[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Mnaboa mnao quote uzi mrefu hivi halafu mnaandika tumaneno tuwili.....I am in boss
Nipe habari mkuu..Umefunga PM, nimewahi kuku-quote kwenye nyuzi mbili tofauti tutafutane il chenga
Mkuu hii ngoma inachallenhe sana nimejaribu kufuatilia nimegundua kuwa unatakiwa uwe na knowledge ya kutosha kabla ya kuanzaBoss kuna muamko mkubwa sana, Katika bandiko lako ni kama vile kila kitu ni kitonga yaani hakuna hustling. If you can please tell us the challenges too.
Ndiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.Wabongo tubadilike aisee...what wrong with him starting a brokerage???? Hivi nikikushawishi ununue gari kutoka Japan kwa vile mimi ni clearing & forwarding agent utaacha kuagiza kwa sababu utaninufaisha mimi kwa fee yako isiyozidi $200 ukaacha kuangalia unafuu na manufaa utakayopata kwa hilo gari?
Mimi nilidhani haya ndio mawazo yanahitajika karne hizi...mtu mmetajiwa FNB, mmetajiwa BoT, bado hamridhiki...Au mnasubiri aje ngozi nyeupe ndio muanze kushoboka? Acheni mambo yenu bana!
Angalizo zuri mkuuNdiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.
Mimi nakubali kwamba hii FX trading ni nzuri na it can be a lucrative way to make money. Lakini wabongo wengi nimegundua tuna pupa na hatuulizi the right questions badala yake tunafwata mkumbo (following the crowd)
Huyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.
Sisi tunataka atueleze kwa ufupi kwamba alitumia website hipi, account au bank card ya namna gani kuendesha hiyo FX Trading na atupatie statement inayo onyesha earning zake katika trading. Pia, ikiwezekana siyo lazima, atupatie ka background kake kadogo with evidence.
Na pia mpk sasa imemuingizia millions ngapi za $ .... maana yule dogo wa SA N bilioner.. Je Ontario n billioner au millioner au ndo ku make $500 au $ 7000 ndo ku win life...?Ndiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.
Mimi nakubali kwamba hii FX trading ni nzuri na it can be a lucrative way to make money. Lakini wabongo wengi nimegundua tuna pupa na hatuulizi the right questions badala yake tunafwata mkumbo (following the crowd)
Huyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.
Sisi tunataka atueleze kwa ufupi kwamba alitumia website hipi, account au bank card ya namna gani kuendesha hiyo FX Trading na atupatie statement inayo onyesha earning zake katika trading. Pia ikiwezekana, siyo lazima, atupatie ka background kake kadogo with evidence.
Kabisa mkuu,hili ni la muhimu mno.Bro hili linawezekana kabisa kama tukiongea na JF then viewers tukachangia gharama za urushaji kabla ya siku ili siku ya tukio tupewe link tuingie darasani,wengine tunakata ufuta huku Lindi,sasa kuja dar tunahofia kuibiwa!
Naunga mkono hiyo point group litakua zuri kuelimishana zaidiWakuu naomba radhi km nitaingilia mpango wa mkuu ONTARIOA kusubiri,lkn wkt tunasubiri mpango wa ONTARIOA tusianzishe group whatsapp tukaelimishana,hasa tukasaidiana kutengeza demo accounts?
- Alikwisha sema hizi hapa: 1. XM na 2. JPmarket, na screenshot alituwekeaHuyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.
No mkuu, hatupingani naye hata kidogo na Ontario. Kwanza amefanya vizuri kuanzisha huu uzi ili tujifunze. Ili maswali kuuliza ni muhimu ili tuwe satisfied. All we need is more information and transparency!Angalizo zuri mkuu
Hapa hatupingani na Ontario
Binafsi mimi ni mjasiriamali
Hakuna swali la kijinga
Ili watu waelewe inabidi waulize maswali, waonyeshe wasiwasi wao, wajue mambo bayana
Hahaaa ukisema hivi wadau wanakulaani, wanakuona hater.
Ni tofauti kabisa na ukweli
Ndiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.
Mimi nakubali kwamba hii FX trading ni nzuri na it can be a lucrative way to make money. Lakini wabongo wengi nimegundua tuna pupa na hatuulizi the right questions badala yake tunafwata mkumbo (following the crowd)
Huyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.
Sisi tunataka atueleze kwa ufupi kwamba alitumia website hipi, account au bank card ya namna gani kuendesha hiyo FX Trading na atupatie statement inayo onyesha earning zake katika trading. Pia ikiwezekana, siyo lazima, atupatie ka background kake kadogo with evidence.
Sawa mkuu, naomba uje inbox nikueleze kwa mapana zaidi sababu hapa sio mahala pake tutaharibu Uzi..Nipe habari mkuu..
Mara nyingi huwa sipati wasaa wa kupitia notifications mkuu..
Fx ni speculative process hii haipingiki. Kwa hiyo si investment nzuri.Boss! Naomba nisiongee mengi, humu kuna traders wachache nimeona wamejitokeza, nao watatoa maoni yako lkn kwa nilivyokusoma yani unagoggle vitu ambavyo hata huna uhakika navyo. Kwanini nasema hivi?!
Unang'ang'ania kuwa forex ni speculative na retail trader hawezi kufanikiwa. Ni kama huelewi nini unamaanisha, as in naomba uniambie ni nini utafanya ambacho si speculative: stock, commodities, cyptocurrencies, indices, futurs, metals yani kila kitu ni speculative. Unajua maana ya technical analysis?! Unasema unaspeculate hadi unachoka? Nini sasa kazi ya market analysis. Biashara gani utafanya bila analysis. Hata ukifungua saloon ya kunyoa. Hahaa.
Kitu ambacho nimeshangaa unakisema ni kwamba volatility inadababisha trader apigwe. Yani sijui boss wng unamaanisha nini. Kwa sisi traders tunatamani muda wote volatility iwe juu ili kutrade bila market noise.
Napingana na wewe kwa fact kua broker anatoa deal... deal gani unaizungumza. Broker hakusaidii chochote wala hatrade kwa niaba yako, hio haipo. Broker anakupa 'spreads' yani tuseme bei za kuuza na kununua, wewe baada ya kufanya analysis zako ndio unaamua kuexecute trade. Ukiexecute trade kila kitu unakicontrol wewe hadi utakapoamua kuexit trade. Sasa broker anawezaje kumanipulate trades zako. Hakuna speculation anayoleta broker km unavyosema everything is speculative.
Unasema kua broker anatamani pesa yako. Hapa ndio nimeamini kua either wewe bado unajifunza ama unagoogle. Unajua aina mbalimbali za brokers?! Rudi kwenye post yangu then soma, nimegusia kidogo. Ama ingia Google then tafuta kitu ECN broker.
Kwanini broker hawatrade... unajua maana ya hedge fund? Unajua maana fund/account management? Zote hizo brokers wengi wanafanya. Brokers wanatrade vibaya mno, watu kama market markers muda wote wapo sokoni wanagonga nyundo, brokers wanatrade kuliko retail traders hizo commission ni 1 tu ya source yao - na unadhani kama brokers wasingekuopo sisi retail traders tungewezaje kutrade soko la kimataifa.