Sema kuna parts mbili Templer zinazohusika na malipo ya M-Pesa .
1.e-lipa
2.unatumiwa directly na hao wabongo.
Sasa ukitumiwa na e-lipa kuna makato wanayaingiza bila utaratibu . ila wakikutumia hawa wabongo unapokea hela yako km ilivyo kwa thaman ya kila $1 unayotoa utapokea Tsh 2,230/=
Ndo maana ulivyowauliza wabongo wakasema hawahusiki, means malipo yako yalikuwa chini ya usimamiz Wa e-lipa ... Na naamini e-lipa wanahusika na malipo ya mkwanja mrefu kuanzia malipo ya $500 kwenda juu , hawa wabongo wanahusika na malipo ya kuanzia $1 hadi $300 hivi .
Ukitaka kukwepa usumbufu km huo, unapotoa kiwango kikubwa cha hela , mfano $500 , usitoe yote kwa pmj toa kidogo kidogo eg $150 ,$100 ,$100, $150, utakuwa umemaliza na hela yako unaipata faster bila usumbufu, kuliko ukitoa yote kwa pmj hela itabd ipitie e-lipa pia inachelewa ,
Ni ushauri wangu mkuu!