Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Njaa inawapoteza sana watanzania ndio sabab upizan haina kaz......
Mtu anakuambia nimemaliza chuo 2013 sina kaz nataka niingie katka hyo business tena mwngne anakuambia nipo nyumban napokonyana remote na mdogo wangu nataka niingie katka hyo busness.!!! Kwel..!!?? Iv hyo $200 mmekosa cha kufanyia shughul ya uzalishaj wangap wanapanga karanga, maindi ya kuchoma au matunda na wanalea familia na wanasome...
Tena mtoa mada anawaambia busness hyo inaitaj kuisoma kwa kina na emotional mm naita njaa uziweke pemben sasa kwel mtaweza jamn!!?? "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Mtoa mada mm ntakua na ww bega kwa bega kuanzia kujisomea vitabu na kuhudhuria darasan ila tuweke kwanza waz wew unanufaika vip!!? Kama unaamua kuacha kikao kikubwa hvyo na kuangaika kufungua ofis $600 iv... Apa tusiwe wanafk hakuna mtanzania aliokufanyia wema adi ukajitoa kias hilo au nikubaliane na @V kwel tupu kupitia sis ww mfuko utasoma

Pil mtoa mada umeelezea pesa nje nje ktaka forex umegusa kidogo sana upande wa pil...
Jianda psychologically na wanafunz wako pia kwa risk tena big risk kama kuna mtu kasema apo nyuma upo tayar kupoteza $600 kirahis bila mawazo na ukalud tena...
Pia kama maelezo ya uzi usi qoute coz n mrefu lakn kuna vchwa panzi wameshindwa kuelewa hilo jua kuna kaz kubwa sana...

Bado tupo pamoja kuwekana sawa maana wengne hawajisomi na hawajui kama hawajisomi...
 
Everything is done online, ni wewe uwe na PC yako iliyounganishwa na internet basi. Pia unatrade major currencies tu. Hizi za dunia ya tatu hazipo liquid sana. Unafungua account na broker then kupitia platform yake (either Metatrader 4/5 au cTrader) unaweza ku-access global financial market. Currencies unaziona huko.

Mfano wa hizo platforms ni kama hizi.

Hii ni cTrader

View attachment 515253

Na hii ni MT4

View attachment 515254

Ukiangalia upande wa kushoto wa hizo picha utaona hizo major currencies, stocks, ETFs and commodities. Zimewekwa kwenye prices mbili, ya bid and ask.
I love this. Sikutaka kupost trades zangu ili watu wasije wakasema natumia nguvu kuwashawishi na blah blah. Na pia sikutaka watu labda wahisi mtu anabidi awe na mkwanja mrefu ili awe trader coz account zng kdg ziko juu juu. As far as watu kama nyinyi mmejitokeza nimefurahi sana.

Safi sana boss. Tuna ule msemo wetu we don't chase money but we let money chase for us, naona unagonga tu Pips.
 
Nianze kwa kusema kuwa hii biashara inawezekana maana kila kitu ni online so unanunua popote na kuuza popote...
Nilichogundua kwanza inabidi uwe mentally and physically fit kwasababu kuna programming inahusika ili uwe updated mda wote unless unakula hasara ya kutosha
Pia ni siku 5 za wiki ndio unaweza kuwa active sasa kama wewe ni mwajiriwa inabidi ujipange maana mda wote utajikuta unatafuta masomo ya kununua na kuuza, kiujumla hii ni kazi kama hazi nyingine tena inayohitaji mtu makini sana.
Word,ni professional biz kama zingine so its not eazy money kama wengi wanavyodhan
 
I love this. Sikutaka kupost trades zangu ili watu wasije wakasema natumia nguvu kuwashawishi na blah blah. Na pia sikutaka watu labda wahisi mtu anabidi awe na mkwanja mrefu ili awe trader coz account zng kdg ziko juu juu. As far as watu kama nyinyi mmejitokeza nimefurahi sana.

Safi sana boss. Tuna ule msemo wetu we don't chase money but we let money chase for us, naona unagonga tu Pips.
Safi sana bro, ni kitu kipya masikioni mwa watanzania wengi. Ila kadri siku zinavyokwenda wataelewa. Uzuri wa trade hakuna kuchelewa wala kuwahi. Kila siku ni mpya na opportunities zipo za kumwaga
 
Salute bosses

Utangulizi

Wengi mmesikia sikia sana kuhusu Forex trading, mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara lakini mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea. This is the perfect thread, tutaelewa kila kitu hapa na hakuna atakayebaki na swali kichwani - we have to leave this thing completely naked. Nakuhakikishia (mimi Ontario) kupitia hii thread sitamwacha mtu yeyote nyuma. Naomba twende pa1, tufahamu, tujifunze, tuelimike, tuhamasike na tujichallenge.

Kwanza nitoe shout out na credits kwa member mmoja hapa JF anaitwa Davion Delmonte Jr. Aliwahi kupost uzi educative sana kuhusu forex, ni moja ya uzi wa forex uliopata hamasa kubwa hapa JF ndio maana nikauchagua kama sample -lkn kuna nyuzi zingine nyingu tu, nakushauri unaweza kuupitia kidogo Fahamu utajiri kwenye biashara ya fedha za kigeni (FOREX TRADING)

Tuendelee
Katika tembea tembea zangu, mwaka 2016 mwanzoni nilikuwa Durban, nikakutana na dogo mmoja anaitwa Mike Lungu, ye mwenyewe anajiita MLU. Kukutana kwetu kulikuwa very coincidentally, mimi nilikua naishi Garden Court hotel, asubuhi muda wa breakfast tukajikuta tumekaa meza moja. Baada ya Kusalimiana tukajikuta story haziishi, nikazungumza mengi sana kwa upande wangu, baadae nikataka kujua na yeye upande wake.

Mike akanieleza kuwa alidrop out of college akiwa mwaka wa kwanza, na kwa kile kipindi alisafiri kutoka kwao Mpumalanga sasa amekuja Durban kukutana na mentor wake. Nikataka kujua zaidi kuhusu hiyo mentorship inayomfanya atoke Mpumalanga (ambapo ni mbali sana na Durban). Mike akaniambia kwamba ni Forex.

Kipindi hiko nilikua sielewi chochote kuhusu forex, yani sina clue kabisa. Mike Akaanza kuniambia kuhusu watu waliofanikiwa sana ktk forex, akanitajia kijana mmoja ambae siku kama 3 zilizopita nilimuona anafanya interview kwa TV lkn nikashindwa kabisa kumwelewa anachokisema. Huyo dogo aliyenitajia ni celeb wa forex SA na anaitwa Sandile Shezi, ni dogo mwenye utajiri mkubwa sana kupitia forex, nae aliacha chuo mwanzoni kbs mwa masomo.
6784542861cf86e42eed93dd8361df54.jpg
Sandile Shezi anaemiliki Global Forex Institute.

Kama ilivyo kawaida ya wabongo wengi, nikambishia sana Mike, nikamwambia hiyo kitu ni utapeli na wizi ambao hauwezi ukamtajirisha mtu wa kawaida. Nilikua sina knowledge kbs lakini nilikomaa kusema kua forex nayo ni kama forever living (networking marketing). Hata nilivyosoma kwenye mitandao, bado nilimbishia sana Mike kuhusu hiyo forex nikidai kuwa kamwe siwezi poteza muda wangu na pesa katika huo upvmbavu, nikafika hatua ya kumDiss kua anapoteza mufa wake bure.

Basi, tukawa tunapiga story zingine, namweleza kuhusu Bongo nk. Yani tulitokea kuwa marafiki ndani ya muda mfupi sana, nilikaa pale kwa siku 8 nikaondoka kurudi Bongo. Lakini Tuliendelea kuwa in touch, hasa kupitia WhatsApp, tunajuliana hali na maendeleo kimaisha. Mimi nampa updates za kilimo na ufugaji na yeye ananipa updates za Forex kwa upande wake.

Sept 2016 nikaendaga USA, basi nikawa namsumbua sana MLU kwamba kilimo ni kitamu sana bora aache hizo forex yake afanye kilimo. MLU akanambia sasa Octario kwenda US unaona ni mafanikio makubwa? Tukabishana mwishoni akasema nimpe mwezi mmoja anishangaze - mimi nikawa namcheka, na kumwambia kua yupo ndotoni.

