Mkuu MBNA m nimeona ilikuwa inashuka dhid ya usdCAD leo naona imefanya kweli more pips
All men are self made [emoji123]
Mkuu pair ya usdcad imeshuka kwasababu cad ilipanda...ila pairs ambyo cad ilikua base basi ilipanda.. mfano CADCHF ilipanda
Nmekuelewa kk nsaidie na hilo swali jingineMkuu pair ya usdcad imeshuka kwasababu cad ilipanda...ila pairs ambyo cad ilikua base basi ilipanda.. mfano CADCHF ilipanda
Kumbuka concept ya base na quote
Mim ni begginer pia mkuu..ila kama unaona pair inashuka uko free ku sell, na kama ikija kupanda basi pia uta buy...Nmekuelewa kk nsaidie na hilo swali jingine
Pole kwa usumbufu lakin
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa kkMim ni begginer pia mkuu..ila kama unaona pair inashuka uko free ku sell, na kama ikija kupanda basi pia uta buy...
Sasa hapo depends na strategies zako..wengine ni wazee wa scalping , au pia unaweza kutumia pending order kama unaamin hiyo pair bdae itakuja kupanda au kushuka
All men are self made [emoji123]
Samahan wakuu naomba kuuliza hil swali mana linanitesa
Mfano leo mchana gbp ilishuka sana dhid ya usd na baadae jion kuanza kuimarika
Iv haiwezeka kununua ikiwa inashuka na kusubir baadae inapopanda kuuza.....!!!?
Kama n ndio unafanyajeeee.....!!?
Nb ...m bado nasoma vitabu nafikir kufungua demo cku za karbun .....
Plz jaman mnisaide
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu iv baada ya kununua unaweza kaa nayo muda gani kabla ya kuiuza tenaMfano pair ni EURGBP...
Kama gbp ikishuka ina maana eur ina panda. Kwa swali lako... Unaweza nunua gpb ikiwa inashuka ila jua utakua unaweka kwenye hatari mwenyewe...
Kama currency inashuka au unadhan itashuka unatakiwa uuze (go short) otherwise utapata loss!!
Now.. Kama unataka kuuza ikiwa inashuka then tumia stop order... For this case tumia buy stop order! Hapa utakua umejiweka sehem nzuri na kujizuia na hasara incase ikiendelea kushuka bila kupanda!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho EUR day! We simply swallow pipsCAD leo naona imefanya kweli more pips
All men are self made [emoji123]
jaribu sana kufatilia economic calendars..bank of canada BoC wamepandisha interest rates zao katika policy meeting yao ya mwezi september.hilo limefanya CAD ipate nguvu sana dhidi ya dollar.kifupi,USD/CAD imeshuka sana...
Inategemea hamna muda maalum. Kuna mambo mbalimbali yanayosababisha currency fulani kupanda au kushuka kwa kipindi fulani Mfano; mambo ya economy policy, political news and crisis, natural disasters na mengne mengi sana..Mkuu iv baada ya kununua unaweza kaa nayo muda gani kabla ya kuiuza tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaa kesho euro tunaisubir sjui itapandaKesho EUR day! We simply swallow pips
Kuna mambo unachanganya mkuu.. Leo GBP haijashuka against USD hasa hicho kipindi cha mchana unachokisema GBP ndo ilikua inapanda thamani na USD ikawa weak.Samahan wakuu naomba kuuliza hil swali mana linanitesa
Mfano leo mchana gbp ilishuka sana dhid ya usd na baadae jion kuanza kuimarika
Iv haiwezeka kununua ikiwa inashuka na kusubir baadae inapopanda kuuza.....!!!?
Kama n ndio unafanyajeeee.....!!?
Nb ...m bado nasoma vitabu nafikir kufungua demo cku za karbun .....
Plz jaman mnisaide
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu hio docoment unatumia app gani kuifungua maana adobe inagoma..??Kuna mambo unachanganya mkuu.. Leo GBP haijashuka against USD hasa hicho kipindi cha mchana unachokisema GBP ndo ilikua inapanda thamani na USD ikawa weak.
Ni hivi mkuu naona katika kusoma kwako kuna mambo umeelewa kinyume, Huwa hatununui currency kama inashuka thamani na huwa hatuuzi currency fulani inapopanda thamani.
Pitia haka ka document kafupi nilikukuekea katajibu haya maswali yako kameelezewa vizuri sana.
Fungulia na Ms Word.. Ipo kwenye format ya word.Samahani mkuu hio docoment unatumia app gani kuifungua maana adobe inagoma..??
Sent using Jamii Forums mobile app
usizoee kutembea na screen utashangaa linews limetoka huko red zinaongezeka tu mwisho position inajifunga automatic...(account burnt).Wadau nashukuru Sana kwa challenge ila Mimi natembea na screen yangu pindi Nikiwa nimefanya position stegemei kuloose maake nataka nitambae na hii mpaka kieleweke SL na TP nitaapply baadae sana nikiwa sawa ila kwa sasa acha nitembee na screen yangu
For as long as you want. May be an hour.. A day... Week... Month... Year.. ILA..Mkuu iv baada ya kununua unaweza kaa nayo muda gani kabla ya kuiuza tena
Sent using Jamii Forums mobile app
usizoee kutembea na screen utashangaa linews limetoka huko red zinaongezeka tu mwisho position inajifunga automatic...(account burnt).
Hyo ni real sio??