Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nashukuru sana mkuu.,Ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukurani mkuu,nimeelewa utaratibu wako. Tatizo langu pia ni matumizi ya hizi sijui zoom na team viewer! sijui hata zinapatikanaje kwa computer yangu wala kutumika vipi! lakini nafikiri yote yatakaa sawa likiwemo suala la muda wa hiyo zoom ukizingatia wengine during day time tunakuwa kwenye shughuli za ajira. Barikiwa sana Mkuu
 
Hao brokers nawachagua vipi
Unatazama sifa za broker unayemtaka.
Mfano:

TEMPLER
with as minimun as $1 deposit and withdraw, via mpesa, skrill.
( https://templerfx.com )

PEPPERSTONE
minimum deposit of $25, no M Pesa. Available is skrill , netteller, direct bank and other ways...
( https://secure.pepperstone.com )

TICKMILL
minimum deposit $25. wako katika majaribio ya Mpesa, na wengine tulishajaribu kudeposit kwa mpesa na ikawa poa. japo ilisitishwa kwa muda. other deposit ways available includes skrill and visa.
NOTE: ukitaka kujisajili hapa hakikisha unatumia Tickmill Seychelles, huko ndipo Tanzania ipo, Haipo katika Tickmill UK.

( http://tickmill.com/seychelles )


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo langu pia ni matumizi ya hizi sijui zoom na team viewer!
Ondoa shaka kuhusu hili.
Nitakupa maelekezo ya kina,
Kwa ZOOM Jukumu lako itakuwa ni kufungua link nitakayokupatia na utakuwa live muda huo huo baada ya kufanya installation ya zoom
sijui hata zinapatikanaje kwa computer yangu wala kutumika vipi!
Nitakupatia
- File ya ku_download na kuistall kwenye PC yako
- Jinsi zinavyotumika nitakupa mwongozo pia
likiwemo suala la muda wa hiyo zoom ukizingatia wengine during day time tunakuwa kwenye shughuli za ajira.
Hili swala la muda ndio hasa nililozingatia na kuja na huu ufumbuzi, hii ni moja
- Pili: kuna wadau (tayari nimewafundisha) wengine wako nje ya nchi mfano hai: mmoja yupo Chicago - USA na mwingine yupo china, ni nyia hii hii ya Zoom/ TeamViewer ndio zimefanikisha

- Picha ya kwanza: Ni mdau yupo USA

- Picha ya pili ni mdau wa China

- Hivyo matumizi ya ZOOM na TEAM VIEWER inaniwezesha kuwafikia hadi wadau walio mbali, mikoani au nje ya tanzania.

- Hivyo kwa kutumia ZOOM/ TEAMviewer ni swala la wewe na mimi kukubaliana ni muda gani tuwe online kufanikisha hili
Barikiwa sana Mkuu
Karibu
 
pamoja sana Mkuu, kama ulivyoshauri nimesoma babypips, na siko vibaya labda ungenishauri zaidi ni areas zipi niziwekee mkazo zaidi pamoja na you tube video link ili tukianza hii programme niwe tayari vizuri zaidi
 
na siko vibaya labda ungenishauri zaidi ni areas zipi niziwekee mkazo zaidi pamoja na you tube video link ili tukianza hii programme niwe tayari vizuri zaidi
Ukimaliza BabyPips

Pitia hizi video ZA rayner, Kazia maarifa katika hii youtube channel: Rayner Teo

Hizi video zitakupa mwanga zaidi, ila still utakuwa bado hujawa na uwezo wa kulikabili soko, huo ndio ukweli

HIZI VIDEO MBILI ZITAKUPANUA ZAIDI KIUFAHAMU.
 
naweza kujiunga? class yenu ipoje? mnapatikana wapi? vipi kuna gharama? gharama ipoje?
 
naweza kujiunga?
Ndio, Ni swala la kufanya booking kulingana na nafasi yako.
class yenu ipoje?
Online kupitia ZOOM / Team Viewer - ambapo ninawezakuwa na session ya mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja na kila mtu akiwa mahala alipo.
mnapatikana wapi?
Online one to one session
vipi kuna gharama?
Ndio
Ghalama yangu ni US $150 (sawa na TZS 360,000) kwa session moja kwa kichwa.

Mchanganuo wa muda kulinga na ufahamu wa forex wa mtu husika niliweka hapa
Hivyo utaangalia uhitaji wako ni upi? Wiki tatu 3 au Siku mbili au Masaa matatu (Session moja) - Ghalama ni moja.

