[emoji23] SawaYa kuchoma akaunti? Yamenikuta sana tu, ila cpend kublame Market maker, najiblame mwenyewe
Wanaokutag nao wamekosa kaziKuni tag Mimi mtachoka tu sina mzuka na wizi juu
Teh
tatizo mnadhani matusi ndo majibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uhoji maswali kama nani? Sasa kama ukweli wako unaujua na unajua utabaki kua hivyo hivyo unaleta kalio la nn hapa? huko sio kuchanganyikiwa??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaa you don't even know...mimi nitakula hela ya nani ndio kwanza nimeingia ulimwengu wa forex mwaka huu...kwa taarifa yako tayari nimeshaunguza account ila ndo sikomi
Nakumbuka mange alisema tuache vyote tukabet, mana kote ni scam... Kuanza biko, tatu mzuka na moja spesho, mpaka forex, i think ana mpango na meridian bet... [emoji87][emoji23] [emoji23] [emoji23]
hata TATU MZUKA watu wanaambiwa ni bahati na wanaamini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu mbona hawa templer sijaona sehemu yoyote kuwa wako audited ??? Na ninaweza kupewa sababu why hawa watu hawafanyi kazi usa,england,canada ana Israel???
Hii imeniogopesha sana
Shenzi typee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
bora hata wewe kidogo unaetafuta authenticity
ila sidhani kama utapewa majibu rasmi.
na ukipewa yatakuwa yanafanana na yale ya V-WONDER[emoji23]
Punguza wivu, acha kuumia kwa jambo lisilo kuhusu, pambana na hali yako, hakuna mtu ambae amekuja wala atakae kuja kukuuliza katika lile linalokuendeshea maisha yako, vivyo hvyo huna sababu ya ku question sehemu mtu anapo jiingizia kipato chaketatizo mnadhani matusi ndo majibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ila naelewa ndo iwezo wako wa kufikiria ulipoishia.
broker wengi hawafanyi kazi kwa baadh ya nchi, mfano IC Markets IC Markets: True ECN Forex Broker | Australian Foreign Exchange Broker , hakubali traders toka Tanzania, (unaweza kujaribu kuregister ukaona) ila wasouth wanamtumia, wakati huo huo, Pepperstone Forex Trading with Pepperstone - Australia's Fastest Growing Forex Broker anakubali, japo wote ni wa Australia. Nasikia IC ukiwa Zanzibar unaweza register, ila ukiwa Tanzania bara huwezi (sina uhakika sana) so co ishu kubwa kwa templer. Markets, Welcome to Markets.com , broker mwingine, hawakubali wa USA, na mwingine i think Tickmill.Wakuu mbona hawa templer sijaona sehemu yoyote kuwa wako audited ??? Na ninaweza kupewa sababu why hawa watu hawafanyi kazi usa,england,canada ana Israel???
Hii imeniogopesha sana
Poa poa Boss!!No nilikuwa nafanya backtesting tu naona strategy ipo poa,ila soon na mimi nitaanza.
Mkuu samahani nikumbushe swaliMkuu hujajibu swali , hebu rudia kusoma swali lake mbona unatanguliza promo mbele kat swal hujajibu?
Majibu ya mwaswali/hoja gani?Toeni majibu
XM ni Market Maker hiyo inafahamika wazi.......ECN Broker hupeleka trades za mteja sokoni moja kwa moja ila Market Maker hutrade tofauti na ulivyoweka wewe na huwa anatamani upoteze maana kupoteza kwako ndo kupata kwake ila ECN hapendi kukupoteza anataka uendelee kutrade ili achukue tu kamisheni na spreads
Tafuta humu kuna maelezo ya tofaut kati ya ECN na Market Maker
Mkuu mi naona kinachofanya tufeli forex pia ni mitaji midogo,pindi unapokuwa na mtaji mdogo unataka kuingiza pesa kubwa,ukiwa na 30 usd na leverage ya 100 na ukachukua lot size ya 0.02 ina maana ukipata profits ya pips 100 utakuwa na
20 usd profit sawa na 40000 tshs.
Hapo mtu amekula faida kubwa saana it means ningekuwa na 11000 na nikachukua leverage ya 100 na lot size ya 10 hizo hizo pips 100 zingenipa million 22 (10000 usd)
Mtu mwenye mtaji mdogo atataka ku trade mara kwa mara hapo ndipo unapigwa.
Ila ukiwa na akaunti nzuri una trade hata twice or once a week.
Miongoni mwa ma broker rafiki kwa mazingira ya kibongo bongo hasa kwa bigginners na wenye mitaji midogo!
Tigo pesa... hapo safi, sikua najua kama tigo pesa anakubaliMiongoni mwa ma broker rafiki kwa mazingira ya kibongo bongo hasa kwa bigginners na wenye mitaji midogo!
Nasema hivyo kwa sababu, unaweza ku deposit kwa Mpesa, tigo pesa au airtel money
Ana account real za kujifunzia na kupata uzoefu (cent account) ambayo unauwezo wa ku deposit dola moja ikawa converted kuwa dola mia (mind you, hela yako hapo ni only 1$, hiyo nyingine ni kukufanya upate uwezo wa ku excute more trade na let say umetengeza profit hadi ikasoma $500 kwa cent account, hapo hela yako halisi unayoweza kutoa ni only $5).... Thus why nasema hii ni account sahihi ya kujifunzia!
Kwa wale wazoefu, kwa kumtumia huyu broker wata enjoy instant withdrawal through Mpesa, tigo pesa au airtel money kukidhi mahitaji ya kila siku.... Una uwezo wa kutoa hela muda wowote unapopata profit!
"Don't trade money you can't afford to lose "