Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Nyie nao mnatuboa na link zenu za referral acheni njaa, mtu unaona notification kwenye uzi huu unadhani ni jambo la msingi kumbe ni matangazo yenu ya njaa za referralKwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada
TemplerFX | Promo
Put off Notifications mkuu, easyNyie nao mnatuboa na link zenu za referral acheni njaa, mtu unaona notification kwenye uzi huu unadhani ni jambo la msingi kumbe ni matangazo yenu ya njaa za referral
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Punguzeni njaa, fanyeni kazi soko la forex lina hela ya kutosha acheni kuzungushwa na hivyo vi hela vya referralPut off Notifications mkuu, easy
Account yangu unaifahamu mkuu?Punguzeni njaa, fanyeni kazi soko la forex lina hela ya kutosha acheni kuzungushwa na hivyo vi hela vya referral
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...
Niliamini nitapa kitu kipya maana nilitrade awali then baadae nikaacha baada ya kutokuwa na enough skills zilizosababisha loss kibao then niliposikia kuna expert toka SA wako bongo nikahisi nitaenda kujifunza kitu kipya the deep way of analysing market but haikua hivyo.
Kingine I was blinded na maneno ya kutia moyo ya jamaa nikaingia mzima nikala za uso. Done.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukifanya forex muda mrefu kuna dalili ya kuwa kichaa
Kulikoni tena hahahah?ukifanya forex muda mrefu kuna dalili ya kuwa kichaa
Kasome kitabu cha 17 strategies of trading Forex ...... Cha MarioHabari wakuu..naomba msaada wa maelezo ya kujitosheleza na ikiwezekana mfano kwa anaejua maneno haya juu ya forex:LOT,LEVERAGE, MARGIN
Mkuu najua vitabu vipo,kwa anaejua naomba anielezee niliyouliza apa kama haufahamu unanyamaza tuKasome kitabu cha 17 strategies of trading Forex ...... Cha Mario
Mkuu najua vitabu vipo,kwa anaejua naomba anielezee niliyouliza apa kama haufahamu unanyamaza tuKasome kitabu cha 17 strategies of trading Forex ...... Cha Mario