Mara ghafla siku 1 October 2016, Mike akanitumia text, hey Ontario nimevuta BMW mpya 0 km. Wabongo kwenye situation kama hizi hua ni wabishi sana, nami kama kawa nikabishana nae Asubuhi, mchana na usiku (kama dozi ya mseto). Jamaa akanambia subiri nikikamilisha paper works nakutumia picha. Ndani ya siku 4 tu, Mike akanitumia hii picha.
6ccbe86153d474187c32b8a2c8f65d68.jpg


Hapa nikawa mpole - ukweli ambao hakuna binadamu atakubali ni kuwa "Kila binadamu hapa duniani ana chembe chembe ndogo za wivu endapo mtu baki akifanikiwa kumzidi". Huu ni ukweli mchungu, ambao mimi nimeuprove katika situation kadhaa. Lakini watu wanaoweza 'kudeal' na hizo chembe chembe za wivu positively ni rahisi na wao kufanikiwa.

Kama hauwezi kupambana nao ungana nao
Baada ya hile hali nikawa motivated mno. Nikajipiga juu chini Nov 2016 nikarudi SA, nia ni kuonana na Mike. Nafahamu kabisa huyu jamaa hakuna kitu anachofanya hapa duniani zaidi ya hii Forex, leo kanunua gari KALI kupitia hiyo forex, lazima nami niingie humo. Nikajipa moyo kua I am never late.

Safari hii nilivyokutana nae sikuishi hotel, Mike alinifata Airport tukaenda kwake. Nyumba ambayo alikua anaishi ni sawa ama zaidi ya hizi ambazo mawaziri hapa Bongo wanazitumia. I was over shocked. Nikasema afe simba afe mmasai lazima hii kitu niijue. Hapa ndipo Mike alipoanza kunizingua, utani mwingi wa kunicheka kua mimi najifanya mjanja kumbe ni mshamba tu, akawa anasema hawezi kunielekeza hadi nipige magoti nimshike miguu nimuome msamaa. Haha haha!!

Akanipa tips zote kuhusu forex, akafungua book store yake akanipa vitabu 6 nivisome kwa makini sana. Nikavisoma haraka haraka kwa pupa, ili mradi nivimalize then Mike anipe mbinu nami nianze kupiga hela. Nilivyomaliza kusoma ki1 nikamtaarifu Mike, akanichapa swali 1 nikajibu pumba na mashudu. Jamaa akaniambia nisome upya letter by letter. Nikapunguza jazba, nikaweka concentrate ya kutosha, nikaanza kuelewa.

Sikukaa muda mrefu sana nikarudi Bongo. Nikawa naendelea kusoma vitabu alivyonipa kwa umakini sana na akawa ananiuliza maswali ya hapa na pale.

Nilivyoanza Forex trading

Mpaka hapa bado wengi hamuelewi nini maana ya Forex, bado hamfahamu hata nazungumzia nini, usiwe na pupa na jazba kama nilivyokuwa nazo. Twendeni pole pole, mpk hii thread inaisha hakuna atakayetoka mtupu.

Wiki kadhaa baada ya mwaka mpya 2017 nikaanza forex rasmi. Mike alinipa mwongozo wa awali akaniomba nifungue 'demo account'. hii ni account ambayo imewekwa virtual money, unaitumia kwa ajili ya kujifunza kutrade. Ukijiona umeiva unahamia kwenye real account ambayo unaweka pesa yako na kuanza kutrade kiuhalisia.

Nikapiga hii demo account, kwa kuwa sikua na msimamizi (mentor) karibu yangu ikanichukua mwezi mzima kumaster hii trading. Nikaanza kuona mwanga, nagonga profits, naelewa nini kinaendelea, nikaanza kujua basics za market analysis - fundamental na analytical. Baadae nikapata picha kubwa zaidi kuhusu hii kitu. Kwakweli nikajidharau sana sana kwanini nilikua namcheka Mike hapo awali, nikajiona Baxhite wa kiwango cha standard gauge.

Nikajiridhisha kuwa I am good to go. Na Mike rafiki yangu wa faida akanipa go ahead. Nikaanza kwanza na $700, nikakimbiza kimbiza nikaona nagonga profits za ajabu mpk nikawa naanza kuogopa. Kuna ile kasumba fulani wabongo tunayo kama unahisi unatapeliwa hivi, nami nikaanza kua na hiyo feeling. Nikawa kama vile nachallenge ubongo wangu, kusema hii haiwezi ikawa real, yani capital ndogo na bado napiga profits za ajabu hivi.

Nikakimbiza hadi kufika $2000 ndani ya wiki 2, nikasema nijaribu kuichomoa ile pesa kidogo nione kama ni real. Nikawithdraw $500, kudadeki kitu kikakubali, nikaenda CRDB nikavuta kamilioni kangu na tuchenji kadhaa. Sasa nikasema hapa ni kupiga pesa mpk mnikome. Mambo yakawa matamu sana, nikipata shida kwenye kuku na mashamba yangu nachomoa pesa kutoka kwenye trading account ndani ya siku 2 au 3 ninayo mkononi nafanya mambo mengine. Na kadri nilivyozidi kuchomoa pesa na kuwa nayo mkononi ndio nilikua napata morali ya kufanya forex.

Siku nikachomoa $1500 kwaajili ya mdogo wangu ambae ndio alikua anaenda kuanza form 1 huko Moshi. Hapa account yangu ilikua imefika kama $11,000. Nikasema hii pesa ($1500) niliyoichomoa lazima niirudishe ndani ya siku ile ile ili kubalance mahesabu.

Kuna kitu kinaitwa Psychology of trading and Over Trading. Hivi vitu nilikua naviona tu kwenye vitabu lkn naviruka kwa kuvipuuza, hii siku wakati nipo aggressive kurudisha pesa niliyochomoa ndio nikavunja hizo kanuni. Aisee nikaingia kwenye trades, nikawa nimeovertrade, nikaacha trades zinarun usingizi ukanipitia. Sikukumbuka kuweka stop loss (SL) wala take profit (TP) [hivi vitu tutavielewa baadae], aisee kumbe hiyo siku kulikuwa na economic news release. Baada ya kushtuka kutoka usingizini nilichokiona sikuamini macho yangu.

Nasema kama ile siku sijafa kwa presha siwezi tena kufa kwa presha siku za usoni. Yani nilikuta account yangu yote imepukutika kama mvuke. Sikuamini, nilipoteza karibia pesa zote zote ndani ya muda mfupi, sisi tunaita kuBlow ama kuchoma/kuunguza account. Kuna feeling fulani ukipoteza kitu cha thamani unaipata, yani unahisi kama unajikojolea. Sijui kama mnanielewa. Yani sielewi kilichonitokea, ni km nilipigwa ganzi ya ubongo

Nikamshtua Mike kuhusu msala wangu, akacheka sana sana akaniambia, nilijua tu lazima uunguze account, speed yangu ilikua ya mwanga wa radi. Zaidi sana anakambia kuchoma account ndio kukomaa na kuwa mtaalamu ama guru wa trading. Nikapiga moyo konde, nikajipa muda wa kupumzika na kusikilizia machungu yaishe.

Baada ya muda kama week 1 nikaanza upya kama kawa. Nikaweka $3000 nikaanza kukimbiza upya. Mambo yakawa matamu, yani nashukuru baada ya kupoteza ile pesa akili ikawa imenikaa vzr sana ktk kitu kimoja tunaita trading risk management. Nikawa makini kuliko kiasi, nikawa ninatrade pale tu ninapoona kuna opportunity, nikawa very strategic huku nikiamini kuwa bado mimi ni mwanafunzi na nahitaji kujifunza zaidi na zaidi kuhusu financial markets. Mpaka sasa ninavyoongea najiamini ktk trades zng vibaya mno kuliko kipindi chochote kile.

--Sasa twende kwenye maana ya Forex trading.

Forex trading ni nini hasa?

Waliosoma uchumi na masomo ya business chuoni najua tangu naanza uzi wanaelewa nini naongelea kijuu juu. Lkn wenzangu na mimi tuliosoma Sciences, technology, engineering na humanities hatuelewi hata punje.

Forex ama wengine hufupisha kwa kusema FX ni kufupi cha maneno Foreign Currency Exchange. Basically Ni biashara inayosisha kuuza na kununua fedha za kigeni. (Najua wengi hapa akili imegonga kwenye bureau exchange). Yes! Ni kitu kile kile lkn sasa hii Forex ni baba lao, tuwashukuru sana (wazungu) walioleta technology ya computer na Internet. Sasa kiuhalisia tukizungumzia Forex trading ni kubadilisha fedha za kigeni electronically and at real time. (Sijui kama unanielewa?). Ni wewe na computer ama smartphone yako pamoja na bundle lako.

