Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
Hv JPM kwa maamuzi yake hawezi kuinfluence dola kweli!?Kama hutatajirika wakati wa Trump, basi atakayekuja mwingine anaweza asiwe ana manipulate soko kama trump..
Nasubiri impeachment ya Trump, ntacheka..
Thank you nigger. Akubariki na wewe uifanye forex.God bless u mkuu
No. Never. Tanzania is very insignificant kwenye global trade. Hata South Africa pamoja na ukubwa wake haiwezi kuinfluence Dola. Labda currencies za nchi husika.Hv JPM kwa maamuzi yake hawezi kuinfluence dola kweli!?
Yeah. Msingi wa biashara alikopeshwa kwa mzee wangu, alikuwa anakujaga sana home enzi niko mdogo.... Teh!Mhahahaha unamfahamu huyu bwana?
Pole sana. Ukiwa nyumbani uanze kujisomea mdogo mdogo. Hata ukikosa kwenye hiyo list ya hao 300 bado unaweza kuomba nafasi ya upendeleo.Hapana, bado mwanafunzi so kusafiri mpaka semester iishe na jamaa sijui kama atakuwa anatuma video Youtube ...
Unajua Maana ya Money Markets Mkuu au Ni Moja ya Mbumbu wa huu Upande!Hoja yako imekuonesha jinsi gani ulivyo mburura kwenye huu uwanda.
Nisaidie, Forward Contract zinaingiaje kwenye Forex?
Nipe mwanga. Forward Contracts zinaingiaje kwenye Forex? Najua zinaingia kwenye Options and Futures. Ila elezea kwenye Forex.Unajua Maana ya Money Markets Mkuu au Ni Moja ya Mbumbu wa huu Upande!
Sasa money market na currency trade wapi na wapi... wewe unaongelea t-bills.. commercial paper.. fixed deposit.... wewe huku sio mahali pako nena siasaniUnajua Maana ya Money Markets Mkuu au Ni Moja ya Mbumbu wa huu Upande!
Dah, Ww ontario ni mtu wa pekee sana..Boss siwezi nikaongea mengi sana lkn cha msingi ni kwamba huwezi ukawa infant trader afu ndani ya siku 1 ukajua kila kitu. Yani kuna details nyingi siwezi kuzitoa kuepusha watu wanao kurupuka.
Ukitaka kujua ulivyo na pupa rudi kwenye post yangu, utaona nimeweka hata visa card ya broker wng, sasa sijui unaongea nini kwamba naficha information. Ungekua japo uko smart wala usingelalamika kua natumia platform gani kutrade.
Afu katika vitu ambavyo nimekushangaa ni kua unataka nikwambia kiasi nikichovuna. Boss! Hatujisifii pesa ama utajiri, ni mtu aliyebahatisha kua na pesa ndio utaona anatangaza utajiri wake, tunakua proud kwa knowledge tuliyonayo si pesa boss. Am not here to sell dreams my boss, am here to transform knowledge into wealth. Ukiona mtu anasujudia pesa jua hana knowledge.
Hamna namna kaka, acha tulime tuu,Nimepitia kurasa nne tu.for sure watu kama mimi wavivu wa kusoma vitabu.hapa si mahali sahihi kwa pesa zetu.NTAENDELEA KULIMA HAKUNA NAMNA
Hii ndo link kaka ya WhatsApp GROUP ...? Je kuna mentor..? Au n kipofu kumwelekeza njia kipofu mwenziee...? Au n utaratibu upi mnatumia.. ?
Hata mm nmefungua demo kabla ya huu uzi, yani ni kichina, bora hata nikanunue hisa nilaleAisee nimefungua demo acc forex.com,naona maruweruwe tu,ila kutoka chapter one ya currency trading nimejifunza kufatilia news,ila hii ishu ni very complicated,ila ntaijua tu.
Study group mkuu,tunajifunza kwa pamoja tukimsubiri ontarioHii ndo link kaka ya WhatsApp GROUP ...? Je kuna mentor..? Au n kipofu kumwelekeza njia kipofu mwenziee...? Au n utaratibu upi mnatumia.. ?
Nakushauri anza kuisoma hii thread mwanzo kbs hutapata shida.Hii kitu inahitaji capital ya kutosha inavyoonekana