MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
hahahaahahahahahahahah safi sana mimi kbla huu uzi haujaja hapa nilikkuwa nimeshaa anza forex BROKER likuwa ni IQ OPTION na nilikuwa najua bnary pekeyake. kwakuwa nilikuwa blind kidogo ikanibidi nianze kusoma ndo nika jua kuwa kuna mfumo wa MT4 na nikavutiwa nao sana kuliko chochote kile. nilikuwa siko tayari kutoa dollar mia kwa ajili ya kuanza forex ila siku nimeamua ndo ontario nayeye anatokea na uzi wake nikafatilia kujua jipya na kuongeza maarifa ila nilikuja kushtuka kitu kizuri ni kusoma zaidi tofauti na kusikiliza. nika hakikisha namaliza kitabu cha GOODFATHER na vingine vingi tu.Get your facts right, ulikuja na "akili zako timamu hapa"
Ni lini na wapi nimesema Forex ni rahisi??? unaweza kunukuu huo mstari ukauweka hapa???
Wewe unaongelea miez sita??? Nimeanza soma siku huu uzi umewekwa hapa, na mpaka leo ninasoma, ni miezi mingapi imepita hapo???? siungi mkono binadamu yeyote yule anaetoza pesa kwaajil ya kufunza forex ama kupatia mtu hivyo unavyoviita tools, unataka pesa kazibebe kwenye soko, sio unakuja kuvizia vilak mbili mbili vya kina mwamtumu wakati huo soko lishakupiga KO,
Pesa za forex ziko sokon na si vinginevyo
mpaka saizi naonge na wewe nilisha choma account sana na kama uzembe ukiendeea wa kuwa too emotional nikicho sito jali naweka tena koz nimetokea kuipenda FOREX, na indicator natumia mda mwingi sana kuzitafuta na kuzichambua na nimeonyesha sio kuuza na sidhani kama nitauza ila ninacho mwambia mtu ni simple kuwa tuma vocha tu nikutumia ila mtu anashindwa, sio unakuja kuvizia vilak mbili mbili kama kuna mtu nimemuuzia imezidi elfu kumi aseme au alie tuma tigo pesa zaidi ya vocha tu basi kwaajili ya kuweka mahusiano na maswali atakayo kuja kuniuliza kuhusu indicator ili niwe namjibu kiroho safi kwa vocha yake sijui menielewa KIJANA wangu. maana unaenda zig zag kama NFP.