Kinachotokea ni kwamba unaspeculate utendaji ama tuseme performance ya fedha fulani labda Dollar ama Yen ama Pound kisha ukifahamu uelekeo wake either utainunua ama kuiuza, kupitia huo mzunguko utatengemeza pesa kubwa sana ama kama ukijichanganya unapoteza vile vile. Hapa unahitaji uwe na uelewa mpana sana wa kufanya analysis ya soko la dunia (global currency market).

Hii ndio biashara yenye utajiri mkubwa kuliko biashara yoyote ile hapa duniani. Huwezi kuamini kwa siku katika forex trading kuna mzunguko wa $5 trillion (dola trillion tano), naomba hapa tusiiweke in Tsh maana tutaishia kuongea herufi za ajabu mara hexa trillion mara hepta trillion, lkn ni mkwanja mrefu sana. Kiasi kwamba itaihitaji New York Stock Exchange ifanye biashara siku 30 ili kupata pesa za siku 1 zilizopo kwenye forex market. Ndio maana sisi traders hua tunasema "kudownload pesa" yani kwenye forex ni kupakua tu pesa, kama vile upo uTorrent

Central banks zote zinafanya forex trading, financial institutions karibia zote duniani zinafanya forex, wafanyabiashara wakubwa karibu wote wanafanya forex (tena huyu bilionea wetu ambae alibahatika kufanya kazi Wall street atakua ni trader mzuri sana wa forex na stock), Donald Trump ndio hata usimzungumzie - huyu kashindikana, leo hii trump anasukuma tweets ambazo zinabadilisha upepo wa dollar katika soko ili yeye na team yake wagonge pesa, mpk anatoka madarakani atakua kazidisha utajiri wake hata mara 5.

Ukweli uliofichwa kuhusu forex

Sijui nisemaje, lkn ukweli ni kwamba kuna nguvu kubwa sana sana sana inatumika na mabenki kuwafanya watu wasiitambue forex. Wenzetu Ulaya na Marekani walishtuka mapema sana, kwao forex si kitu kipya sana japo bado kuna wingu kubwa hapo kati. Huku Afrika ndio usiseme, wenzetu SA kidogo wamewahi kushtuka kutokana na muingiliano mkubwa kati yao na mataifa ya Magharibi.

Utamu upo hivi - Leo hii ukichukua mil 10 na kuiweka benki katika fixed account, utapewa interest ya 7-10% kwa mwaka, hiyo miezi yote 12 unasubiria milioni 1. Lakini kwa forex ukiwa unajitambua ukaweka mil10 ukatrade, kama ww ni average trader ndani ya siku 2 utakua umepiga faida ya milioni 1. Sasa hapa benki zinapambana juu chini ili watu wasitambue forex ili wasije kupoteza wateja wa fixed accounts. Na ukweli ni kwamba pesa zinazowekwa fixed account bank hua wanazitumia kufanya forex trading, hii kuwapa watu mikopo hua ni kiini macho tu.

1 ya changamoto niliyokumbana nayo ni hii ya bank. Wakati nachomoa pesa ndogo ndogo ilikua ni faster tu, ndani ya siku 3 pesa iko mkononi. Lkn siku niliyojaribu kuchomoa pesa ndefu ndipo nilipoelewa nguvu inayotumika na mabenki. Sitataja jina la benki niliyokuwa natumia, ni bank ya kibongo (local bank), lkn kiukweli walinizungusha sana, wamenisumbua vibaya mno, wananisainisha makaratasi kila siku, kila siku naambiwa nikutane na XX, mara wananiambia nithibitishe kua ile pesa si "money laundering" "kutakatisha pesa". Hii yote ilikua ni mbinu ya kunidiscourage nisiendelee na forex, kumbe hawajui mtu wanaeshindana nae. Hayo yote nilikua nishayasoma kwenye vitabu siku nyiiingi, ni kama nilikua nina theory sasa nimeeingia kwenye practical. Mwishoe wakanipa changu!!

Hakuna bank yoyote ingependa ujue kuhusu forex, yani hata humo kwenye mabenki wafanyakazi wa humo humo benki hawatambui kabisa kuhusu forex. Ni wajanja tu ndio wanaweza wakaelewa nini kinaendelea huko duniani. Nguvu inayotumika si ya nchi hii.

Hata juzi nilimpa jukumu member m1 hapa JF ambae alinisaidia kusajili kampuni yangu mwanzo kbs, nilimuomba afatilie ishu ya forex BRELA, wizara ya fedha na BOT. Yani kuna blah blah vibaya mno, watu hawataki kufunguka kabisa. Lakini tutafika tu, dunia haiwezi ikatuacha just kwasababu ya manufaa ya wachache, sio fair.

Way forward

9899c7dad05c1ace817ac027eb891b45.jpg
Hii picha niliichukua kwa bahati mbaya nikiwa mile 60,000 angani lkn hapa iko relevant.
Hivi nazungumza sina muda mrefu tangu nitoke Afrika Kusini, na nilichokifuata naweza kusema kwa asilimia 99% kimefanikiwa. Nimetumia gharama nyingi sana kufanikisha dhumuni langu but it's worth it. Naamini hivyo.

Naangalia fedheha na dhihaka tunayopata wasomi, it's too much. (Nikisema wasomi simaanishi kama unavyodhani bana hahahaaa, no disrespect hata mwenye form 4 nae ni msomi). Jamii imekua na expectation kubwa mtu akifika form 4, form 6, degree namasters, watu wanategemea uwe mtu fulani hivi, mwenye maisha fulani hivi. Lkn kwa system ya nchi zetu hizi , inakua tofauti, inafika kipindi huwezi kumtofautisha graduate na mtu kama msaga sumu ama man Fongo.

Kwa experience niliyonayo nikaona Forex is the BEST way forward kuepuka hizi fedheha za ajabu. Unakuta mtu hata wazazi wako wanajilaumu kwanini walitumia nguvu kukupeleka shule, walikua wanategemea a lot kutoka kwako, lkn hadi leo unakuta graduate ana miaka 26 anagombania kipande cha nyama na mdogo wake. Lol.

Iko hivi wakuuu:-

●●Nimefanikiwa kuAttract mentors watatu akiwemo mentor wng binafsi, kuja Bongo kwaajili ya kutoa training, coaching na mentorship kuhusu forex. Nimeona niwatumie waafrika kusini kutokana na uzoefu mpana walionao na uwelewa katika forex kwa hapa Afrika.

●●kwa usumbufu wa Local banks nimeweza kuongea na FNB bank, hii ni bank makini na maarufu sana SA ambao wana experience kubwa ktk kudeal na transactions za forex. Wamekubali partnership na uzuri Bongo wana branches kadhaa so ni rahisi zaidi.

●●Nimeweza kuAttract forex broker kuja Bongo. Hapa kidogo nikupe uelewa - Broker ni financial institute inayokuwezesha wewe kuingia global market na kufanya trades zako. Wanakupa platform ya wewe kuweza kutrade katika soko la kimataifa. Fedha zote sasa zinapitia kwa broker wako, ukitaka kupokea pesa zako zinapita kwa broker, huwezi ukatrade bila kua na broker.
Sasa kwenye forex kuna aina 2 ya brokers, niseme kuna aina nyingi lkn hizi mbili ndio common zaidi.

1. Market makers: hawa ni broker wanaeshindana na wewe retail trader. Hawa ni hatari sana kwa afya yako. Huyu broker yupo against na wewe, yeye anapambana wewe upoteze pesa, na hiyo unayopoteza inakua faida yake. Anaweza kufanya hujuma za kila aina ili upoteze pesa yako kwa kutrade, yeye ndio apate faida.

2. ECN forex broker: Huyu ndie broker safi kwaajili ya afya yako. Huyu atahakikisha kufa kupona wewe uwe unapiga faida, anataka wewe milele daima uendelee kupiga pesa kupitia forex, muda wote yupo na wewe benet ili usianguke. Why?! Huyu ni broker ambae anapata commission ndogo sana kwa kila unapoexecute trade, sasa ili yeye apate faida inabidi wewe trader uwe unaweza kutrade zaidi na zaidi, na ili wewe uweze kutrade zaidi inabidi uwe unawin ili uzidi kuwa na account kubwa ya ww kuendelea kutrade zaidi.

Sasa broker ninayemtumia mimi ni huyu ECN, nimefanya juhudi kubwa sana kuweza kumshawishi aje afungue branch Bongo. Na as planned amekubali, uzuri ni kua vibali vyake vinamruhusu aingie nchi yoyote ile Duniani. Na kwasasa tayari wana branch kwa jirani zetu hapo Kenya. na hivi naongea tayari wameshafungua account ya FNB Tanzania ili kusudi kutuwezesha kuweza kufanya one day deposit/withdraw. Yani ukitaka kuchomoa pesa yako kutoka trading account zoezi hilo litakamilika ndani ya siku 1 tu.

Na tayari nimewapa ushauri ambao wanaufanyia kazi - waweze kuleta broker visa card. Yani kunakuwepo na card ambayo itatuwezesha kuchomoa pesa 1 kwa 1 kupitia ATM yoyote ile duniani.
Kitu kama hiki:-
8a8a1308766b3617cf78b85a6bdffc57.jpg


Nini tutegemee

Mpaka sasa ninavyozungumza team yangu tunafanya kazi, kazi kweli kweli kuhakikisha haya yote ninayoyazungumza hayaishii kwenye papers ama JF. I want to get this thing done, come rain or shine, ije jua ama inyeshe mvua.

Hapa naandika huu uzi nahisi nakula muda wangu - but it's worth it. Napambana kupata papers zote, ili operations ziwe legalised kwa sheria na utaratibu wa nchi. It's hard but it will be done.

Jana nimetoka kucheki office na nitailipia soon. Tumependezwa sana na Jangid plaza ipo pale mataa karibu na Dar Free Market. Nimeshaonana na mmiliki, badp kukamilisha paper works tu.
c7d5df684fb732908483b161556f0399.jpg
44dea36bd9ac6e051cd9403b75aa76c9.jpg


Let's get started

Any time niko tayari kuanza, soon indeed!! Tunataka watu wawe financial independent, watu waweze kucontrol uchumi wao pasipo kuinyenyekea/kuililia serikali. We must move forward with the rest of the world, same time same speed bado hatujachelewa.

Am young but very motivated. Sijui niseme nini, but hivi naongea nimereject mwaliko kutoka World Bank ambapo nimealikwa kushiriki ktk Global Youth Symposium for SDGs, nimewaambia nimebanwa. Just nipate muda na space ya kupush hii kitu ianze. Na itaanza tu inshaallah.

Tutatoa kila kitu unachohitaji ili uwe profitable forex trader. Kadri tunavyokuwa ndivyo tutazidi kupanuka, kuwafikia watu wa mikoani mpk hii kitu ieleweke. Najua it's not easy, but it's possible.

Only Special for JF
Since day 1 JF is my family, tunakutana majukwaa mbali mbali tunataniana, kukwaruzana, kupishana mitazamo, lkn sisi ni ndugu. Thanks kwa team nzima kupambana effortlessly kuhakikisha hii kitu (JamiiForums) inadumu, najua wanapitia mengi ili JF iwe shut down lkn wameendelea kuwa strong forever. Na Alaaniwe hayawani yule anayetaka kuizima JF, na mwingine anataka kuzima mtandao. Shame!! - no politics am real.

Mimi nikikwambia nimelipa Rand 14,000 (ni kama mil 2.5) kwaajili ya 1 to 1 mentorship huwezi kuamini. But wanaoelewa forex wanajua nini namaanisha. Vijana makini sana ambao pia nina malengo ya kumeet nao mwakani wanaitwa AstroFX wana charge $7500 kwaajili ya 1 week training na 6 months guidance ktk forex.

Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE. Watu 300 wa mwanzo nitakaoanza nao hii safari nitatoa learning materials, trainings, mentorship, na 3 months guidance for free. I am blessed to bless others - Don't misquote me.

Kwanini nafanya free?! Bado forex haijulikani TZ, na ni ngumu sana kubadili mind set ya watanzania wengi - ambao mara nyingi hua hawapendi kujifunza. So, natoa hii kitu for free kwa watu wa mwanzo, ili wapige pesa na wabadili financial status zao. Then hawa watu watakua ambassadors wangu, namaanisha hawa ndio watatutangaza pande zote za TZ. Watu wakimake consistent profits, wakaelewa how it works basi kama watu hawa si wachoyo wa mafanikio wataenda kuwashtua wenzao - ndugu, jamaa na marafiki. Hapo tutaanza na reasonable fees mpk tutakapoona ni muda sasa wa sisi nasi kula jasho letu, ndio tutaanza kuweka bei za faida.

Again I salute all you bosses

ONTARIO.
Mkuu Ontaria, nimeusoma uzi huu mwanzo mwisho, umetisha. Nahitaji kuwa miongoni mwa watu hao 300 kwani nimesoma Master Degree in Finance na FOREX Trading nimesoma theoretically, I want now to do practically because I like it.
BIG UP, usinisahau mkuu.
 
Mkuu Ontaria, nimeusoma uzi huu mwanzo mwisho, umetisha. Nahitaji kuwa miongoni mwa watu hao 300 kwani nimesoma Master Degree in Finance na FOREX Trading nimesoma theoretically, I want now to do practically because I like it.
BIG UP, usinisahau mkuu.
Mkuu yani una masters na bado unaquote uzi mrefu hivi, na hapo mwanzo kbs nimetoa tahadhari watu wasiquote uzi ili kuepusha usumbufu kwa wanaotumia visimu.
 
I love this. Sikutaka kupost trades zangu ili watu wasije wakasema natumia nguvu kuwashawishi na blah blah. Na pia sikutaka watu labda wahisi mtu anabidi awe na mkwanja mrefu ili awe trader coz account zng kdg ziko juu juu. As far as watu kama nyinyi mmejitokeza nimefurahi sana.

Safi sana boss. Tuna ule msemo wetu we don't chase money but we let money chase for us, naona unagonga tu Pips.
Mkuu japo narukia mbele sana but pliz naomba niulize kwa mfano nikiwa nafanya hiyo biz hapa bongo then account na mambo mengine nkafungulia south africa si itakua poa ili kupunguza usumbufu wa Ku draw hela?
 
Mkuu Ontaria, nimeusoma uzi huu mwanzo mwisho, umetisha. Nahitaji kuwa miongoni mwa watu hao 300 kwani nimesoma Master Degree in Finance na FOREX Trading nimesoma theoretically, I want now to do practically because I like it.
BIG UP, usinisahau mkuu.
Kama umemuelewa mbona ume qoute uzi mzima wakat yeye alikataza!!??
Waz umekosa umakin katka kitu kidogo sana sizan kama hyo busness itaenda vzur!! Sikuombei njaa ila bado naludia kwa watu wote hiki kitu mmekipokea kwa urais zaid wakat wengne wamekaa ata mwaka mzima kujikita zaid.... Ol in ol I wish ol the best...
 
Yan we jamaa kinanchotia wivu wa maendeleo kwako is that we ata sio mkubwa wa kutisha.. Kumbe tumeenda wote JKT same year.. Maana baada ya huu uzi imebidi niangalie nyuzi zako ulizowahi kutuma nkakutan na ile ya ulivyotengezeza mil 19 profit for a month na kwenye ule uzi ukaahidi kua ungefundisha jinc gan unatengeneza 1.1 m kwa siku kabla ya july.. And here you are... Sio siri umenipa motisha sanaaa... Hasa nikiangalia kwamba you are still young but mambo unayoyafanya!! Dah!! I salute you.. And now i cant wait to be one among 300 people

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Hongera Ontario, Bavaria na Suleiman kwa muda na maarifa yenu mnayoyatoa. Wapo watu wanahisi labda watanzania wamaweza kupata nafuu flani hivi ya maisha hivyo roho zao kama vile zinawauma.

Lakini pia haya maisha hakuna kitu hata kimoja ambacho sio risk, narudia tena kila kitu ni risk au mtihani kwa lugha nyepesi. Vyakula tunavyokula ni risk ndio maana tunavipika vyema na tunanawa mikono kabla na baada ya kula, wake tunaowaoa ni risk sana, au waume ni risk pia. Ndio maan tunakuwa very selective.

Watoto tunaozaa ni very risk, wengine wanakuwa majambazi wa kibiti, wengine makahaba na mashoga, wazazi wanadiriki kusema bora nisingepata mtoto..why? Ame take risk kuzaa akitegemea atanufaika kumbe amezaa kizaazaa.

Ni kitu gani kinachotufanya tushindwe kuona hii ni risk kama nyingine hivyo tuingie kama tulivyoingia kwenye ndoa na kuzaa watoto. Tuingie na tukusudie kukabiliana na hizo risk iwe usiku iwe mchana. Ukipoteza ni njia ya kujifunza na ukipata ni vyema na manufaa kwako.

