Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Forex ni kamari inayoua uchumi wa nchi na kudidimiza huduma na uzalishaji.

Wanauchumi mtanisaidia hapa.....

Hivi inakuwaje kama kila mtu ana mapesa , kunakuwa na uzalishaji mali na utoaji huduma???

Pesa ni makaratasi tu, ambayo technically hayana maana yoyote.

Watu lazima wazalishe mali na huduma badala ya kuota ndoto za kufikirika za kumiliki makaratasi!
 
Pesa ndio kila kitu... pesa ina thamani kuliko dhahabu... pesa ina thamani kuliko unacho kizalisha... kama shambani... kiwandani.... mgodini.... thamani yake ita thamanishwa na pesa....

pesa pesa pesa................... is all abt money....
 
Wakuu wangu kwema??
Nimekua mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali inayoendelea kuhusu Forex. Sasa nimeamini kua hii kitu ni kweli ipo tukiacha matatizo ya hapa na pale.

Binafsi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu pale IFM, na somo la International Finance nimelisoma lakini hii kitu inaitwa FOREX naiona iko complicated kidogo. Pengine ndio ishara kua Mitala yetu imeundwa kumkaririsha zaidi mhitimu kuliko kuelewa uhalisia wake ulivyo (reality).

Tukiachana na hilo, mimi ningependa kuifahamu zaidi hii kitu. Kuna terminologies mbalimbali kama vile Pips, Lot size, Signals, etc nimezisikia sikia hapa JF sizielewi zinamaanisha nini. So ningependa kuelekezwa au kufahamishwa kuhusu hili.

Najua kuna vituo au watu binafsi wanafundisha haya mambo kwa malipo fulani, ila binafsi ningependa kuyajulia humu JF kwanza ili angalu nikipata Mwanga basi ndio nijiunge labda kwenye hizo Centre. Pili hapa JF wapo watu ambao wana uelewa Mkubwa wa hii biashara kuliko hata Walimu wa hizo Centre na tatu hapa tunaweza kupeana shule freely tu.

Tufafanuliane tu kuhusu hizo terms na zingine, zinatumika wakati gani, etc
Karibuni
 
Wakuu wangu kwema??
Nimekua mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali inayoendelea kuhusu Forex. Sasa nimeamini kua hii kitu ni kweli ipo tukiacha matatizo ya hapa na pale.

Binafsi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu pale IFM, na somo la International Finance nimelisoma lakini hii kitu inaitwa FOREX naiona iko complicated kidogo. Pengine ndio ishara kua Mitala yetu imeundwa kumkaririsha zaidi mhitimu kuliko kuelewa uhalisia wake ulivyo (reality).

Tukiachana na hilo, mimi ningependa kuifahamu zaidi hii kitu. Kuna terminologies mbalimbali kama vile Pips, Lot size, Signals, etc nimezisikia sikia hapa JF sizielewi zinamaanisha nini. So ningependa kuelekezwa au kufahamishwa kuhusu hili.

Najua kuna vituo au watu binafsi wanafundisha haya mambo kwa malipo fulani, ila binafsi ningependa kuyajulia humu JF kwanza ili angalu nikipata Mwanga basi ndio nijiunge labda kwenye hizo Centre. Pili hapa JF wapo watu ambao wana uelewa Mkubwa wa hii biashara kuliko hata Walimu wa hizo Centre na tatu hapa tunaweza kupeana shule freely tu.

Tufafanuliane tu kuhusu hizo terms na zingine, zinatumika wakati gani, etc
Karibuni
tafuta kitabu cha forex usome ni simple utaielewa,forex bibble au currencies for dummies
 
kwa ushauri wangu ni vizur ungetafuta watu wakakupa vitabu na ukafundishwa kidogo mengine utaenda unaelewa kadir utavokuwa kwenye game uku ukichoma account
 
kama upo dar kuna training inaendelea pale jangid plaza.itakua poa sana kwako.
Hiyo Training naifahamu Mkuu,
But niliomba mtu anielekeze kwanza humu na nikaweka na sababu why sija-prefer training centres
 
Kwanza jua kua Forex inasimama badala ya neno Foreign Exchange.
 
Sawa,
Hiyo nafahamu tayari, nitashukuru ukiendelea zaidi
Ok so inamaanisha ni kuexchange currency mbili kwa kuinunua moja wakati ina thamani ndogo na kuiuza wakati ina thamani kubwa.

Mfano kati ya Euro na USD, uinunue Euro wakati ina thamani ndogo na uiuze ikipanda thamani. Kwakua soko linabadilika ndani ya dakika hapo ndiyo unaambiwa ukeshe ujifungie usome.
 
Nenda Jangid Plaza , The HQ of TMT under Sirjef au Ontario utapata Kujua maana nzima ya Forex.


Panda gari za kwenda posta halafu shuka kituo cha mbuyuni ulizia Jangid plaza iko wapi
 
Ok so inamaanisha ni kuexchange currency mbili kwa kuinunua moja wakati ina thamani ndogo na kuiuza wakati ina thamani kubwa.

Mfano kati ya Euro na USD, uinunue Euro wakati ina thamani ndogo na uiuze ikipanda thamani. Kwakua soko linabadilika ndani ya dakika hapo ndiyo unaambiwa ukeshe ujifungie usome.
Hapo naelewa,
Kua Currency Moja inabaki kama Currency while ingine inageuka Bidhaa,
So unauza au kununua Currency fulani kwa kuithaminisha na ingine.
 
Nenda Jangid Plaza , The HQ of TMT under Sirjef au Ontario utapata Kujua maana nzima ya Forex.


Panda gari za kwenda posta halafu shuka kituo cha mbuyuni ulizia Jangid plaza iko wapi
Jangid napajua, opposite na St. Peters,
Ila tu nijifunze kwanza kupitia humu then nikiiva ndio nichague Centre ya kumalizia,
By the way sintoenda kwenye hizi Centres zinazojitangaza sana,
Maana Centre ikishakua kubwa nayo ina changamoto zake
 
Unajua cha kusoma bana ni tofauti na cha kuambiwa au kuelekezwa na mtu aisee
Wewe ni mhitimu wa chuo, jiwekee mazingira ya kujisomea mwenyewe na kupata maarifa, haya kuambiwa unaweza ishia kulishwa kasa.
Download app inaitwa GoForex, inapatikana play store (android) and app store(iOS)
IMG_20180119_175532.jpg

Hiyo.itakupa mwangaza kidogo baada ya hapo.utajua ni kitabu gani unataka kujisomea ili uongeze ujuzi, kama ni mvivu wa kusoma achana na Forex utaishia tu kulalamika kuwa umetapeliwa pale utakapo unguza account..
 
Wewe ni mhitimu wa chuo, jiwekee mazingira ya kujisomea mwenyewe na kupata maarifa, haya kuambiwa unaweza ishia kulishwa kasa.
Download app inaitwa GoForex, inapatikana play store (android) and app store(iOS)
Hiyo.itakupa mwangaza kidogo baada ya hapo.utajua ni kitabu gani unataka kujisomea ili uongeze ujuzi, kama ni mvivu wa kusoma achana na Forex utaishia tu kulalamika kuwa umetapeliwa pale utakapo unguza account..
Ahsante Mkuu wangu,
Imebarikiwa Mikono inayotoa kuliko ile inayopokea,
matendo 20:35
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom