Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
unatafuta vijana wa kutosha iili upate pesa kupitia trade zao, sasa mimi huo mda huwa sina mimi mda wangu ni kutafuta kitu kizuri kwa watu na ili mda wangu usipote lazima niku minye kidogo

Ctafuti vijana, natoa useful links kwa wanaotaka kuzitumia, kama mtu hataki kuitumia anaenda google anasearch anachokitaka, au anaweza amua kutumia link hzo kwa groups za telegram, au, anaweza kwenda telegram na kusearch group moja moja... Ni maamuzi yake, hakuna mtu ambaye amewah kutoa hata kumi kwa links za vitabu au materials au indicators ambazo nimeshare hapa
 
Ctafuti vijana, natoa useful links kwa wanaotaka kuzitumia, kama mtu hataki kuitumia anaenda google anasearch anachokitaka, au anaweza amua kutumia link hzo kwa groups za telegram, au, anaweza kwenda telegram na kusearch group moja moja... Ni maamuzi yake, hakuna mtu ambaye amewah kutoa hata kumi kwa links za vitabu au materials au indicators ambazo nimeshare hapa
na maana kuwa wewe una unganisha watu kupitia link yako ya account ya forex yaani IBM
 
hahahahahahaha wapenda vya bure mamake. nitaacha tu pale utakapo acha kupenda vya bure
Smart forex trader hana muda wa kuandika hayo maneno uliyoandika sasa hivi angekuwa bize kufanya technical and fundamental analysis....


Wewe ni kibaka kama vibaka wengine wa Manzese
 
Smart forex trader hana muda wa kuandika hayo maneno uliyoandika sasa hivi angekuwa bize kufanya technical and fundamental analysis....


Wewe ni kibaka kama vibaka wengine wa Manzese
huo mda sina indicator zangu zina fanya kazi zote mimi ni kubonyeza tu.
 
na maana kuwa wewe una unganisha watu kupitia link yako ya account ya forex yaani IBM
Ninajua ulichoandika, lakini bado nakataa vile umeandika. Hakuna ninayemuunganisha mkuu. Mi natoa links, kwa groups, chanel, indicators, videos au brokers, yes. Lakini simuunganishi mtu.
 
huo mda sina indicator zangu zina fanya kazi zote mimi ni kubonyeza tu.
Ndio maana tunasema wewe ni Kibaka huna tofauti na Vibaka WenzAko wa Yombo,


Wenzako wanatumia hii fursa kuwa na financial freedom ila wewe naona utakufa na umasikini wako kwa kuparua tu-laki mbili twa watu
 
Ninajua ulichoandika, lakini bado nakataa vile umeandika. Hakuna ninayemuunganisha mkuu. Mi natoa links, kwa groups, chanel, indicators, videos au brokers, yes. Lakini simuunganishi mtu.
ngoja nitakuja na proof yako
 
Ndio maana tunasema wewe ni Kibaka huna tofauti na Vibaka WenzAko wa Yombo,


Wenzako wanatumia hii fursa kuwa na financial freedom ila wewe naona utakufa na umasikini wako kwa kuparua tu-laki mbili twa watu
HIVI UMEKUJA INBOX NIKAKUAMBIAJE. au nimekuambiaje
 
HIVI UMEKUJA INBOX NIKAKUAMBIAJE. au nimekuambiaje
Wewe ni Tapeli ACHA MARA MOJA HIYO TABIA, HAKUA INDICATOR YOYOTE DUNIANI YA KUKUPA PIPS ZA BURE BILA KUFANYA KAZI...


No Free Lunch,hakuna na haitakuja kuwepo.



Wakuu naomba huyu kibaka apuuzwe. Wewe ni mwezi,tapeli na chakubanga mkubwa na sipendi nione unaibia wasiokuwa na uwezo mdogo wa uelewa kuhusu forex.
 
Wewe ni Tapeli ACHA MARA MOJA HIYO TABIA, HAKUA INDICATOR YOYOTE DUNIANI YA KUKUPA PIPS ZA BURE BILA KUFANYA KAZI...


No Free Lunch,hakuna na haitakuja kuwepo.



Wakuu naomba huyu kibaka apuuzwe. Wewe ni mwezi,tapeli na chakubanga mkubwa na sipendi nione unaibia wasiokuwa na uwezo mdogo wa uelewa kuhusu forex.
hahahahaahahahahah haya bwana ila nimegundua naongea na chaza so THANX any way nilio wapa na kuwaelekeza wako fresh tu saizi na wana piga zao.
 
Proof ya nini mkuu? Mana kama ni link si uongo,and everybody knows, I give them out, a lot!

But if i give you this link Templer FX | Sign up for $30 no deposit bonus ukasign up, and nkakupa maelekezo mpaka ukapata hyo $30, is there a problem kwako wewe, kama Linko?
hapana hamna tatizo. kwani na mimi nikiamua kutoa bure ila mtu akachangia effort yangu kwa vocha kuna tatizo kwani. i mean nikamletea kitu useful na maelezo ya kutosha.
 
upo mkoa gani kama mbeya town njoo nikueleweshe bure kabisa for one week




Mkuu habari, nipo mbeya na kama hutojali naomba tuonane, naomba namba zako PM. Thank you in advance
 
Mkuu Mbappe, nipo Mbeya na nina shida sana a kuelekezwa kuhusu haya mambo, kama hutojali naomba namba yako ya simu PM. Thank you in advance
upo mkoa gani kama mbeya town njoo nikueleweshe bure kabisa for one week
 
hapana hamna tatizo. kwani na mimi nikiamua kutoa bure ila mtu akachangia effort yangu kwa vocha kuna tatizo kwani. i mean nikamletea kitu useful na maelezo ya kutosha.
Hakuna tatizo, mana najua ulitumia vocha/bando kuisaka na kuiweka iwe perfect...
 
Click hii link hapo chini kwa ajili ya kuexchange views and ideas juu ya Cryptocurrency issue kwenye group letu la WhatsApp..Bitcoin and all altcoins will be highly discussed.

Njooni tujadili kinaubaga juu ya taaluma hii adhimu ya Cryptocurrency. Bonyeza lonk hii hapa kufiia kilingeni. Forex /blockchain EA:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom