Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
[emoji23] [emoji23] Mkuu, mbona unanitia shaka na uelewa wako wa forexMkuu wote hapa tunaongea swala moja, tunatofautiana mtazamo...Nafahamu kabisa hilo swala la skills, lakini ukweli pia nikuwa experiece ina umuhimu sana kwenye FOREX. mimi sibishi kuwa huwezi kufanya forex kwa hiyo $10, kujijua kwamba uko vizuri au hauko vizuri unaweza kujipima kwa number of pips you can make...Sasa hiyo dola kumi hata sijalia lot yake inaitwaje...ni below Nano lot...sasa naomba uniambie ita-multiply vipi ili kuifikisha buku ndani ya miaka mitano..."Otherwise "'ubahatike"" kwenye laverage"....
Kwa kukamilisha sipingani na wewe...
Dollar 10 in less than two weeks iko kwenye dollar 100 au zaid
So kutoka 100 had buku unatumia miaka??? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Happy Easter
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app