Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
There you are.

Hapa ndo Ontario atapukutisha watu. Kusoma na kujifunza kila siku.

Ndio maana nimemtahadharisha, asiuze signals. Atawafanya watu wasisumbuke kujifunza zaidi..
Nisaidie aina za vitabu naweza kusoma
 
Mkuu, ahsante! Itabidi nami nitumie hiyo njia
 
Ndugu yangu hongera sana kwa kutupa hii siri. Ni wachache wenye moyo kama wako. Hii kitu nilikuwa naisikia tu lakini sijui. Usiniache katika darasa lako, kwa baadhi ya vilaza 300 nami usiniache, niwemo miongoni mwa vilaza.
 
Nimefunguka kiasi kutokana na presentation hii, big up sana mkuu Ontario,Uzi ni wa dhahabu. Niko tayari kwa ajili ya darasa, nami nakifanya uchunguzi binafsi. Tafadhali naomba niwepo kwenye orodha ya watu 300 wa mwanzo.
Namba zangu ni 0628292638
 
Mkuu the viking salamu, Sijajua hasa ni platform gani unayotumia kutaka kusaini for demo account..... Binafsi Nimesaini kwenye platform inayoitwa easymarket na nimeweza kuacces zote live plus demo account(sema inakikoma cha muda) bila ya masharti ambayo umeyainisha.. Bila kuhitimisha ya kuwa unachosema sio sahihi ila it depends na platform husika..... Lastly Try easymarket plus others bila ya kujifunga in one platform only. Also kama kuna wakuu wanafahamu more sites ambazo zinalast kwa muda mrefu tunaomba watusaidie.... Nawasilisha Bila Kusahau Nakaribsha Critics Nijifunze Sio Mipasho...
 
Am ready to join this, although ain't know anything kuhusu hii mambo but am a good risk takers, so please join me to ua group
 
we nawe acha ligi ndogo si ndio maana anaandaa training. Yote hayo ndo mtu unaenda kufundishwa, embu kunywa maji tulia kwanza.
 
Mkuu najua Forex ni kitu real na kuna watu wanatengeneza kaBisa pesa. Ila tafadhali toa huo upuuzi wa huyo Bushiri maana jamaa ni scammer moja mkubwa sana, anaua credibility yote ya ulichoandika.
 
Shukran sana mkuu kwa thread yako nzur naomba unitag ukiapdate kwan nataka niwe among of 300 pls
 
Ulikuwepo akilini mwangu.nami nlitaka niulize hilo
 
Mkuu najua Forex ni kitu real na kuna watu wanatengeneza kaBisa pesa. Ila tafadhali toa huo upuuzi wa huyo Bushiri maana jamaa ni scammer moja mkubwa sana, anaua credibility yote ya ulichoandika.
Kwann unasema ni scammer?wengine hatujui
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…