AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 843
Ni bahati kuchoma akaunti, nazo smtym haziunguagi kirahc... Mi nimechoma 3 tayari, lakn najua ninachokitaka ntakipata tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] amebahatika
Bahati nzuri, broker wangu ninaweza kufund akaunt hata kwa mpesa, so ni easy, nachoma akaunt, naenda tu mpesa, naifund, narud kuendelea kujifua, ili nijue,
Kwanini Iliungua?[emoji17]