boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Kidogo niingie king MUNGU mkubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoosha kiswahili mamilioni kwa siku? nadhani umeongeza chumvi, halafu huyo alikuwa muongo tu, FOREX is not for everyone hebu soma vizuri ujue kwanza kilichonikuta mimi kabla sijaanza kupata faida.Kuna mwenzako humu jf anaitwa anaitwa CCNP ENGINEER alikua anasema anapiga sio chini ya ma million kila wiki huko FOREX mara paap kafungua thread anaomba ushauri anataka kukopa mil 5 aache kazi akafanye ujasiriamali,hahah
We ndo unyooshe kiswahili vizuri.Nyoosha kiswahili mamilioni kwa siku? nadhani umeongeza chumvi, halafu huyo alikuwa muongo tu, FOREX is not for everyone hebu soma vizuri ujue kwanza kilichonikuta mimi kabla sijaanza kupata faida.
Anhaa,uki gain ume gain Hakuna anaye loose, ni pesa yako imezaa, na Broker naye ana gain 12% ya pesa yako uliyotumia ku trade, mfano $5 per single trade wewe unapata $4 na Broker $1,uki loose Broker anakula yote $5,FOREX tamu Sana hakyanani.
kama ni hivyo ukiloose broker anashangilia kinyama yaan!!!!...uki gain ume gain Hakuna anaye loose, ni pesa yako imezaa, na Broker naye ana gain 12% ya pesa yako uliyotumia ku trade, mfano $5 per single trade wewe unapata $4 na Broker $1,uki loose Broker anakula yote $5,FOREX tamu Sana hakyanani.
Forex hata usome vitabu 100 bado utaloose tu, haina ujanja...movement ya chart ya forex haina uhusiano wowote ule na vitabu wala formula zake dijui fibbonaci, Moving average zote ni fake..nimesoma vitabu,kufanya reseach muda mrefu na kuistudy movement ya chart nimejridhisha forex ni kamari....Full stop forex haina ujanja wowote zaidi ya kubahatisha tu!!!Mkuu Deadbody Forex ilikuwepo kabla hata Ontario hajazaliwa, Forex ipo na itaendelea kuwepo. Wenye akili zao zilizotulia wanapiga hela na wataendelea kupiga hela. Niliwahi kuandika humu, na ninaandika tena, Forex trading is not for everyone.
Biashara ya Forex haifanywi na kila mtu, hii biashara inahitaji uelewa mkubwa sana wa mambo ya kiuchumi yanayotokea kila siku kwenye soko la fedha. Ni Watanzania wachache sana wenye akili ya kujua hivyo vitu na kuvifuatilia kwa karibu. Watanzania wengi wanapenda habari za udaku na umbea, habari za biashara za kimataifa hawazijui wala solo la fedha la kimataifa hawalijui achilia mbali misamiati inayotumiwa katika soko hili kwa Watanzania wengi ni giza nene.
Mimi nilijua tu Wabongo wengi wataanguka katika hii biashara sababu wengi kutokana na kutokuelewa mambo wanaiona Forex kama kamari, na ndivyo ilivyo, kama huna uelewa mzuri Forex trading itakuwa kama kamari kwako, lakini kama unaouelewa mzuri, Forex trading ni biashara kama biashara zingine.
Kuna watu wanavuta mkwanja na wametulia kimya kabisa.
Forex trading is not for everyone...... Unaweza kuwa umesoma vitabu na vipeperushi lakini ulichokisoma umeshindwa kukifanyia kazi husika. Movement ya chart haitoshi kukufanya upate pesa, kuna mengi sana ambayo unatakiwa uyajumuishe pamoja ili uweze kufanikiwa.Forex hata usome vitabu 100 bado utaloose tu, haina ujanja...movement ya chart ya forex haina uhusiano wowote ule na vitabu wala formula zake dijui fibbonaci, Moving average zote ni fake..nimesoma vitabu,kufanya reseach muda mrefu na kuistudy movement ya chart nimejridhisha forex ni kamari....Full stop forex haina ujanja wowote zaidi ya kubahatisha tu!!!
Ndugu Son of Gamba , usipoteze muda kubishana na mtu anayepingana na ukweli wa jambo, maana upeo wake umefika kikomo na hayuko tayari kujifunza kitu kipya.Forex hata usome vitabu 100 bado utaloose tu, haina ujanja...movement ya chart ya forex haina uhusiano wowote ule na vitabu wala formula zake dijui fibbonaci, Moving average zote ni fake..nimesoma vitabu,kufanya reseach muda mrefu na kuistudy movement ya chart nimejridhisha forex ni kamari....Full stop forex haina ujanja wowote zaidi ya kubahatisha tu!!!
Hii ndio reality kwenye FX,Movement ya chart haitoshi kukufanya upate pesa, kuna mengi sana ambayo unatakiwa uyajumuishe pamoja ili uweze kufanikiwa.
Thumbs UP!!Forex is there and it's real, if you can't afford trading it leave it but don't disappoint others for the sake of your ignorance or selfishness!
Sahihi, wakachome mkaa , mahindi au hata karanga zote ni biashara.TUMECHOKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA NEGATIVIVITY ZENU KAMA HAMUWEZI KUTRADE FOREX ACHANENI NAYO MKACHOME MKAA NAYO NI BIASHARA!
Wakalime matikitiSahihi, wakachome mkaa , mahindi au hata karanga zote ni biashara.
Sawa mkuuNdugu Son of Gamba , usipoteze muda kubishana na mtu anayepingana ukweli wa jambo, maana upeo wake umefika kikomo na hayuko tayari kujifunza kitu kipya.
View attachment 775805
Ndugu Son of Gamba soon nitatambulisha project yangu hapa JF, ili kuwashika mkono wale ambao bado hawajawa profitable trader.
Pichani ni Pairs ambazo nazitumia kwenye utafiti wangu wa mwisho.
Kuna mwenzako humu jf anaitwa anaitwa CCNP ENGINEER alikua anasema anapiga sio chini ya ma million kila wiki huko FOREX
Ndugu mng'ato umesomeka kwa hii flashbackmara paap kafungua thread anaomba ushauri anataka kukopa mil 5 aache kazi akafanye ujasiriamali,hahah
Hahah nashukuru sana mkuu MWL RCT kwa kuweka reference sahihi,hahah