Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hivi na katka hao watu 300 watakao bahatika kipata special offer, watahitajika kutoa hiyo 65000/=, Au pesa hyo ni kwa wale wasio bahatika kwenye 300?
Ufafanuzi kodogo wakuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani wale mlo sign up mbona hamtupi mrejesho? Au mambo yamekuwa magumu?

<> semper fi <>
 
scalpers wote ni waviziaji mkuu cha muhimu ni kumake profit........na kulisoma soko la forex ni ngumu haliko constant lina panda na kushuka kila sekunde!...........
 
Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE. Watu 300 wa mwanzo nitakaoanza nao hii safari nitatoa learning materials, trainings, mentorship, na 3 months guidance for free. I am blessed to bless others - Don't misquote me.

Kwanini nafanya free?! Bado forex haijulikani TZ, na ni ngumu sana kubadili mind set ya watanzania wengi - ambao mara nyingi hua hawapendi kujifunza. So, natoa hii kitu for free kwa watu wa mwanzo, ili wapige pesa na wabadili financial status zao. Then hawa watu watakua ambassadors wangu, namaanisha hawa ndio watatutangaza pande zote za TZ. Watu wakimake consistent profits, wakaelewa how it works basi kama watu hawa si wachoyo wa mafanikio wataenda kuwashtua wenzao - ndugu, jamaa na marafiki. Hapo tutaanza na reasonable fees mpk tutakapoona ni muda sasa wa sisi nasi kula jasho letu, ndio tutaanza kuweka bei za faida...

#Free100%
 
Anza na mie

<> semper fi <>
 
Hakika launching ilikuwa nzuri haswa.


Wale haters karibuni. Kuonesha kuwa registration fee si kitu, tuliohudhuria launch tayari tushatumia takriban elfu 30 katika breakfast tuu. So yule aliyekuwa anapiga hesabu kuwa ontario atapata milion 19 jumla toka katika elfu 65 zetu, afanye kupunguza hayo makadirio. Hahaaahaaaha.
 

Attachments

Wow mmetuwakilisha nasubiri batch ingine for nw napambana na vitabu
 
Pambana, hopeful tutakutana katika corridors siku moja. Ngoja sisi tukakomae na trainning Baada ya kukomaa na vitabu kwa muda sasa.
mkuu msisahau kuleta maujuzi mtakayoyachota huko hapa jukwaani..
 

Inaonekana ilifana sana big up...




 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…