Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Upo sahihi kabisa.

Nikupe siri moja, jikaze mwezi mzima (tuseme June) unasoma vitabu ili upate ABCs.

July ufanye mwezi wa kusoma strategies mbalimbali.

August, ufanye mwezi wa kuitumia demo yako kutest hizo strategies zako ulizoweka.

September, anza na 100USD kufanya live trading. Mpaka hapo utakuwa better off.

Kama hujiamini anza October na live trading.

Fanya kwa moyo mmoja..
Kaka wewe ulishawahi kutrade?
 
Sitaki hii fursa inipite , mi bado kijana tena under 25 fresh graduate hii financial independent ni kitu ambacho kipo akilin mwangu mda sana, sijui najihakikishia vp nafasi ya mm kuwepo kwenye list ya wateule hao 300, sijui ni method gan BOSS@ONTARIO atatumia ili kutupata wafuasi lakin nitaiweka kwenye maombi yangu usiku
lakin kamani random basi mi najitoa mhanga my contact ni 0716 228 588
Watsup ingekuwa njia nzuri but ONTARIO now best i leave the rest to you.....
 
Mkuu ONTARIO katumia mtego mzuri sana ,
Katoka idadi kubwa ya waalikwa , najua wajanja washaanza kupaua vitabu na kuanza kuperuzi mapeeeema

  • Ingawa najua wataofanikiwa kufuzu watakuwa labda 30% kwa sababu wengi shule ni shida (hii kitu inahitaji mtu ambaye kichwani kuna content na sio null & void content). U must be an avid learner so as to enjoy the game.

  • Hata wasomi au wanaojiita wasomi bado kuna ishu ya language barrier (Lugha gongana) maana material ya kujifunza hii kitu yanakuhitaji uwe mwerewa wa yai la malkia na mambo ya uchumu wa fedha Kiasi Flani. Ila wale wenzangu na mim tunapenda slope sijui kama tuta enjoy na kuelewa somo hili kwa ufasaha. Maana naohofia wale wataokwama njiani wasije sema jamaa mleta Uzi kawapiga kisha kasepa zake.
  • Nimeona nitoe angalizo tu maana hapa itakuwa ni mwendo wa survival for the fittest tu ndo itatoa majibu, the stronger ones will survive and the weak one will quite the game.
  • Subirini mtaona wataovyobaki wachache, maana mi naamini siku zote mambo mamzuri na makubwa hayahitaji papara ila utulivu na uelewa wa hali ya juu katika kile unchodhamiria kufanya. Wazo la FOREX ni zuri sana , nami naliunga mkono.
 
Ndo nasoma kitabu cha currency trading for dummies,napata shida kuelewa hizi regional sessions,naomba msaada hapa,hasa asian/pacific.
 
Huu Uzi ni mzuri sana katika kuwafundisha watu juu ya biashara ya FOREX

Binafsi Nina uzoefu wa hii biashara, kwa hiyo napenda kushare machache humu ili watu watambue faida na risk zake..

Kwanza kifupi ni kwamba hii biashara sio rahisi kama wengi wanavyodhani, ina hitaji umakini wa hali ya juu maana unakuwa umekubaliana na mambo mawili. Profit au loss.

Hatua ya kwanza kabisa inabidi uchague broker (hapa pia panahitaji umakini).. Baada ya kuchagua broker inabidi umstudy kwa kina maana kumbuka kwamba wewe unahitaji profit na broker nae anahitaji profit kupitia ku-loose kwako au kuwin (hapa ni brokers wachache)

Kifupi ni kwamba unahitaji kupata uzoefu kidogo kwa kuangalia trend ya biashara kwenye FOREX lakini pia kupitia mtu ambaye ana uzoefu wa kutosha kwenye hii biashara FOREX (hapa itabidi upate mkweli)

Jambo lingine LA msingi ni kufahamu risk ambazo utakumbana nazo katika hii biashara, tambua kwamba kila mtu anahitaji faida kupitia hii biashara, kwa hiyo kupata kwako loss ndio faida kwa mwingine (kwa lugha nyingine naweza kusema ni struggle for the fittest)

Nirudi kwa mtoa mada, kwanza nimpongeze kwa kujaribu kuelezea kwa ufupi uhalisia wa biashara hii lakini kuna Vitu ametazamia kwa lengo la yeye kujiongezea kipato (japokua kihalali) kutoka wa watu watakao kuwa tayari kuianza biashara hii..

Nafafanua kidogo:-
1. Mtoa mada amesema ana mpango wa kufungua office na kutoa train kwa watu 300 bure kwa kushirikiana na brokers alioingia nao ubia (ni wazo zuri)
Naamini train hiyo itakuwa inamzungumia broker (aliyeingia nae ubia) jinsi anavyofanya kazi, offer zake na faida kwa mtu atakayejiunga kupitia huyo broker...
Kwahiyo baada ya train hao watu 300 watajiunga na kuwaambia wengine kujiunga kupitia broker aliyewapa train (na hapa ndipo anapopata faida kupitia watu wanaomtumia broker aliyeingia nae ubia.. Kwahiyo hapo wewe pamoja na broker your fighting for profit... kwahiyo mmoja aki-lose ndio faida ya Mwingine).. Ndio maana nasema hapa inahitaji umakini mkubwa sana.