Wengi humu viherehere sana. Ontario ameshasema kwa sasa anakamilisha utaratibu wa vibali na akiwa tayari ndio hao watu 300 watafuata na mafunzo yataanza. Kwa uangalizi wake hakua kwa hatua na huko aliko yeye ndiko hao 300 (na mm nikiwemo [emoji23][emoji23]) watapelekwa. Hivyo homework yenu ni kusoma hivyo vitabu ili upate a b c.

Ramadhan kareeem
 
Salute bosses

Utangulizi

Wengi mmesikia sikia sana kuhusu Forex trading, mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara lakini mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea. This is the perfect thread, tutaelewa kila kitu hapa na hakuna atakayebaki na swali kichwani - we have to leave this thing completely naked. Nakuhakikishia (mimi Ontario) kupitia hii thread sitamwacha mtu yeyote nyuma. Naomba twende pa1, tufahamu, tujifunze, tuelimike, tuhamasike na tujichallenge.

Kwanza nitoe shout out na credits kwa member mmoja hapa JF anaitwa Davion Delmonte Jr. Aliwahi kupost uzi educative sana kuhusu forex, ni moja ya uzi wa forex uliopata hamasa kubwa hapa JF ndio maana nikauchagua kama sample -lkn kuna nyuzi zingine nyingu tu, nakushauri unaweza kuupitia kidogo Fahamu utajiri kwenye biashara ya fedha za kigeni (FOREX TRADING)

Tuendelee
Katika tembea tembea zangu, mwaka 2016 mwanzoni nilikuwa Durban, nikakutana na dogo mmoja anaitwa Mike Lungu, ye mwenyewe anajiita MLU. Kukutana kwetu kulikuwa very coincidentally, mimi nilikua naishi Garden Court hotel, asubuhi muda wa breakfast tukajikuta tumekaa meza moja. Baada ya Kusalimiana tukajikuta story haziishi, nikazungumza mengi sana kwa upande wangu, baadae nikataka kujua na yeye upande wake.

Mike akanieleza kuwa alidrop out of college akiwa mwaka wa kwanza, na kwa kile kipindi alisafiri kutoka kwao Mpumalanga sasa amekuja Durban kukutana na mentor wake. Nikataka kujua zaidi kuhusu hiyo mentorship inayomfanya atoke Mpumalanga (ambapo ni mbali sana na Durban). Mike akaniambia kwamba ni Forex.

Kipindi hiko nilikua sielewi chochote kuhusu forex, yani sina clue kabisa. Mike Akaanza kuniambia kuhusu watu waliofanikiwa sana ktk forex, akanitajia kijana mmoja ambae siku kama 3 zilizopita nilimuona anafanya interview kwa TV lkn nikashindwa kabisa kumwelewa anachokisema. Huyo dogo aliyenitajia ni celeb wa forex SA na anaitwa Sandile Shezi, ni dogo mwenye utajiri mkubwa sana kupitia forex, nae aliacha chuo mwanzoni kbs mwa masomo.
6784542861cf86e42eed93dd8361df54.jpg
Sandile Shezi anaemiliki Global Forex Institute.

Kama ilivyo kawaida ya wabongo wengi, nikambishia sana Mike, nikamwambia hiyo kitu ni utapeli na wizi ambao hauwezi ukamtajirisha mtu wa kawaida. Nilikua sina knowledge kbs lakini nilikomaa kusema kua forex nayo ni kama forever living (networking marketing). Hata nilivyosoma kwenye mitandao, bado nilimbishia sana Mike kuhusu hiyo forex nikidai kuwa kamwe siwezi poteza muda wangu na pesa katika huo upvmbavu, nikafika hatua ya kumDiss kua anapoteza mufa wake bure.

Basi, tukawa tunapiga story zingine, namweleza kuhusu Bongo nk. Yani tulitokea kuwa marafiki ndani ya muda mfupi sana, nilikaa pale kwa siku 8 nikaondoka kurudi Bongo. Lakini Tuliendelea kuwa in touch, hasa kupitia WhatsApp, tunajuliana hali na maendeleo kimaisha. Mimi nampa updates za kilimo na ufugaji na yeye ananipa updates za Forex kwa upande wake.

Sept 2016 nikaendaga USA, basi nikawa namsumbua sana MLU kwamba kilimo ni kitamu sana bora aache hizo forex yake afanye kilimo. MLU akanambia sasa Octario kwenda US unaona ni mafanikio makubwa? Tukabishana mwishoni akasema nimpe mwezi mmoja anishangaze - mimi nikawa namcheka, na kumwambia kua yupo ndotoni.

Mara ghafla siku 1 October 2016, Mike akanitumia text, hey Ontario nimevuta BMW mpya 0 km. Wabongo kwenye situation kama hizi hua ni wabishi sana, nami kama kawa nikabishana nae Asubuhi, mchana na usiku (kama dozi ya mseto). Jamaa akanambia subiri nikikamilisha paper works nakutumia picha. Ndani ya siku 4 tu, Mike akanitumia hii picha.
6ccbe86153d474187c32b8a2c8f65d68.jpg


Hapa nikawa mpole - ukweli ambao hakuna binadamu atakubali ni kuwa "Kila binadamu hapa duniani ana chembe chembe ndogo za wivu endapo mtu baki akifanikiwa kumzidi". Huu ni ukweli mchungu, ambao mimi nimeuprove katika situation kadhaa. Lakini watu wanaoweza 'kudeal' na hizo chembe chembe za wivu positively ni rahisi na wao kufanikiwa.

Kama hauwezi kupambana nao ungana nao
Baada ya hile hali nikawa motivated mno. Nikajipiga juu chini Nov 2016 nikarudi SA, nia ni kuonana na Mike. Nafahamu kabisa huyu jamaa hakuna kitu anachofanya hapa duniani zaidi ya hii Forex, leo kanunua gari KALI kupitia hiyo forex, lazima nami niingie humo. Nikajipa moyo kua I am never late.

Safari hii nilivyokutana nae sikuishi hotel, Mike alinifata Airport tukaenda kwake. Nyumba ambayo alikua anaishi ni sawa ama zaidi ya hizi ambazo mawaziri hapa Bongo wanazitumia. I was over shocked. Nikasema afe simba afe mmasai lazima hii kitu niijue. Hapa ndipo Mike alipoanza kunizingua, utani mwingi wa kunicheka kua mimi najifanya mjanja kumbe ni mshamba tu, akawa anasema hawezi kunielekeza hadi nipige magoti nimshike miguu nimuome msamaa. Haha haha!!

Akanipa tips zote kuhusu forex, akafungua book store yake akanipa vitabu 6 nivisome kwa makini sana. Nikavisoma haraka haraka kwa pupa, ili mradi nivimalize then Mike anipe mbinu nami nianze kupiga hela. Nilivyomaliza kusoma ki1 nikamtaarifu Mike, akanichapa swali 1 nikajibu pumba na mashudu. Jamaa akaniambia nisome upya letter by letter. Nikapunguza jazba, nikaweka concentrate ya kutosha, nikaanza kuelewa.

Sikukaa muda mrefu sana nikarudi Bongo. Nikawa naendelea kusoma vitabu alivyonipa kwa umakini sana na akawa ananiuliza maswali ya hapa na pale.

Nilivyoanza Forex trading

Mpaka hapa bado wengi hamuelewi nini maana ya Forex, bado hamfahamu hata nazungumzia nini, usiwe na pupa na jazba kama nilivyokuwa nazo. Twendeni pole pole, mpk hii thread inaisha hakuna atakayetoka mtupu.

Wiki kadhaa baada ya mwaka mpya 2017 nikaanza forex rasmi. Mike alinipa mwongozo wa awali akaniomba nifungue 'demo account'. hii ni account ambayo imewekwa virtual money, unaitumia kwa ajili ya kujifunza kutrade. Ukijiona umeiva unahamia kwenye real account ambayo unaweka pesa yako na kuanza kutrade kiuhalisia.

Nikapiga hii demo account, kwa kuwa sikua na msimamizi (mentor) karibu yangu ikanichukua mwezi mzima kumaster hii trading. Nikaanza kuona mwanga, nagonga profits, naelewa nini kinaendelea, nikaanza kujua basics za market analysis - fundamental na analytical. Baadae nikapata picha kubwa zaidi kuhusu hii kitu. Kwakweli nikajidharau sana sana kwanini nilikua namcheka Mike hapo awali, nikajiona Baxhite wa kiwango cha standard gauge.