KARIBU
 
hizo session ziko ngapi,na ili uwe na uelewa wa hii biashara unatakiwa usome session ngp?
 
kama mimi uhitaji wangu ni one one one training ya siku moja physically either ofisini kwangu ama ofisini kwako inawezekana kwa kuwa niko dares salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Nimekusoma Mkuu! ngoja nizipitie kwa umakini zaidi, nikiwa na swali nitakuuliza Mkuu. Ahsante sana
 
Sasa mkuu ina maana kila session gharama ni 360,000? Au iyo ni kwa session zote mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani templer atanifaa zaidi ngoja nijaribu kidogo Nipate uzoefu maana nisije nikaanza na loss kubwa
 
kama mimi uhitaji wangu ni one one one training ya siku moja physically either ofisini kwangu ama ofisini kwako inawezekana kwa kuwa niko dares salaam
Ndio inawezekana -Iwapo hauna hitaji la kufanya LIVE TRADING kwenye market kwasiku husika, Jumamosi au Jumapili ndio siku zakufaa.

Hapana haiwawezekani - iwapo unahitaji kufanya live trading kwenye market.

Sababu:
- Target ya live session ni Asian/ London session
- Timing nzuri kwenye market huwa inafanyika mapema kati ya saa 04:30am hadi 10:45am : Hapo tunakuwa tumepata sertup nzuri za kutuingizia fedha kwenye London session.
- Sasa iwapo unataka iwe physically, utaona kuwa muda ambao inatakiwa tuwe live sokoni, ndio huwa muda niko kwenye foleni kuja ofisini ili kuonanan, kimsingi hapo tunakuwa tumeonana ile manufaa kama ilivyo lengo kujifunza Timing ya kuingia sokoni .

Hivyo live session ya kutumia ZOOM ni nzuri, ni swala la kupanga kuwa darasa linaanza saa m,bili kamili asubuhi, ni swala la wewe kuwasha PC yako, una connect internet, nakupa link ya live conference na tuanaanza kuelekeza huku tukichukua live trade.

Na kizuri zaidi kila tunachokifanya kinarekodiwa na unabakia na nakala yako kwenye PC yako hapo kwa hapo. (nitakupatia software ya kurekodi somo lote kwenye PC yako)

Karibu
 
Sawa mkuu halafu umesema video za Jamaa apo juu umezieka hazina msaada wowote una maanisha nin mkuu? Sasa kuna umuhimu wa kuziangalia wakati hazina msaada wowote?
Ukweli ni huu latika forex
- Waweza kusoma mamia ya vitabui
- Waweza tazama mamia ya video za forex
Lakini mwisho wa siku BADO UTAHITAJI MTU WA KUKUELEKEZA MAWILI MATATU YA KUKUFANYA ULIKABILI SOKO VYEMA.

Mfano hai ni kwa wadau wote walio pata mafunzo toka TMT, ni wengi, ni zaidi ya 1,000 LAKINI MPAKA LEO ASILIMI 95% HAWAWEZI KUJITEGEMEA KWENYE ANALYSIS NA KUINGIA SOKONI WENYEWE. Bado wanahangaika na trading signal na wengi wao wamekwisha kata tamaa kabisa

(ANDIKA MAHALA HII SENTENSI NILIYOANDIKA KWENYE ITALIC, then fanya tafiti zako hapa JF na mtaani kwa ujumla wake)

JE UNAJUA NI KWANINI???

Utakapo ellewa ni kwanini ndio utaelewa nini nakizungumzia.

JE HIZO VIDEO NI ZANINI??? - NI KWA AJIRI YA KUPANUA UFAHAMU, UELEWA WA FOREX, Tatizo linakuja kwenyeUTUMIAJI KWA VITENDO KILE ULICHOKISOMA.

FX sio vitabu wala sio video, FX ni JINSI UNAVYOLIKABILI SOKO - Kuingia salama na kutoka salama.

Haya maandishi yana MAANA KUBWA SANA. Ukiyaelewa haya maandishi basi utanielewa kile ninachokifundisha.

Ndio sababu walegwa nimewaweka kwenye makundi matatu.
- Wanao hitaji session moja ya masaa matatu
- Watakao pata session mbili yaani siku mbili tofauti.
- Na watakao jifunza kwa wiki tatu wenyewe kupitia video nitakazo toa. Anapokuwa amemaliza hilo zoezi ndipo Tunafanya LIVE SESSION na kuona jinsi gani
1. Tunachagua Pair ya kutrade
2. Vigezo gani tunatumia
3. Vitu vya kuzingatia
4. Viashiria vipi vinakupa uthibitisho kuwa sasa ingia sokoni.

KIUFUPI MIMI NIPO KUKUPUNGUZIA learning curve katika FX, Tuna PIN point vitu ambavyo huwezi kuvipata kwenye Vitabu wala kwenye videos
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…