Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,431
Kama ni real account, mkuu hongera sana!Jana nilianza mdogomdogo Leo tena. Nikipigwa mrejesho utakuja tu usijali mkuu
Nadhani unaongelea currency correlation!! alichofanya jamaa hakina makosa unless kama alizifungua hizo positions all at once! hapo ndio ingekua balaa!!Sawa mkuu ila hyo style yako....muhenga mkuu aliitoleaga angalizo siku moja na ni hatari kweli kweli.
Na usitegee utafundishwa mkuu. Ukisoma vitabu + demo kila kipo wazi, sio lazima mwalimu!Tatizo siyo yeye mwalimu wake hajamfundisha jinsi ya kuweka SL na TP i hope ikifundishwa ataitumia.
Mkuu wangu, with all due respect...SL ni muhimu sana, ni kweli wengi hawatumii kwa sababu wanatumia small time frame ila kikanuni na kiusalama ni muhimu iwepo!!Kwa trading strategy anayotumia ataendela kuwa na sell & buy position kwa faida bila hasara yeyote.
TP ni muhimu sana, haufanyi scalping.
Labda mimi celewi vizuri, Mwl unambie.
WAVE HUPANDA NA KUSHUKA.
Tunabuy inapopanda.
Tunasell inaposhuka.
Sasa huyu jamaa kabuy saa 12:01, 12:20, 13:21.
Inaonekana graph ikapanda sana. Wakati inarudi chini, jamaa hakuclose position badala yake akaanza kusell, saa 14:04 na saa 14:14.
Ndo mana sell ya 14:04 ina faida kubwa kuliko saa 14:14 sababu graph bado inashuka.
Sasa kama kasell mpaka saa 14:14 tangu 14:04 na kapata value zote hzo, kumaanisha graph imedrop katika opposite direction ya kubuy, je wakati alipobuy alifikisha faida gani ambayo kailuz kwa kutotake profit?
Sijajua lakini, mana scalping mi siijuagi, lakini naamini haiwezagi kuhold position kwa 2hours.
Ila bado naamini alichokifanya ni makosa.
View attachment 582083
NB: Tazama time za kubuy, na kusell, na ujue kuwa amount inayoonekana katika kuseli imepungua katika upande wa kubuy, mana ni graph inashuka toka kwa resistance kurudi kwa support...
Ni value ambayo angekuwa ame make kama angetake profit (close buy position) katika resistance kabla ya kusell wakat graph inaanza kurudi katika support...
Nipo tayari kurekebishwa.
<> semper fi <>
Wadau nashukuru Sana kwa challenge ila Mimi natembea na screen yangu pindi Nikiwa nimefanya position stegemei kuloose maake nataka nitambae na hii mpaka kieleweke SL na TP nitaapply baadae sana nikiwa sawa ila kwa sasa acha nitembee na screen yangu
I concur with you!Mi niko kwenye live acc, uzoefu wangu with live account ni kwamba every trade must be set with SL but not necessary with TP, however (with high time frame eg H1 or H4 instead set your trailing stop loss with 30-40 pips), you should learn behaviors of any pair regarding its volatility. For me, any pair with USD, AUD and JPY is most dangerous if you cannot set your SL...and that will cause you unnecessary tensions while on position.
mkuu bid price iko on your left hand nayo offer iko on your right hand..brokers wengine wanaziweka prices hizi moja juu ya nyingine..iliyoko juu ni ask na ya chini ni bid price..sasa unapotaka kuuza,unatumia the bid price...ukitaka kununua ni ask price..MKUU mimi hizi mavitu apa zinanichanganya sometime ...labda bado sijazoea ..mfano apo bei ya kununulia ni ipi na bei ya kuuzia ni ipi? Naomba msaada mkuu View attachment 582180
Sent using Jamii Forums mobile app
Good question. Ila kuna kitu kinaitwa ANALYSIS! na katika analyisis tuna TECHNICAL NA FUNDAMENTAL NA SENTIMENT ANALYSIS, kwa kutumia moja wapo au zote ndio unaweza jua kwamba at this time EURUSD (or any other pair )might go north or south (itapanda au itashuka)!Wakuu kwema? Naomba kujua namna ya kupata taarifa mbali kuhusu pair nnazo trade ..mfano niki trade EURUSD nawezaje kujua kuwa EUR itashuka/itapanda baada ya mda fulani? Naomba msaada wenu wakuu. .
Sent using Jamii Forums mobile app
approach nzuri ni kutumia zote ili uwe na a broader pictureGood question. Ila kuna kitu kinaitwa ANALYSIS! na katika analyisis tuna TECHNICAL NA FUNDAMENTAL NA SENTIMENT ANALYSIS, kwa kutumia moja wapo au zote ndio unaweza jua kwamba at this time EURUSD (or any other pair )might go north or south (itapanda au itashuka)!
Hongera mkuu lodrick, nimekuelewa vyema pale ulipomielewesha jamaa maana ya PIP na POINT.Good question. Ila kuna kitu kinaitwa ANALYSIS! na katika analyisis tuna TECHNICAL NA FUNDAMENTAL NA SENTIMENT ANALYSIS, kwa kutumia moja wapo au zote ndio unaweza jua kwamba at this time EURUSD (or any other pair )might go north or south (itapanda au itashuka)!
Nashukuru sana mkuu wangu!Hongera mkuu lodrick, nimekuelewa vyema pale ulipomielewesha jamaa maana ya PIP na POINT.
Kumbe sometime unaweza kusoma kitabu ukaelewa tofauti kabisa na kilicho kusudiwa labda nikutokana na kigugumizi kwa hii ligha ya wenzetu.
Umedadavua vzr sana much respect to you mkuu.
Ombi langu naomba uongelee kwa mapana kidogo hii yakuitwa ANALYSIS namna ya kuitumia pamoja na aina zake TECHNICAL, FUNDAMENTAL NA SENTIMENTAL.
natumai utatudadavulia vzr, na hii itakua ni faida kwa sisi wenye vigugumiz kwa lugha hiyo mama.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siijui kabisaaa... Labda ndo unifunzeMkuu, Scalping waielewaje wewe
mkuu sclaping si kuvizia au?? you go short mifano dk 1,5,&15Siijui kabisaaa... Labda ndo unifunze
<> semper fi <>
Nahisigi hvyo, lakn hili la kubuy then unasell SAME PAIR kwa kutegemea kumaximize faida ndo lanchanganyamkuu sclaping si kuvizia au?? you go short mifano dk 1,5,&15