Nikajiridhisha kuwa I am good to go. Na Mike rafiki yangu wa faida akanipa go ahead. Nikaanza kwanza na $700, nikakimbiza kimbiza nikaona nagonga profits za ajabu mpk nikawa naanza kuogopa. Kuna ile kasumba fulani wabongo tunayo kama unahisi unatapeliwa hivi, nami nikaanza kua na hiyo feeling. Nikawa kama vile nachallenge ubongo wangu, kusema hii haiwezi ikawa real, yani capital ndogo na bado napiga profits za ajabu hivi.

Nikakimbiza hadi kufika $2000 ndani ya wiki 2, nikasema nijaribu kuichomoa ile pesa kidogo nione kama ni real. Nikawithdraw $500, kudadeki kitu kikakubali, nikaenda CRDB nikavuta kamilioni kangu na tuchenji kadhaa. Sasa nikasema hapa ni kupiga pesa mpk mnikome. Mambo yakawa matamu sana, nikipata shida kwenye kuku na mashamba yangu nachomoa pesa kutoka kwenye trading account ndani ya siku 2 au 3 ninayo mkononi nafanya mambo mengine. Na kadri nilivyozidi kuchomoa pesa na kuwa nayo mkononi ndio nilikua napata morali ya kufanya forex.

Siku nikachomoa $1500 kwaajili ya mdogo wangu ambae ndio alikua anaenda kuanza form 1 huko Moshi. Hapa account yangu ilikua imefika kama $11,000. Nikasema hii pesa ($1500) niliyoichomoa lazima niirudishe ndani ya siku ile ile ili kubalance mahesabu.

Kuna kitu kinaitwa Psychology of trading and Over Trading. Hivi vitu nilikua naviona tu kwenye vitabu lkn naviruka kwa kuvipuuza, hii siku wakati nipo aggressive kurudisha pesa niliyochomoa ndio nikavunja hizo kanuni. Aisee nikaingia kwenye trades, nikawa nimeovertrade, nikaacha trades zinarun usingizi ukanipitia. Sikukumbuka kuweka stop loss (SL) wala take profit (TP) [hivi vitu tutavielewa baadae], aisee kumbe hiyo siku kulikuwa na economic news release. Baada ya kushtuka kutoka usingizini nilichokiona sikuamini macho yangu.

Nasema kama ile siku sijafa kwa presha siwezi tena kufa kwa presha siku za usoni. Yani nilikuta account yangu yote imepukutika kama mvuke. Sikuamini, nilipoteza karibia pesa zote zote ndani ya muda mfupi, sisi tunaita kuBlow ama kuchoma/kuunguza account. Kuna feeling fulani ukipoteza kitu cha thamani unaipata, yani unahisi kama unajikojolea. Sijui kama mnanielewa. Yani sielewi kilichonitokea, ni km nilipigwa ganzi ya ubongo

Nikamshtua Mike kuhusu msala wangu, akacheka sana sana akaniambia, nilijua tu lazima uunguze account, speed yangu ilikua ya mwanga wa radi. Zaidi sana anakambia kuchoma account ndio kukomaa na kuwa mtaalamu ama guru wa trading. Nikapiga moyo konde, nikajipa muda wa kupumzika na kusikilizia machungu yaishe.

Baada ya muda kama week 1 nikaanza upya kama kawa. Nikaweka $3000 nikaanza kukimbiza upya. Mambo yakawa matamu, yani nashukuru baada ya kupoteza ile pesa akili ikawa imenikaa vzr sana ktk kitu kimoja tunaita trading risk management. Nikawa makini kuliko kiasi, nikawa ninatrade pale tu ninapoona kuna opportunity, nikawa very strategic huku nikiamini kuwa bado mimi ni mwanafunzi na nahitaji kujifunza zaidi na zaidi kuhusu financial markets. Mpaka sasa ninavyoongea najiamini ktk trades zng vibaya mno kuliko kipindi chochote kile.

--Sasa twende kwenye maana ya Forex trading.

Forex trading ni nini hasa?

Waliosoma uchumi na masomo ya business chuoni najua tangu naanza uzi wanaelewa nini naongelea kijuu juu. Lkn wenzangu na mimi tuliosoma Sciences, technology, engineering na humanities hatuelewi hata punje.

Forex ama wengine hufupisha kwa kusema FX ni kufupi cha maneno Foreign Currency Exchange. Basically Ni biashara inayosisha kuuza na kununua fedha za kigeni. (Najua wengi hapa akili imegonga kwenye bureau exchange). Yes! Ni kitu kile kile lkn sasa hii Forex ni baba lao, tuwashukuru sana (wazungu) walioleta technology ya computer na Internet. Sasa kiuhalisia tukizungumzia Forex trading ni kubadilisha fedha za kigeni electronically and at real time. (Sijui kama unanielewa?). Ni wewe na computer ama smartphone yako pamoja na bundle lako.

Kinachotokea ni kwamba unaspeculate utendaji ama tuseme performance ya fedha fulani labda Dollar ama Yen ama Pound kisha ukifahamu uelekeo wake either utainunua ama kuiuza, kupitia huo mzunguko utatengemeza pesa kubwa sana ama kama ukijichanganya unapoteza vile vile. Hapa unahitaji uwe na uelewa mpana sana wa kufanya analysis ya soko la dunia (global currency market).

Hii ndio biashara yenye utajiri mkubwa kuliko biashara yoyote ile hapa duniani. Huwezi kuamini kwa siku katika forex trading kuna mzunguko wa $5 trillion (dola trillion tano), naomba hapa tusiiweke in Tsh maana tutaishia kuongea herufi za ajabu mara hexa trillion mara hepta trillion, lkn ni mkwanja mrefu sana. Kiasi kwamba itaihitaji New York Stock Exchange ifanye biashara siku 30 ili kupata pesa za siku 1 zilizopo kwenye forex market. Ndio maana sisi traders hua tunasema "kudownload pesa" yani kwenye forex ni kupakua tu pesa, kama vile upo uTorrent

Central banks zote zinafanya forex trading, financial institutions karibia zote duniani zinafanya forex, wafanyabiashara wakubwa karibu wote wanafanya forex (tena huyu bilionea wetu ambae alibahatika kufanya kazi Wall street atakua ni trader mzuri sana wa forex na stock), Donald Trump ndio hata usimzungumzie - huyu kashindikana, leo hii trump anasukuma tweets ambazo zinabadilisha upepo wa dollar katika soko ili yeye na team yake wagonge pesa, mpk anatoka madarakani atakua kazidisha utajiri wake hata mara 5.

Ukweli uliofichwa kuhusu forex

Sijui nisemaje, lkn ukweli ni kwamba kuna nguvu kubwa sana sana sana inatumika na mabenki kuwafanya watu wasiitambue forex. Wenzetu Ulaya na Marekani walishtuka mapema sana, kwao forex si kitu kipya sana japo bado kuna wingu kubwa hapo kati. Huku Afrika ndio usiseme, wenzetu SA kidogo wamewahi kushtuka kutokana na muingiliano mkubwa kati yao na mataifa ya Magharibi.

Utamu upo hivi - Leo hii ukichukua mil 10 na kuiweka benki katika fixed account, utapewa interest ya 7-10% kwa mwaka, hiyo miezi yote 12 unasubiria milioni 1. Lakini kwa forex ukiwa unajitambua ukaweka mil10 ukatrade, kama ww ni average trader ndani ya siku 2 utakua umepiga faida ya milioni 1. Sasa hapa benki zinapambana juu chini ili watu wasitambue forex ili wasije kupoteza wateja wa fixed accounts. Na ukweli ni kwamba pesa zinazowekwa fixed account bank hua wanazitumia kufanya forex trading, hii kuwapa watu mikopo hua ni kiini macho tu.

1 ya changamoto niliyokumbana nayo ni hii ya bank. Wakati nachomoa pesa ndogo ndogo ilikua ni faster tu, ndani ya siku 3 pesa iko mkononi. Lkn siku niliyojaribu kuchomoa pesa ndefu ndipo nilipoelewa nguvu inayotumika na mabenki. Sitataja jina la benki niliyokuwa natumia, ni bank ya kibongo (local bank), lkn kiukweli walinizungusha sana, wamenisumbua vibaya mno, wananisainisha makaratasi kila siku, kila siku naambiwa nikutane na XX, mara wananiambia nithibitishe kua ile pesa si "money laundering" "kutakatisha pesa". Hii yote ilikua ni mbinu ya kunidiscourage nisiendelee na forex, kumbe hawajui mtu wanaeshindana nae. Hayo yote nilikua nishayasoma kwenye vitabu siku nyiiingi, ni kama nilikua nina theory sasa nimeeingia kwenye practical. Mwishoe wakanipa changu!!

