Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Laki si pesa hii screenshot unaielewa ina maana gani Hapo .

Kama hujui shut up!!!

Na wote mnaoiponda forex mnyamaze

Hamjui kitu[emoji57]
 
Huyu ni mpuuzi .

Hakuna forex trader aliefanikiwa kwa kutumia indicator .

Indicator zinaonyesha "Past Price Action"

Hakuna leading indicator

"Indicators Lag behind"

Price action ndo kila kitu[emoji57]
 
Aliekata Tamaa ni huyu laki si pesa mshirikina mteja wa mwandulami [emoji57]

Sisi tunasonga mbele[emoji123]

Hakuna kurudi nyuma .

Tumeshachoma meli moto .

Aluta continua

Afe simba afe mmasai

"Tutaelewana tu"-kwa sauti ya Dr shika
 
Aliekata Tamaa ni huyu laki si pesa mshirikina mteja wa mwandulami [emoji57]

Sisi tunasonga mbele[emoji123]

Hakuna kurudi nyuma .

Tumeshachoma meli moto .

Aluta continua

Afe simba afe mmasai

"Tutaelewana tu"-kwa sauti ya Dr shika
Twende mbereeee (in jiwe's voice)
 
Aliekata Tamaa ni huyu laki si pesa mshirikina mteja wa mwandulami [emoji57]

Sisi tunasonga mbele[emoji123]

Hakuna kurudi nyuma .

Tumeshachoma meli moto .

Aluta continua

Afe simba afe mmasai

"Tutaelewana tu"-kwa sauti ya Dr shika
Dah
 
Tapeli mwenzao the bold nae alikuwa anawalipisha watu pesa kusoma vihadithi vyake vya kukopy na kupaste mitandaoni.....hahaha toka watu wamewashtukia wamekimbia mazima haha
Wee Jamaa jinafiki sana. Huna tofauti na yuda aliyemsaliti bwana Yesu.

Juzi kati tu apa ulikuwa unapiga kelele kuhusu forex, Leo unasema ni utapeli tena.

Acha unafiki jomba, kama mambo ya mekushinda usiite watu matapeli.

Una Kichwa kibovu sana.
 
Wee Jamaa jinafiki sana. Huna tofauti na yuda aliyemsaliti bwana Yesu.

Juzi kati tu apa ulikuwa unapiga kelele kuhusu forex, Leo unasema ni utapeli tena.

Acha unafiki jomba, kama mambo ya mekushinda usiite watu matapeli.

Una Kichwa kibovu sana.
smart
 
I said this mwaka mmoja uliopita... Sasa mmeona yaliyotokea
 
hata waanzilishi wa forex mpaka leo hawaielewi.....wewe mmàtumbi uko Manzese unataka kushindana na wazungu wako New York...dah....!
 
Forex faida yake ni ya muda mfupi tu....but in the long run lazima ule hasara..!... yaani broker unampa pesa zako azicontrol halafu unashindana nae!.... Brokers wakiona traders wanapata faida wanawapigia simu wakina Soros walioko pale wall street new york ndani ya sekunde chache tu direction ya charts inageuzwa kifuatacho ni kupukutika kwa akaunti na kuwa majivu
 
mbona umekata tamaa sana mzee.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…