Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
shukrani sana mkuu
 
na ina kuchukua muda gani pesa kuonekana katika a/c yako...
 
Mkuu nipo najipga msasa na demo account ya templer mbona oder ya trailing sioni nataka nayo nijifunze zingne nimeshazimasta! godimpare
MT4 katika android inakosa mengi hapo tumia stop loss ya kumove mwenyewe Ila kama upo demo na unataka kujifunza order tofauti download Forex.com IPO play store ila kama ni kwenye PC Mt4 trailing IPO check katka platform terminal utaikuta
 
Mkuu kuna Mdau aliniambia templer abapokea namba ya airtel mpaka Leo hawajanitumia Code za kuverify.... Namba unijibu hivi MTU anaetumia kadi ya bank inamchukua muda gani kudepost au kuwithdraw???


Na je unaweza kutumia namba ya simu na bank account kwa kuweka na kutoa fedha?
 
Hawa wawakilishi wa templer bongo ni MAJAMBAZI NA WEZI WAKUBWA! Juzi kati niliwithdraw 500$ cha kushangaza E-lipa wakatuma only 250$ iliyobaki wakawambia vodacom wawarudishie eti wamekosea kutuma!!!! Nikawatafuta hao wabongo wakaniambia WAO HAWAHUSIKI NIONGEE NA VODA! (Nahisi walishirikiana na e-lipa) kutaka kuniibia) Nikichofanya ni kuwasikiana na templer moja kwa moja ndio wakamtafuta local agent mwingine akanitumia the remaining 500$. Wabongo sio wa kuwaamini kabisa.
 
Nimekupata mkuu ila hawa wabongo ilipaswa kama vile wanavyowambia watu humu watumie templerfx basi kwa nguvu ileile wawe wanashauri nini cha kufanya mteja anapopatwa na tatizo! Kama wao hawahusiki kwanini templer HQ nilipowaambia immediatelly walinisikiliza na kunisaidia?
 
Mbongo ktk kitu kinaitwa customer Care ni sifuri kabisa!
 
Mkuu nahitaji kujiunga na temper, msaada tafadhali
 
Nimependa maelezo yako mkuu! Ubarikiwe
 
Mkuu nahitaji kujiunga na temper, msaada tafadhali
Hey aker2011! Kufungua akaunt Templer ni just simple sana,na haichukui muda mrefu kuwa na akaunt, unatakiwa uwe na ID mojawapo kati ya passport, ID ya kupiga kura , au ya uraia baada ya kuandaa ID utaingia kwa website yao hii Templer FX Trader
utashusha chin mpaka walipoandika register , ingia pale utajaza taarifa zako km email nk, , then itabd utume picha ya ID yako, ukikwama sehemu utakuja hapa hapa kufunguka , utakuwa umewasaidia na wengine
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…