Hakuna bank yoyote ingependa ujue kuhusu forex, yani hata humo kwenye mabenki wafanyakazi wa humo humo benki hawatambui kabisa kuhusu forex. Ni wajanja tu ndio wanaweza wakaelewa nini kinaendelea huko duniani. Nguvu inayotumika si ya nchi hii.

Hata juzi nilimpa jukumu member m1 hapa JF ambae alinisaidia kusajili kampuni yangu mwanzo kbs, nilimuomba afatilie ishu ya forex BRELA, wizara ya fedha na BOT. Yani kuna blah blah vibaya mno, watu hawataki kufunguka kabisa. Lakini tutafika tu, dunia haiwezi ikatuacha just kwasababu ya manufaa ya wachache, sio fair.

Way forward

9899c7dad05c1ace817ac027eb891b45.jpg
Hii picha niliichukua kwa bahati mbaya nikiwa mile 60,000 angani lkn hapa iko relevant.
Hivi nazungumza sina muda mrefu tangu nitoke Afrika Kusini, na nilichokifuata naweza kusema kwa asilimia 99% kimefanikiwa. Nimetumia gharama nyingi sana kufanikisha dhumuni langu but it's worth it. Naamini hivyo.

Naangalia fedheha na dhihaka tunayopata wasomi, it's too much. (Nikisema wasomi simaanishi kama unavyodhani bana hahahaaa, no disrespect hata mwenye form 4 nae ni msomi). Jamii imekua na expectation kubwa mtu akifika form 4, form 6, degree namasters, watu wanategemea uwe mtu fulani hivi, mwenye maisha fulani hivi. Lkn kwa system ya nchi zetu hizi , inakua tofauti, inafika kipindi huwezi kumtofautisha graduate na mtu kama msaga sumu ama man Fongo.

Kwa experience niliyonayo nikaona Forex is the BEST way forward kuepuka hizi fedheha za ajabu. Unakuta mtu hata wazazi wako wanajilaumu kwanini walitumia nguvu kukupeleka shule, walikua wanategemea a lot kutoka kwako, lkn hadi leo unakuta graduate ana miaka 26 anagombania kipande cha nyama na mdogo wake. Lol.

Iko hivi wakuuu:-

●●Nimefanikiwa kuAttract mentors watatu akiwemo mentor wng binafsi, kuja Bongo kwaajili ya kutoa training, coaching na mentorship kuhusu forex. Nimeona niwatumie waafrika kusini kutokana na uzoefu mpana walionao na uwelewa katika forex kwa hapa Afrika.

●●kwa usumbufu wa Local banks nimeweza kuongea na FNB bank, hii ni bank makini na maarufu sana SA ambao wana experience kubwa ktk kudeal na transactions za forex. Wamekubali partnership na uzuri Bongo wana branches kadhaa so ni rahisi zaidi.

●●Nimeweza kuAttract forex broker kuja Bongo. Hapa kidogo nikupe uelewa - Broker ni financial institute inayokuwezesha wewe kuingia global market na kufanya trades zako. Wanakupa platform ya wewe kuweza kutrade katika soko la kimataifa. Fedha zote sasa zinapitia kwa broker wako, ukitaka kupokea pesa zako zinapita kwa broker, huwezi ukatrade bila kua na broker.
Sasa kwenye forex kuna aina 2 ya brokers, niseme kuna aina nyingi lkn hizi mbili ndio common zaidi.

1. Market makers: hawa ni broker wanaeshindana na wewe retail trader. Hawa ni hatari sana kwa afya yako. Huyu broker yupo against na wewe, yeye anapambana wewe upoteze pesa, na hiyo unayopoteza inakua faida yake. Anaweza kufanya hujuma za kila aina ili upoteze pesa yako kwa kutrade, yeye ndio apate faida.

2. ECN forex broker: Huyu ndie broker safi kwaajili ya afya yako. Huyu atahakikisha kufa kupona wewe uwe unapiga faida, anataka wewe milele daima uendelee kupiga pesa kupitia forex, muda wote yupo na wewe benet ili usianguke. Why?! Huyu ni broker ambae anapata commission ndogo sana kwa kila unapoexecute trade, sasa ili yeye apate faida inabidi wewe trader uwe unaweza kutrade zaidi na zaidi, na ili wewe uweze kutrade zaidi inabidi uwe unawin ili uzidi kuwa na account kubwa ya ww kuendelea kutrade zaidi.

Sasa broker ninayemtumia mimi ni huyu ECN, nimefanya juhudi kubwa sana kuweza kumshawishi aje afungue branch Bongo. Na as planned amekubali, uzuri ni kua vibali vyake vinamruhusu aingie nchi yoyote ile Duniani. Na kwasasa tayari wana branch kwa jirani zetu hapo Kenya. na hivi naongea tayari wameshafungua account ya FNB Tanzania ili kusudi kutuwezesha kuweza kufanya one day deposit/withdraw. Yani ukitaka kuchomoa pesa yako kutoka trading account zoezi hilo litakamilika ndani ya siku 1 tu.

Na tayari nimewapa ushauri ambao wanaufanyia kazi - waweze kuleta broker visa card. Yani kunakuwepo na card ambayo itatuwezesha kuchomoa pesa 1 kwa 1 kupitia ATM yoyote ile duniani.
Kitu kama hiki:-
8a8a1308766b3617cf78b85a6bdffc57.jpg


Nini tutegemee

Mpaka sasa ninavyozungumza team yangu tunafanya kazi, kazi kweli kweli kuhakikisha haya yote ninayoyazungumza hayaishii kwenye papers ama JF. I want to get this thing done, come rain or shine, ije jua ama inyeshe mvua.

Hapa naandika huu uzi nahisi nakula muda wangu - but it's worth it. Napambana kupata papers zote, ili operations ziwe legalised kwa sheria na utaratibu wa nchi. It's hard but it will be done.

Jana nimetoka kucheki office na nitailipia soon. Tumependezwa sana na Jangid plaza ipo pale mataa karibu na Dar Free Market. Nimeshaonana na mmiliki, badp kukamilisha paper works tu.
c7d5df684fb732908483b161556f0399.jpg
44dea36bd9ac6e051cd9403b75aa76c9.jpg


Let's get started

Any time niko tayari kuanza, soon indeed!! Tunataka watu wawe financial independent, watu waweze kucontrol uchumi wao pasipo kuinyenyekea/kuililia serikali. We must move forward with the rest of the world, same time same speed bado hatujachelewa.

Am young but very motivated. Sijui niseme nini, but hivi naongea nimereject mwaliko kutoka World Bank ambapo nimealikwa kushiriki ktk Global Youth Symposium for SDGs, nimewaambia nimebanwa. Just nipate muda na space ya kupush hii kitu ianze. Na itaanza tu inshaallah.

Tutatoa kila kitu unachohitaji ili uwe profitable forex trader. Kadri tunavyokuwa ndivyo tutazidi kupanuka, kuwafikia watu wa mikoani mpk hii kitu ieleweke. Najua it's not easy, but it's possible.

Only Special for JF
Since day 1 JF is my family, tunakutana majukwaa mbali mbali tunataniana, kukwaruzana, kupishana mitazamo, lkn sisi ni ndugu. Thanks kwa team nzima kupambana effortlessly kuhakikisha hii kitu (JamiiForums) inadumu, najua wanapitia mengi ili JF iwe shut down lkn wameendelea kuwa strong forever. Na Alaaniwe hayawani yule anayetaka kuizima JF, na mwingine anataka kuzima mtandao. Shame!! - no politics am real.

Mimi nikikwambia nimelipa Rand 14,000 (ni kama mil 2.5) kwaajili ya 1 to 1 mentorship huwezi kuamini. But wanaoelewa forex wanajua nini namaanisha. Vijana makini sana ambao pia nina malengo ya kumeet nao mwakani wanaitwa AstroFX wana charge $7500 kwaajili ya 1 week training na 6 months guidance ktk forex.

Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE. Watu 300 wa mwanzo nitakaoanza nao hii safari nitatoa learning materials, trainings, mentorship, na 3 months guidance for free. I am blessed to bless others - Don't misquote me.

Kwanini nafanya free?! Bado forex haijulikani TZ, na ni ngumu sana kubadili mind set ya watanzania wengi - ambao mara nyingi hua hawapendi kujifunza. So, natoa hii kitu for free kwa watu wa mwanzo, ili wapige pesa na wabadili financial status zao. Then hawa watu watakua ambassadors wangu, namaanisha hawa ndio watatutangaza pande zote za TZ. Watu wakimake consistent profits, wakaelewa how it works basi kama watu hawa si wachoyo wa mafanikio wataenda kuwashtua wenzao - ndugu, jamaa na marafiki. Hapo tutaanza na reasonable fees mpk tutakapoona ni muda sasa wa sisi nasi kula jasho letu, ndio tutaanza kuweka bei za faida.

