Nimejitahidi sana ku upload lakini imeshindikana, jaribu kuingia hapa, Forex Simulator - What's new | Soft4FX na utaclick download (maandishi mekundu), katika paragraph ya kwanza, then utaipata iyo simulator.Mkuu namna ya ku pakua Hii Forex simulator-installation ..apo ni kama wametoa maellzo namna ya kuinstall
Hzo zote ni naked trader strategy, na MCV inaitwa Market Control.Mkuu ningeomba uniweke wazi kuhusu strategy ..maana bado nachangaya.. kama vip ungenisaidia na ambazo unazijua wewe ..mf ukisema kangaroo tail, big shadow.. Nazo Ni strategy? pia umeongelea MCV nin kirefu chakechake?/maana yake?
Shukrani mkuu
Kwa summary, check these links:Amlight,kumbe Nlishapitwa,huu Uzi Mrefu Sana Sitoumaliza Kuupitia,kama Utanipa Summary,na Je Otario Kafanikiwa Kufungua Ofisi?He He Nimentor Basi,bado Nanyonyesha
And another one : Candle ConfirmationsAmlight,kumbe Nlishapitwa,huu Uzi Mrefu Sana Sitoumaliza Kuupitia,kama Utanipa Summary,na Je Otario Kafanikiwa Kufungua Ofisi?He He Nimentor Basi,bado Nanyonyesha
Ofisi alishafungua jengo la Jangid Plaza floor ya pili!Amlight,kumbe Nlishapitwa,huu Uzi Mrefu Sana Sitoumaliza Kuupitia,kama Utanipa Summary,na Je Otario Kafanikiwa Kufungua Ofisi?He He Nimentor Basi,bado Nanyonyesha
Kwa mawasiliano zaidi, wacheck kwa web yao: The Million TeamAmlight,kumbe Nlishapitwa,huu Uzi Mrefu Sana Sitoumaliza Kuupitia,kama Utanipa Summary,na Je Otario Kafanikiwa Kufungua Ofisi?He He Nimentor Basi,bado Nanyonyesha
nisha funga hesabu na sema sikutakiwa kutoka mapema inge sma vizuri tuhongera mkuu mimi wangu kaweka pip zile zile hana huruma
nisha funga hesabu na sema sikutakiwa kutoka mapema inge sma vizuri tu
View attachment 727848
kumzid ontario ufanye kazi ya ziada kichwa yake kama laptop ufanyaji kaziNimemaliza Kusoma,ntasoma Tena Na Vitabu,dummies Nshadownload,nimesoma Finance Na Bado Npo Kwenye Process Ya Kusoma Finance Zaidi,ila Kabla Sijasoma Zaidi Forex Ntakuwa Nshaingia,itachukua Mda Ila Ntakuwa Fit Kukuzidi Ontario,
Ahsante Ontario
good vision and determination keep it grownNimemaliza Kusoma,ntasoma Tena Na Vitabu,dummies Nshadownload,nimesoma Finance Na Bado Npo Kwenye Process Ya Kusoma Finance Zaidi,ila Kabla Sijasoma Zaidi Forex Ntakuwa Nshaingia,itachukua Mda Ila Ntakuwa Fit Kukuzidi Ontario,
Ahsante Ontario
mkuu video hapa hazionekani, kama picha ila ukitaka njo kwenye channel yangu ya you tubenisha funga hesabu na sema sikutakiwa kutoka mapema inge sma vizuri tu
kama uliweza kuleta hii ukidai umefunga mahesabu, hata hii haitoaminika.
haujui unachokihitaji nyumbani wanakuona upo busy kumbe for nothing
mkuu video hapa hazionekani, kama picha ila ukitaka njo kwenye channel yangu ya you tube
mkuu niko na group za south na fb watu wana toa ushuhuda na ni wale beginner niko na video nyingi tu. na saizi sihitaji chochote ngoja ni post nyingine ya india kisha niandike ya hapa bongo then u comment.kama uliweza kuleta hii ukidai umefunga mahesabu ukaumbuliwa mtandao sio wa bongo, hata hii haitoaminika.
haujui unachokihitaji nyumbani wanakuona upo busy kumbe for nothing
Usiruke maswali mjibu kama unajua.....Tickmill amesajiliwa UK na regulation yake ni UK na amesajiliwa pia Shelisheli na regulation yake ni Shelisheli pia sasa Templer kwa nini hamsemi ukweli kuwa ni Market Maker na hana regulatory? Yaani mnapiga chapuo tu hata kama hamna kitu by the way hats mi namtumia Templer ila ni kwa hela ndogo ndogo hela kubwa siwezi kumtumiaTickmill wa wapi? Na anaregulatory mbili tofauti... Ya UK, na ya Seychelles... Na TZ inapatikana TU kwa regulatory ya Seychelles... Umewahi jiuliza kwanini? Au na Tickmill ya Seychelles utasema co Tickmill original ni Copy?View attachment 728914
i bet hata shule ulikuwa unafeli sana, nice being consistentmkuu niko na group za south na fb watu wana toa ushuhuda na ni wale beginner niko na video nyingi tu. na saizi sihitaji chochote ngoja ni post nyingine ya india kisha niandike ya hapa bongo then u comment.
marufuku kuniquote na upumbavu wako acha ujuaji forex haitaji janja janja ya nyani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]marufuku kuniquote na upumbavu wako acha ujuaji forex haitaji janja janja ya nyani
View attachment 730431
marufuku na we kuniquote na upumbavu wako. am outmarufuku kuniquote na upumbavu wako acha ujuaji forex haitaji janja janja ya nyani
View attachment 730431
sawa then[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tapeli Hilo