Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nijuavyo mm IQ Option is a Binary Broker it doesnt deal with FX Trading,So mnatrade Binaries kinda same but kuna utofauti.Forex Trading is big leagues.
Endelea kusoma soma.
vp mkuu unafunguaje iq option account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu
 
Jaman Nani alishawahi kutumia binary option ie IQ OPTION maana mm nmeliwa dola Kama 80 hadi Sasa.


HV hzi binary nazo ni nzuri kujifunzia@ONTARIO and others who are legends
vp mkuu unafunguaje iq option account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu.
 
vp mkuu unafunguaje iq option account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu.
 
vp mkuu unafunguaje iq option account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu.
Mkuu nenda play store utapata hiyo app. Then ni vema ukawa na SKRILL account au NETTELER account ambazo ni wallet so ukiweka hela humo kutoka visa card ndio unafund IQ Option. Faida yake ni kuwa ukiweka hela kupitia wallet una uwezo wa kutoa faida hadi 1M dollars ila kupitia visa card huwezi toa zaidi ya kiasi ulichofund. Kwa bank nakushauri utumie card ya Bank ABC. Wataalam wataongezea au kurekebisha
 
hii inaitwa dabo deki, umepiga kote kote kila mmoja afanye kile anacho amini.
 


MFA MAJI
 
Ila chasha ungetulia tu c ingekuwa fresh au[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]

Imepenya iyo
Na umeipenda pia[emoji857][emoji857][emoji857]
Wangejua vijana walivoamka na wanavoendelea kwa kasi kujisajili wangekunywa tu SUMU mana hamna namna yoyote ambayo watafanya kuzuia hii nguvu ya uamsho [emoji23][emoji23]
 

Nakupa taarifa Chasha Matusi yako unayonitumia kwenye PM siyahitaji, wewe ni Verified User unaanzaje kumtusi mtu kwa kuwa ana hoja tofauti na wewe? Nimekuvumilia sasa ni wakati muafaka Watu wakutambue kuwa si mstaarabu, tunashindana kwa hoja si kwa MATUSI.

Kimsingi agenda yako imeshindwa mpaka sasa, nikufahamishe udhaifu wako wa hoja ulishaonekana toka mwanzo kuwa huamini unachokiongea bali unasukumwa na roho ya chuki uliyonayo kwa Ontario na wale wote wanaomuunga mkono. Tumekubali kushawishika na hoja za Ontario kwa kuwa tumefanya uchunguzi wa kutosha na kubaini anayoyazungumza ni kweli na kweli tupu.

Chasha Poutry Farm acha matusi yako kwangu tena sihitaji unitumie PM zako ambazo hazina kichwa wala miguu, nitazileta Jukwaani uaibike kwa kile ulichoniandikia, kama huwezi kuwa na hoja za kunishawishi nikubali unachokisema basi USINITUSI, ukinitukana ni dhahiri huna hoja, sasa kama hoja huna si umefirisika wewe!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…