Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Naomba hii post imfikie hearly akiwa anamalizia chukua mkopo wake [emoji23][emoji23]
hahaaa "" mkuu hivi umesahau kuwa Humu Jf kuna sifa ya watu/mtu"" kuweza kuwa na ids zaidi ya 5 ''' usikute huyo ndio Ontario mwenyew kaamua kiwajaza watu ujinga"" kama aliweza kufanya hivyo tokea mwanzo "" atashindwa vipi kufanya hivi kwa sasa"" maana nasikia soko lake limeyumba kiasi ...wale so called wajinga ndio waliwao "" badhi wameaanza kuwa werevu hawaibiwi
 
acheni uongo wenu...kungekuwa na njia sahihi kwenye forex hakuna mtu angechoma account....wala brokers wasingekuwepo maana na wwnyewe wangekuwa wanatrade...Forex hata upate faida leo but in the long run your going to be a loser!...Profitable trader ni wa muda tu ni kama vile biko na tatu mzuka nako kuna washindi....Mtabisha lakini Forex ni kamari......leo unawin kesho unaloose wenye bahati wana win nyingi kuliko kuloose na wenye mkosi wana loose zaidi kuliko kugai
 
Tuko pamoja mkuu. Project yako ikiwa tayari, uni-tag na mimi.
 
Kama wewe unaiona Forex trading kama "kamari" ni sawa tu maana hakuna mtu anayekulazimisha ku-trade, waache wale wenye uwezo wa ku-trade wafanye yao, na wewe nenda kafanye yale unayoweza kufanya.

Iko hivi; kama hakuna kitu unaelewa kuhusu forex trading, kwako itaonekana kama kamari, lakini kama umekaa darasani ukajifunza kuhusu forex trading na ukaelewa kile ulichojifunza na kufundishwa, forex trading hautaiona kama kamari, bali forex is an art, its a skill you need to master!

Kuna mahali niliwahi kuandika kuwa huwezi ukajifunza Forex kwa wiki mbili na ukawa profitable trader, achilia mbali wiki mbili hata miezi sita ni kidogo sana. Forex trading in mambo mengi sana, unahitaji miaka miwili kujifunza, mwaka mmoja kusoma materials na mwaka mmoja wa kufanya practical kwenye demo account. Asikudanganye mtu, kuna vitu vingi sana vya kujifunza na kufanyia mazoezi. Mkuu laki si pesa. huu ndiyo ukweli wenyewe. Tatizo Watanzania wengi wanapenda vitu vya haraka haraka, kwenye forex hakuna haraka; hakuna short-cut!
 
Angalizo

Forex sio kwa kila mtu

Forex si get rich quick scheme

Forex need skills ,patience and persavarence

Forex is high risk business(without proper skills )

Forex is the real deal( with appropiate skills)
 
Huu muda (na nguvu) unaoupoteza hapa si ungeutumia kutafakari njia zingine za kukuingizia kipato kama ufugaji, kilimo, uvuvi na shughuli zingine.

Hoja unayoijenga ni sawa na hizi dhana
  • Magari kila kukicha yanapata ajari; Hivyo usinunue gari utapata ajari.
  • Ndege huwa zinaanguka na hakuna anayepona; Hivyo tusipande ndege, makampuni yasitengeneze ndege, tuendelee kutumia safari zetu kwa miguu.
Je kwanini usichukue muda wako na kuendelea na maswala yako, Tuache sisi tuliopotea kwenye forex, tuendelee kupotea zaidi katika hii kamari, kama unavyoiita.
 
yanii news ni hapo hapo kwenye platform yako na buy position ni fasta sana enter na exist ni simple sana ni full ni wewe tu huna haja ya kufungua investng.com sijui factorforex hapana new hapo hapo. WE KEEP MOVING

 
Angalizo

Forex sio kwa kila mtu

Forex si get rich quick scheme

Forex need skills ,patience and persavarence

Forex is high risk business(without proper skills )

Forex is the real deal( with appropiate skills)
Huu ndiyo ukweli wenyewe, you have nailed it bro! Bravo!
 
Jamaa aliweka ushihuda anapiga Millioni FX baadae akaja uliza akichukua mkopo itakuaje!?.. Dah!.
 
Utapinga Forex sio kamari kwa sababu umeshakuwa addicted..addiction ya Forex haina tofauti na addiction ya betting....Hata wale jamaa zangu wa Forever living wako addicted kama wewe huwaambii kitu wakakuelewa wanawaza utajiri tu wa kufikirika...Cmon man. ....iko siku utaelewa tu na kujutia muda na pesa uliyopoteza ..jitambue ndugu umeshakuwa addicted...mi mwenyewe nimedeal sana na hii kitu nimeona napoteza tu muda kuhangaika na kitu kisichoeleweka
 
Hapa tunaeleweshana mkuu changamoto za Forex....ni kujidanganya kusema Forex ni real business ....hii ni biashara ya matapeli kuibia watu..
 
Hahah we jamaa bana kama ambavyo ulikua unamdekia barabara Lowassa kwny uchaguzi 2015 then ukaja ukamgeuka mbaya kabisaa na matusi juu naona umefanya hivyo hivyo na kwny FOREX maana moja kati ya watu waliokua wanatukana wenzao kwamba ni nyumbu na hawajui huko forex mnapiga mamilion ulikua ni wewe humu jf,hahah
 
Kumbe umemkumbuka huyo boya ndie alikuwa anapiga Promo kabla
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…