Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Toboa izo njia mkuu.
 
matumizi yake mkuu, kwenye trading chart
 
Jmani msaada wenu!! nimefungua demo account nilikuwa natrade vizuri tu lakini kuanzia jana nikitaka kuclose na kuopen trade inagoma pia hata chart haionyeshe price movement kuwa wanaocontrol market ni seller au buyer? nashindwa kujua nifanyeje
 
Jmani msaada wenu!! nimefungua demo account nilikuwa natrade vizuri tu lakini kuanzia jana nikitaka kuclose na kuopen trade inagoma pia hata chart haionyeshe price movement kuwa wanaocontrol market ni seller au buyer? nashindwa kujua nifanyeje
Fungua demo account kwa broker mwingine. Sababu BAADHI ya broker hutoa muda wa mwezi mmoja kutumia demo kwenye servers zao.
 
Fungua demo account kwa broker mwingine. Sababu BAADHI ya broker hutoa muda wa mwezi mmoja kutumia demo kwenye servers zao.

Kaka nimekumbuka Leo si market imefungwa that's why siwez kuopen trade mpya na kuclose existing trade ilitakiwa niclose Jana au hi principal kwenye demo account haipo??
 
Kaka nimekumbuka Leo si market imefungwa that's why siwez kuopen trade mpya na kuclose existing trade ilitakiwa niclose Jana au hi principal kwenye demo account haipo??
Upo sahihi. Sasa nimekuelewa vyema
Subiri market ifunguliwe.
 
Mkuu weka hapa tufaidike wote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…