Again I salute all you bosses

ONTARIO.
Shukrani mkuu niliwahi kusoma makala moja nikahisi ni utapeli lakini kadri ninavyozidi kusoma siku hadi siku nazidi kuelewa zaidi. Barikiwa sana
 
Mkuu Mahesabu, naheshimu sana mawazo yako...

Hii biashara anayoizungumzia mtoa mada ni halisi kabisa...

Bahati nzuri katika course ambazo nimefanikiwa kuzisoma chuoni mojawapo (INTERNATIONAL FINANCE (FN 300)) imezungumzia masuala ya FOREX kwa mapana sana... Na inalipa sana kama mtoa mada alivyo tanabaisha...

Ukwel mwingine usiopingika, hii kitu sio rahisi(maana kuna mahesabu ndani yake) unless you devote yourself kusoma in detail ili uweze kucheza nayo... kwa wale wavivu wenzangu wa kusoma na kuhesabu, this wont suit you....

Nakaribisha kukosolewa lakini sio mipasho maana humu hakuna dogo....

Nimeheshimu uchambuzi wako, hayo maneno kwenye BOLD ungeyatafutia MBADALA wake ingekuwa one of the best advice. And this is what I actally see badala ya WAKUBWA kuja na maneno lainiiiiiii ambayo mimi nayaita tutakuja lia
 
Moja ya thread makini sana hongera Boss, twende hatua kwa hatua
 
Huu Uzi ni mzuri sana katika kuwafundisha watu juu ya biashara ya FOREX

Binafsi Nina uzoefu wa hii biashara, kwa hiyo napenda kushare machache humu ili watu watambue faida na risk zake..

Kwanza kifupi ni kwamba hii biashara sio rahisi kama wengi wanavyodhani, ina hitaji umakini wa hali ya juu maana unakuwa umekubaliana na mambo mawili. Profit au loss.

Hatua ya kwanza kabisa inabidi uchague broker (hapa pia panahitaji umakini).. Baada ya kuchagua broker inabidi umstudy kwa kina maana kumbuka kwamba wewe unahitaji profit na broker nae anahitaji profit kupitia ku-loose kwako au kuwin (hapa ni brokers wachache)

Kifupi ni kwamba unahitaji kupata uzoefu kidogo kwa kuangalia trend ya biashara kwenye FOREX lakini pia kupitia mtu ambaye ana uzoefu wa kutosha kwenye hii biashara FOREX (hapa itabidi upate mkweli)

Jambo lingine LA msingi ni kufahamu risk ambazo utakumbana nazo katika hii biashara, tambua kwamba kila mtu anahitaji faida kupitia hii biashara, kwa hiyo kupata kwako loss ndio faida kwa mwingine (kwa lugha nyingine naweza kusema ni struggle for the fittest)

Nirudi kwa mtoa mada, kwanza nimpongeze kwa kujaribu kuelezea kwa ufupi uhalisia wa biashara hii lakini kuna Vitu ametazamia kwa lengo la yeye kujiongezea kipato (japokua kihalali) kutoka wa watu watakao kuwa tayari kuianza biashara hii..

Nafafanua kidogo:-
1. Mtoa mada amesema ana mpango wa kufungua office na kutoa train kwa watu 300 bure kwa kushirikiana na brokers alioingia nao ubia (ni wazo zuri)
Naamini train hiyo itakuwa inamzungumia broker (aliyeingia nae ubia) jinsi anavyofanya kazi, offer zake na faida kwa mtu atakayejiunga kupitia huyo broker...
Kwahiyo baada ya train hao watu 300 watajiunga na kuwaambia wengine kujiunga kupitia broker aliyewapa train (na hapa ndipo anapopata faida kupitia watu wanaomtumia broker aliyeingia nae ubia.. Kwahiyo hapo wewe pamoja na broker your fighting for profit... kwahiyo mmoja aki-lose ndio faida ya Mwingine).. Ndio maana nasema hapa inahitaji umakini mkubwa sana.

2. Kama lengo LA mtoa mada ni kugain profit kupitia ubia wake na broker na watu watakaojiunga. Basi naamini katika training atajikita zaidi kuelezea benefits zaid kuliko risks maana target yake ni kuku-win wewe, kwa mantiki hiyo hawezi kujikita zaidi katika risk maana anajua utaogopa atakukosa.

Ndio maana Jambo la msingi unapaswa kujiuliza ni kwanini mtoa mada amekubali kuingia gharama zote hizo kuleta mentors?? (Usifikiri in positive ways pekee yake, check on both side +ve & -ve)

Pili kwanini sahivi anataka kufungua office?? Kwanini asingetengeneza Whatsapp group akatoa elimu bila kusubiri apate office ili atoe fursa kwa watu wa mikoani??

Maana me naamini kumpatia mtu juu ya hii elimu haihitaji uwe na ofisi wala uwe nae ana kwa ana (me niliipata hii elimu kupitia internet pamoja na kusoma vitabu, lakini sahivi nafanya vizuri)

Mwisho nawashauri ni vizuri mkawa makini sana na kujiridhisha kwa kina kabla ya kufanya maamuzi.

NB: hayo ni mawazo yangu kulingana na uelewa wangu na uzoefu wangu juu ya biashara ya FOREX, sijatoa kwa lengo LA kum-criticise mtu bali kwa lengo la kuelimisha zaid.
 
ONTARIO's orchestration to you guys is to venture into forex business. This needs a tranquilized mind to diget this. The idea is superb and I have rhetorically being saying this. But, the idea is not idealistic now serve for the future generation.
You seem to be too naive in this complicated financial trade. [colo=blue]Do you think it's just a click of your fingers on your computer keyboard that'll make you trans act in international trade[/color]? No way. In any investment you must have CAPITAL, and where do you get this forex capital if you don't have anything generating it?
Nikakupa exchange rate ya Somalia against our shilling, bahati mbaya ww ukaona kwamba hiyo ndo translation ya uchumi maskini we. Nimekupa hiyo ili akili yako ifanye kazi ya kujiuliza maswali mengi.
Ni watu kama nyie ambao hamjawahi ku fanya practically any forex transaction mnabwabwaja bila kujua.

I was about to quit replying nonsensical posts from ill-informed slowpoke duffer like you but this one gets too high and it needs to be confuted accordingly.

Dude, if I may join you in your ludicrous advice since you sound like ancient humans who were continually mystified by science. Yes you should serve it for your own future generation and not for our generation, since you currently still wallow in backwardness don't force others to be like you by having same old stone age mentality.

I know a lot about this lucrative business, having spent some months researching on it so there is nothing you can tell me about that I don't have a clue with. I know what I am saying here so get this in your fvcking head. The idea is not idealistic for you and it's because of your cluelessness.

Umenipa exchange ya somalia against ya Tanzania hili niifanyie nini!? Hivi unajua hata kusoma na kuelewa au unasoma tu lakini huelewi!? Wewe una kichwa kigumu sana mkuu, nimeonyesha kuwa biashara hii ni ya kuuza pesa na kununua pesa kwa njia ya mtandao yaani kila kitu kinafanyikia online, na ukishagusia thamani ya pesa fulani tayari moja kwa moja inakuwa umegusia uchumi wa nchi husika. Kwa hiyo hapo hapo moja kwa moja unachofanya ni kucheza na economy state ya nchi husika kama umepanda au umeshuka. Sasa kama mtu ana deal na uchumi wa Australia na Japani pekee. Huu uchumi wa bongo ataugusa saa ngapi!?

Huo mfano mbuzi wa exchange rate kati ya SOS naTsh. Nimeulewa sana ila namimi nimejaribu kukutoa gizani kwa kukuonyesha hata huo mfano wako ni mfano mfu kwa sababu hauna relevance yoyote kwa hichi nnachokiongea. Na pia kingine wewe mchumi unasema kuwa "currency exchange rate" haiwezi kuwa translation ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania dhidi ya uchumi wa Somalia... Hebu nipe Maelezo ya kina hapa una maanisha nini hasa!.

Cha mwisho unaonekana bado unaishi karne ya 17, na kushauri uwe una tabia ya kufuatilia recent publication about latest technological changes, at least you will develop curiosity and eventually get rid of pigheadedness.
 
Boss natamani kua mmoja wa hao free to join
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom