SawaTumia PC, Nirahisi zaidi
View attachment 866242
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaTumia PC, Nirahisi zaidi
View attachment 866242
Toboa izo njia mkuu.Kutoboa forex kuna siri nzito unatakiwa ujue, na traders wengi waliofanikiwa uwa hawatoi kizembe zembe ,mfano kuna uhuni mkubwa sana unafanywa na meta trader app kusoma sana mavitabu na articles sio solution ,inahitaji Ku hustle sana kujua njia za kutoboa forex
matumizi yake mkuu, kwenye trading chartIwapo unatumia PC, weka hii indicator
View attachment 865871
1. Extract zip folder
2. Copy .ex4 file
3. Liweke hapa kwenye MT4: FILE > Open Data Folder > MQL4 > Indicator > Paste hapo, Restart Mt4 na angalia kwenye Navigator pannel utaweza kuiona hiyo ind, Then drag na iangushie kweny chart yako.
BTW - GBPUSD - H4
- Tayari imepoteza momentum, Buyers ni wachche sana.
- Soon later SELLERS will take over
Kila lakheri Ndugu katika FX
Fungua demo account kwa broker mwingine. Sababu BAADHI ya broker hutoa muda wa mwezi mmoja kutumia demo kwenye servers zao.Jmani msaada wenu!! nimefungua demo account nilikuwa natrade vizuri tu lakini kuanzia jana nikitaka kuclose na kuopen trade inagoma pia hata chart haionyeshe price movement kuwa wanaocontrol market ni seller au buyer? nashindwa kujua nifanyeje
Fungua demo account kwa broker mwingine. Sababu BAADHI ya broker hutoa muda wa mwezi mmoja kutumia demo kwenye servers zao.
Upo sahihi. Sasa nimekuelewa vyemaKaka nimekumbuka Leo si market imefungwa that's why siwez kuopen trade mpya na kuclose existing trade ilitakiwa niclose Jana au hi principal kwenye demo account haipo??
Mkuu weka hapa tufaidike woteKutoboa forex kuna siri nzito unatakiwa ujue, na traders wengi waliofanikiwa uwa hawatoi kizembe zembe ,mfano kuna uhuni mkubwa sana unafanywa na meta trader app kusoma sana mavitabu na articles sio solution ,inahitaji Ku hustle sana kujua njia za kutoboa forex
Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue! - JamiiForumsAisee, nami nahitaji shule. Naomba contact yako.
yupo kwake anapiga pesa.
Ndo hivyo forex is simple if you have time to read thoroughly and patiently.Hahahaaaa
Au ndo utakuwa wewe mwenyewe nini
Ndo hivyo forex is simple if you have time to read thoroughly and patiently.
Wait until it's too late anyway next month naanza live trading pray for me.HAHAHAAAAA
NIKI CHOKA KUBEBA MABOX HUKU NILIKO MIAKA YA MBELE NTAKUJA KUSOMA MKUU, NITUNZIE NOTES....
Hii picha ya pili sio yake,Bado tuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa Jeff, ONTARIO, Angalia mambo anayofanya kwenye FX, Picha ya kwanza ni Tuzo aliyopata toka kwa broker hotforex
View attachment 867966
View attachment 867967
FX is real na kweli watu wanapiga pesa.
sijaelewa swali? picha ya pili siyo kivipi yani ulitaka uone sura kwenye account?Hii picha ya pili sio yake,
Kwani mimi nimeuliza swali?? nimetoa ufafanuzi kulingana na ushahidi nilionaosijaelewa swali? picha ya pili siyo kivipi yani ulitaka uone sura kwenye account?