2. Kama lengo LA mtoa mada ni kugain profit kupitia ubia wake na broker na watu watakaojiunga. Basi naamini katika training atajikita zaidi kuelezea benefits zaid kuliko risks maana target yake ni kuku-win wewe, kwa mantiki hiyo hawezi kujikita zaidi katika risk maana anajua utaogopa atakukosa.

Ndio maana Jambo la msingi unapaswa kujiuliza ni kwanini mtoa mada amekubali kuingia gharama zote hizo kuleta mentors?? (Usifikiri in positive ways pekee yake, check on both side +ve & -ve)

Pili kwanini sahivi anataka kufungua office?? Kwanini asingetengeneza Whatsapp group akatoa elimu bila kusubiri apate office ili atoe fursa kwa watu wa mikoani??

Maana me naamini kumpatia mtu juu ya hii elimu haihitaji uwe na ofisi wala uwe nae ana kwa ana (me niliipata hii elimu kupitia internet pamoja na kusoma vitabu, lakini sahivi nafanya vizuri)

Mwisho nawashauri ni vizuri mkawa makini sana na kujiridhisha kwa kina kabla ya kufanya maamuzi.

NB: hayo ni mawazo yangu kulingana na uelewa wangu na uzoefu wangu juu ya biashara ya FOREX, sijatoa kwa lengo LA kum-criticise mtu bali kwa lengo la kuelimisha zaid.
Mkuu umeelezea maswala ya maana sana na kuchambua vizuri malengo ya training. Watu wanatakiwa wasome vizuri hulicho andika kabla ya kukurupuka.
 
Mkuu ONTARIO katumia mtego mzuri sana ,
Katoka idadi kubwa ya waalikwa , najua wajanja washaanza kupaua vitabu na kuanza kuperuzi mapeeeema

  • Ingawa najua wataofanikiwa kufuzu watakuwa labda 30% kwa sababu wengi shule ni shida (hii kitu inahitaji mtu ambaye kichwani kuna content na sio null & void content). U must be an avid learner so as to enjoy the game.

  • Hata wasomi au wanaojiita wasomi bado kuna ishu ya language barrier (Lugha gongana) maana material ya kujifunza hii kitu yanakuhitaji uwe mwerewa wa yai la malkia na mambo ya uchumu wa fedha Kiasi Flani. HKL, PCB,PCM,Wahunzi , wachonga vinyago, wavuvi, walima mihogo sijui kama wataka enjoy na kuelewa somo hili kwa ufasaha.
  • Nimeona nitoe angalizo tu maana hapa itakuwa ni mwendo wa survival for the fittest tu ndo itatoa majibu, the stronger ones will survive and the weak one will quite the game.
  • Subirini mtaona wataovyobaki wachache, maana mi naamini siku zote mambo mamzuri na makubwa hayahitaji papara ila utulivu na uelewa wa hali ya juu katika kile unchodhamiria kufanya. Wazo la FOREX ni zuri sana , nami naliunga mkono.
Waambie inahitaji utulivu Na kujifunza kwa juhudi tu!
Ila hapo uliposema wale wa PCB,PCM,HKL hudhani kama wataambulia chochote nafikiri sio sawa coz hata Ontario mwenyewe alisoma science (pcm) ila alitulia akasoma leo yupo hapo!
 
Huu uzi unakimbia kuliko kawaida lakini siachi hata comment ya single line niwashukuru mkuu MVB.jr, Bavaria na ONTARIO
 
Waambie inahitaji utulivu Na kujifunza kwa juhudi tu!
Ila hapo uliposema wale wa PCB,PCM,HKL hudhani kama wataambulia chochote nafikiri sio sawa coz hata Ontario mwenyewe alisoma science (pcm) ila alitulia akasoma leo yupo hapo!
Sawa mkuu , umesomeka.
Ova
...ova
 
ONTARIO.

Big up sana kamanda kwa kuanzisha na kutoa mwanga wa hii kitu. Bila shaka mpaka sasa hivi kwa walio serious watakuwa wameshafanya tatifiti na kujiridisha kabisa kuhusu uhalisia wa biashara hii inayoweza kufanyika popote pale ilimradi tu pawepo na internet connection.
Yeah mkuu tutajiunga wengi tu tupige hela
 
Kuna page vimewekwa. Hadi nipekue tena...
upload_2017-5-28_11-0-53.png

Mkuu, ahsante! Itabidi nami nitumie hiyo njia
 
Mkuu wewe inaonyesha ulisoma tu kichwa cha habari ukakimbilia kukomenti [emoji23]

Mbona mada imeeleza stages zitakavyokuwa?

Sasa hivi jichange kwenye kibubu chako walau uwe na $2000 ya kuanzia.

Pia usijali sana hivyo vijisenti vikipukutika.

Endelea kubukua. You have a very long way to go kama umeshindwa hata kusoma kilichoandikwa.
Hadi povu linakutoka chali ang duh pole sana
 
Hadi povu linakutoka chali ang duh pole sana
Did you eat stupidity for breakfast?

Hapo nilikupa challenge uwe unasoma na kupitia comments za wachangiaji wengine.

Ipo wapi common sense kuuliza kitu kilichoulizwa na kujibiwa tena na tena?

Hapa JF kuna kauli mbiu "where we dare to talk openly"

Niliyoyaandika kwenye komenti iliyopita ni moja ya ukweli huo

Take a chill pill bredren!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom