtu kama huyu hawezi kunitoa mimi hapa.

Napiga hela halafu narudi kutoa feedback hapa.

Nilikuwa nasema tu siendelezi majibizano naye kwani nimekatazwa na watu ninaoheshimiana nao hapa.

Wanasema nikibishana na kichaa kuna watu wengine watashindwa kujua nani kati yangu mimi na huyo kichaa ni kichaa.

Unaweza kuambiwa mtu kamaliza Form Four hajui Time Zone ni nini!

Halafu anajishaua thread ya Forex.

FOH.

Sent from my Kimulimuli
 
Nipo mkuu. Niende wapi?

Nilikuwa nasema hivi, watu wangu ninaowaheshimu na wao wanaoniheshimu, wamenifuata na kuniambia chonde chonde Al-Watan achana na malumbano na watoto ambao hawajui hata time zone ni nini.

Watoto hawajui time zone ni nini wanataka kubishana na kichwa kinachochambua Wave Particle duality ya Quantum Physics?

Wakaniambia hiyo si fair game.

Na mimi kuangalia ule muda wangu wa kutengeneza hela jioni ulikuwa umewadia.

Ikabidi niende kuangalia trends zinaendaje na kuweka kichwa huko.

Na kweli. Muda si mrefu nikapiga $1050 nyingine za jioni.

Nikichanganya na zile $1030 za asubuhi leo nimepiga $2080.

Sasa nina haja ya kubishana na mjinga mjinga asiyejua time zone from time travel?

Tena bora angekuwa hajui halafu anauliza kwa heshima ajulishwe, mbona wengi tumejifunza yote hayo? Yeye hajui halafu anatukana watu tunaoheshimiana na watu hapa matusi kuniita mimi tapeli? Mtu naaacha shughuli zangu kutia watu motisha hapa tusionekane wote tumefulia, leo aniite tapeli?

Ni hayo tu mkuu wangu.

Mtu kama huyu hawezi kunitoa mimi hapa.

Napiga hela halafu narudi kutoa feedback hapa.

Nilikuwa nasema tu siendelezi majibizano naye kwani nimekatazwa na watu ninaoheshimiana nao hapa.

Wanasema nikibishana na kichaa kuna watu wengine watashindwa kujua nani kati yangu mimi na huyo kichaa ni kichaa.

Unaweza kuambiwa mtu kamaliza Form Four hajui Time Zone ni nini!

Halafu anajishaua thread ya Forex.

FOH.

Sent from my Kimulimuli



Sawa mkuu nimekosoma....tatizo inawezekana inadhaniwa wote walio Jf wapo Nankurukuru....kumbe kuna akina US babe Nyani Ngabu wako nchi za watu huko.

Hv mkuu umeanza hii ishu ya forex/binnary baada ya mkuu Ontario kuleta huu uzi hapa jukwaani au ulikuwa unaijua tangia kitambo kidogo??

We ni physicist???...no wonder hii kitu umekomaa mwenyewe bila siminar wala mentor (kama ulivyosema).
 
Hebu tuweni serious kidogo... Mwl. RCT nchek kwa text unsaidie sana kupitia whatsapp, au lodrick au Mwana wa ngurumo, mi nahtaji msaada hafu hata cjui nahtaji msaada wapi... Ila hasa, graph analysis na kujua when to open position, and when to close... Naomben niwatext my number... Samahanini lakn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahhaa mimi pia nilikuwa nafikiria kwanini mkuu asilete angalau hizo screen shot za pesa alizopiga ili kumaliza malumbano au clear jina kwakuwa kazushiwa kuwa tapeli.very simple ,shut them mouth kwa kuprove them wrong with evidence

Mtu anayejua anachokifanya hana muda wa kutumia muda na nguvu zake kujibizana na mtu, passion na mission yake inabaki palepale

Kama una dreams na unaona kitu huna haja ya kuskiza mbu wapiga kelele mana ni wengi[emoji56][emoji56][emoji56][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hebu tuweni serious kidogo... Mwl. RCT nchek kwa text unsaidie sana kupitia whatsapp, au lodrick au Mwana wa ngurumo, mi nahtaji msaada hafu hata cjui nahtaji msaada wapi... Ila hasa, graph analysis na kujua when to open position, and when to close... Naomben niwatext my number... Samahanini lakn

Sent using Jamii Forums mobile app
I won't text u my number, in pm, till you say so...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom