Kwa watu wa mikoani vipi?What is lot size?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watu wa mikoani vipi?What is lot size?
Nisaidie aina za vitabu naweza kusomaThere you are.
Hapa ndo Ontario atapukutisha watu. Kusoma na kujifunza kila siku.
Ndio maana nimemtahadharisha, asiuze signals. Atawafanya watu wasisumbuke kujifunza zaidi..
Mkuu, ahsante! Itabidi nami nitumie hiyo njiaUpo sahihi kabisa.
Nikupe siri moja, jikaze mwezi mzima (tuseme June) unasoma vitabu ili upate ABCs.
July ufanye mwezi wa kusoma strategies mbalimbali.
August, ufanye mwezi wa kuitumia demo yako kutest hizo strategies zako ulizoweka.
September, anza na 100USD kufanya live trading. Mpaka hapo utakuwa better off.
Kama hujiamini anza October na live trading.
Fanya kwa moyo mmoja..
Ndugu yangu hongera sana kwa kutupa hii siri. Ni wachache wenye moyo kama wako. Hii kitu nilikuwa naisikia tu lakini sijui. Usiniache katika darasa lako, kwa baadhi ya vilaza 300 nami usiniache, niwemo miongoni mwa vilaza.Nikupe siri 1, this comes me. Forex hupaswi kusoma vitabu vyote uvionavyo, forex si lazima ujue kila kitu, forex si kitu ambacho unabidi ukiogope, forex is a mind game, forex ili ufanikiwe huitaji kuwa genius, ukiweza kucontrol emotions zako you are almost half way. Unaweza ukasoma vitabu viwili ukawa cream kuliko mtu aliyesoma vitabu 50. Forex is a game, you only need a working strategy. Kuna vitabu zaidi ya 500, wewe focus on what works best for you... fahamu the basics, then ukipata mentor mzr anakuguide kufikia kwenye strategy ambayo kwake inawork. Hilo swali km haujagoogle basi umeelewa vzr sn.
we nawe acha ligi ndogo si ndio maana anaandaa training. Yote hayo ndo mtu unaenda kufundishwa, embu kunywa maji tulia kwanza.Naona kama umeamua kutuita wateja zako watarajiwa wapumbavu pasipo na sababu yeyote. Mimi nilitegemea jinsi ulivyo mwalimu na mwandishi mzuri ungetumia busara zaidi kutujibu, lakini you lost it kwa kuni refer mimi kama mpumbavu. Bora niwe mpumbavu sasa ili nieleweshwe kuliko kuwa mpumbavu to the end.
Anyway, hebu nieleze nitaweza register vipi kwenye www.forex.com nikiwa kama mtanzania? Hizo MasterCard zitakazotolewa zitakuwa za prepaid au hapana? Kama siyo za prepaid zitakuwa na limit ya kiasi gani? Baada ya kupata training nitaweza tumia platform zipi online na payment card ya namna gani? Je itanipasa kulipia chochote baada ya training?
Ulikuwepo akilini mwangu.nami nlitaka niulize hiloNdiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.
Mimi nakubali kwamba hii FX trading ni nzuri na it can be a lucrative way to make money. Lakini wabongo wengi nimegundua tuna pupa na hatuulizi the right questions badala yake tunafwata mkumbo (following the crowd)
Huyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.
Sisi tunataka atueleze kwa ufupi kwamba alitumia website hipi, account au bank card ya namna gani kuendesha hiyo FX Trading na atupatie statement inayo onyesha earning zake katika trading. Pia ikiwezekana, siyo lazima, atupatie ka background kake kadogo with evidence.
Kwann unasema ni scammer?wengine hatujuiMkuu najua Forex ni kitu real na kuna watu wanatengeneza kaBisa pesa. Ila tafadhali toa huo upuuzi wa huyo Bushiri maana jamaa ni scammer moja mkubwa sana, anaua credibility yote ya ulichoandika.