Mmmhhhhh,
Mmmhhhhh,
Nini tena hii??
Nadhani kama ni shule hii topic nitakua sijafika aisee, ngoja twende taratibu kwanza
Ignorance is a huge burden one could carryForex ni utapeli unaofanywa na O
Kama ambavyo ukoo wenu umeubebaIgnorance is a huge burden one could carry
Mpaka hapa forex haikufai. Kama we sio mpenzi wa kusoma vitabu tafuta kazi ingine ya kufanya.Unajua cha kusoma bana ni tofauti na cha kuambiwa au kuelekezwa na mtu aisee
Huwez yakuta haya uko chuoniMmmhhhhh,
Nini tena hii??
Nadhani kama ni shule hii topic nitakua sijafika aisee, ngoja twende taratibu kwanza
Unataka kufundishwa forex kwa nia ya kuingiza kipato au unataka uijue tu kama somo?Wakuu wangu kwema??
Nimekua mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali inayoendelea kuhusu Forex. Sasa nimeamini kua hii kitu ni kweli ipo tukiacha matatizo ya hapa na pale.
Binafsi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu pale IFM, na somo la International Finance nimelisoma lakini hii kitu inaitwa FOREX naiona iko complicated kidogo. Pengine ndio ishara kua Mitala yetu imeundwa kumkaririsha zaidi mhitimu kuliko kuelewa uhalisia wake ulivyo (reality).
Tukiachana na hilo, mimi ningependa kuifahamu zaidi hii kitu. Kuna terminologies mbalimbali kama vile Pips, Lot size, Signals, etc nimezisikia sikia hapa JF sizielewi zinamaanisha nini. So ningependa kuelekezwa au kufahamishwa kuhusu hili.
Najua kuna vituo au watu binafsi wanafundisha haya mambo kwa malipo fulani, ila binafsi ningependa kuyajulia humu JF kwanza ili angalu nikipata Mwanga basi ndio nijiunge labda kwenye hizo Centre. Pili hapa JF wapo watu ambao wana uelewa Mkubwa wa hii biashara kuliko hata Walimu wa hizo Centre na tatu hapa tunaweza kupeana shule freely tu.
Tufafanuliane tu kuhusu hizo terms na zingine, zinatumika wakati gani, etc
Karibuni
When foolishness controls one's mindKama ambavyo ukoo wenu umeubeba
Masomo nilishayaachaga Chuo Mkuu,Unataka kufundishwa forex kwa nia ya kuingiza kipato au unataka uijue tu kama somo?
Afadhali umesema ukweli...angalizo.. ili ujue forex inatakiwa uwe smart kwelikweli..unatakiwa ujue mambo mengi sana!na uwe tayari kuunguza ac maana unapoanza kujifunza pikipiki ni lazima ikuangushe na exos ikuunguze..hapo utakuwa dereva mzr!Masomo nilishayaachaga Chuo Mkuu,
Issue ni Kipato
Safi sana. Kitu cha kwanza ninachokushauri ili uipate pesa kwa wingi ni KUIDHARAU kwanza. Isiwe hata ukikamata shilingi laki moja unaiona kuuuuubwa...!Masomo nilishayaachaga Chuo Mkuu,
Issue ni Kipato
Kwa mawazo yako unadhani watanzania wote wanaweza kufanya forex? Hata tukisema watu wote wanaojua kiingereza wahamie huko bado wapo watakaobaki kuzalishaForex ni kamari inayoua uchumi wa nchi na kudidimiza huduma na uzalishaji.
Wanauchumi mtanisaidia hapa.....
Hivi inakuwaje kama kila mtu ana mapesa , kunakuwa na uzalishaji mali na utoaji huduma???
Pesa ni makaratasi tu, ambayo technically hayana maana yoyote.
Watu lazima wazalishe mali na huduma badala ya kuota ndoto za kufikirika za kumiliki makaratasi!
Aisee,Safi sana. Kitu cha kwanza ninachokushauri ili uipate pesa kwa wingi ni KUIDHARAU kwanza. Isiwe hata ukikamata shilingi laki moja unaiona kuuuuubwa...!
Kwa hiyo unataka upigiwe simu ama?Unajua cha kusoma bana ni tofauti na cha kuambiwa au kuelekezwa na mtu aisee
Yap yote hayo. Usiogope kupoteza na usiweke malengo madogo. Uzuri hii formula inatumika si kwenye forex tu. Na jambo la pili ni kujifunza sana (to become an expert), ili uwe katika ile asilimia (ndogo zaidi) ya wanaofanikiwa kupitia forex. Hii kanuni pia si kwenye forex tu.Aisee,
Hi Formula ina uhusiano gani tena na Forex?
Kwamba nisiogope kuweka Dau kubwa niwe naona ni ndogo tu?
Au Nikila laki nisiridhike nifanye nile tena?
Wakuu wangu kwema??
Nimekua mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali inayoendelea kuhusu Forex. Sasa nimeamini kua hii kitu ni kweli ipo tukiacha matatizo ya hapa na pale.
Binafsi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu pale IFM, na somo la International Finance nimelisoma lakini hii kitu inaitwa FOREX naiona iko complicated kidogo. Pengine ndio ishara kua Mitala yetu imeundwa kumkaririsha zaidi mhitimu kuliko kuelewa uhalisia wake ulivyo (reality).
Tukiachana na hilo, mimi ningependa kuifahamu zaidi hii kitu. Kuna terminologies mbalimbali kama vile Pips, Lot size, Signals, etc nimezisikia sikia hapa JF sizielewi zinamaanisha nini. So ningependa kuelekezwa au kufahamishwa kuhusu hili.
Najua kuna vituo au watu binafsi wanafundisha haya mambo kwa malipo fulani, ila binafsi ningependa kuyajulia humu JF kwanza ili angalu nikipata Mwanga basi ndio nijiunge labda kwenye hizo Centre. Pili hapa JF wapo watu ambao wana uelewa Mkubwa wa hii biashara kuliko hata Walimu wa hizo Centre na tatu hapa tunaweza kupeana shule freely tu.
Tufafanuliane tu kuhusu hizo terms na zingine, zinatumika wakati gani, etc
Karibuni
hiyo ya kuweka maleng makubwa ndio inasababisha watu wachome account....unaweka lot size kubwa soko likibadilika account inabaki majivu tuYap yote hayo. Usiogope kupoteza na usiweke malengo madogo. Uzuri hii formula inatumika si kwenye forex tu. Na jambo la pili ni kujifunza sana (to become an expert), ili uwe katika ile asilimia (ndogo zaidi) ya wanaofanikiwa kupitia forex. Hii kanuni pia si kwenye forex tu.