Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
ANZA NA MTAJI WA BURE WA $30 [NO DEPOSIT BONUS] YA TEMPLER.

[TERMS AND CONDITIONS LINKED]

Huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine, kama mimi, tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....

Ikumbukwe kwamba, Templer pia atakupa uwezo wa kufund na kuwithdraw pesa zako kupitia Mpesa, kama utachagua kuendelea kumtumia, hata baada ya kupoteza hyo $30.

(Don't Worry, Hautodaiwa kama ukiiunguza)

ANGALIZO:
Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.


HATUA ZA KUFUATA:
1. Fungua akaunti mpya hapa:

Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus

2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.
Menu > MyTemplerFX> Verifications

3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok

4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:

NDB30JN42017

Then submit.

5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.

6. Kama huna MT4 for Android ,download hapa:

MetaTrader 4 – Applications for Android - Google Play

Start Trading!!
TRADE SAFELY!


Ukihitaji msaada wowote kuhusu kuipata hii bonus, nicheck inbox



Terms And Conditions hapa:

TemplerFX No Deposit Bonus Agreements
 
He did a lot of mistakes... Mojawapo ni kutokuwa na MALENGO na pesa anayoipata...

Angekuwa na malengo asingeacha $4000 kwa trading account.

Inatakiwa kuwa na max amount ambayo itakuwa kwa akaunt. Unaweza amua kuwa max amount ni $1000, and chochote kitakachozid hapo kinatolewa kila wiki.

Angefanya hvyo, angekuwa kasave dola 3000....

Trust me, that's the best way to save your money.
 
Inatakiwa kuwa na max amount ambayo itakuwa kwa akaunt. Unaweza amua kuwa max amount ni $1000, and chochote kitakachozid hapo kinatolewa kila wiki.
Ikiwezekana kila siku una transfer fedha ya ziada kwenda account nyingine isiyotumika katika trading zako.

Hivyo utakuwa na ccount mbili kwa huyo broke wako
1. Account ya kwanza: Unaitumia kufanya trading kwa kiasi ulichoamua kukiweka, Hii ndio unaiweka kwenye MT4 yako
2. Account ya pili: Hii ni maalumu kwa kukusanyia faida unayoipata toka Accouny ya kwanza - Kwa kila siku faida unahamishia kwenye hii account, Na ku_itoa kabisa fedha inapokua imefikia kiwango fulani unachokihitaji, waweza itoa weekly au monthly.

Kwa utaratibu huu kamwe haitotokea kupoteza kiasi kikubwa ha fedha kwa wakati mmoja, endapo soko litakuendea kombo.
 
That's even better... Umeimodify vizuri kbsa!
 
mkuu me naomba kujua namna ya ku install MT4 kwenye pc maana ina nishinda ase.
 
Msaada kaka ,Mimi nimekwama kufanya analysis kupata resistance and support
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…