Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Yaan kama hv
Screenshot_2018-10-11-09-43-58.jpeg
 
Bas plz nipewe elim hiyo
1. Tafuta kijidaftari, cha kuandika nukuu muhimu.

2. Soma kwa kuelewa sio kwa kumaliza kwenye hii link: Learn How to Trade the Markets kuna kila kitu unachotakiwa kukijua ( Kwa uchache ndani ya miezi miwili utakuwa vizuri kinadharia zaidi kuhusu FX)

3. Iwapo kuna kipengele hakieleweki tumia google/youtube kupata ufumbuzi

4. Baada ya kuwa umemaliza babypips waweza kunitafuta kwa ada ya TZS 360,000 ili tuingie kipengele muhimu CHART na trick zake. (Forex ni CHART/ entry Timming) Pichani ni chart yangu na vimitego vyeke.
1539241189117.png


Hivyo vimetego kwenye chart matunda yake kwa asubuhi hii ni haya pichani
1539241292970.png
 
Hellow,!! Wote tunajua weekend fx market inakuwa closed , means huwezi kutrade , lakini kupitia broker pekee anayeruhusu kutoa na kuweka pesa yako kupitia M-pesa namzungumzia
Templer FX Trader pia unaweza kutrade weekend na ukatoa faida yako muda huohuo , unaweza kutrade pair Kama ya BTCUSD, LTCUSD NA XRPUSD , Chakufanya fungua account ya unversall live acc .
 
habari zenu wataalam kitambo sana nipo bize na charts ila worth while si haba
 
Kuna mtu aitwa Steve, mwandishi wa kitabu cha 012 Effect, ametoa ofa ya kufundisha Elliot wave, kwa gharama ya Tsh. 45.000/=, kama kuna mtu yuko interested, anaweza kujoin group hili la whatsapp, kwa taarifa zaidi.

012effect...elliot wave.

Anasema atafundisha kila siku saa3 usiku, kwa kupitia webnars. Na pia kutakuwa na market looks, kucheck kile ambacho kimefundishwa.
1728795924.jpeg
 
No. Kwa France ni poa zaidi. Mana ni kampuni, unaingia mkataba nao then unadeposit minimum $1000 kupitia bank then wanakutumia faida every month, nadhani kupitia bank... Nadhani na Steve anatumia utaratibu huo.
Ukipata hasara au kuchoma account inakuwaje?.. wana kurefund?
 
Ukipata hasara au kuchoma account inakuwaje?.. wana kurefund?
That's where the contract comes in... Mkataba wao utakuwa umeeleza kila kitu... But to answer easily, yes. Lakini hawatokurefund 100% of the capital...

"If you share profit, you'll share losses, too"
 
Broker Naye mkubali kwa Sasa maana anasaidia Kutoa Mpesa Na Bado unaweza deposit at $10 ukaanza kutrade fasta...Kama Hauna akaunti ni vyema uwe nayo ni Templer Fx, maana waweza Deposit na Withdraw kwa Mpesa ata Kama siku imeangukia Christmass ,au Nyerere day kwao hakuna Cha Weekend Transaction ni any time waweza withdraw $1 kwa ajili ya vocha na itakufikia kwa Airtel Money au Mpesa Hapo hapo.. na ukifungua akaunti akikisha unatumia UNIVERSAL ACCOUNT , na verify kitambulisho chako kabla ya deposit piga Picha ( Driver licence, Voting ID au National ID) link ndiyo iyo
https://tinyurl.com/y96fbk2s
 
Broker Naye mkubali kwa Sasa maana anasaidia Kutoa Mpesa Na Bado unaweza deposit at $10 ukaanza kutrade fasta...Kama Hauna akaunti ni vyema uwe nayo ni Templer Fx, maana waweza Deposit na Withdraw kwa Mpesa ata Kama siku imeangukia Christmass ,au Nyerere day kwao hakuna Cha Weekend Transaction ni any time waweza withdraw $1 kwa ajili ya vocha na itakufikia kwa tigopesa au Mpesa Hapo hapo.. na ukifungua akaunti akikisha unatumia UNIVERSAL ACCOUNT , na verify kitambulisho chako kabla ya deposit piga Picha ( Driver licence, Voting ID au National ID) link ndiyo iyo
https://tinyurl.com/y96fbk2s

Nasikia anatengeneza fake candles ili kuhunt stop loss, anapunguza pips

Na kuhusu tigo pesa ni kweli ipo? maana najua ana mpesa na airtel money
 
Nasikia anatengeneza fake candles ili kuhunt stop loss, anapunguza pips

Na kuhusu tigo pesa ni kweli ipo? maana najua ana mpesa na airtel money
Ukipata screenshot ziambatanishe hapa.... Lakini nimetrade nao.... Kwa uzuri wasiwasi nasijaona fake candles, kwa Pesa ni Mpesa Na Airtel Pesa pekee tigopesa hakuna... Nimeenda mlama hapo
 
Ukipata screenshot ziambatanishe hapa.... Lakini nimetrade nao.... Kwa uzuri wasiwasi nasijaona fake candles, kwa Pesa ni Mpesa Na Airtel Pesa pekee tigopesa hakuna... Nimeenda mlama hapo

Bro nimesikia tu so siwezi kukupa hiyo screenshot.
 
No. Kwa France ni poa zaidi. Mana ni kampuni, unaingia mkataba nao then unadeposit minimum $1000 kupitia bank then wanakutumia faida every month, nadhani kupitia bank... Nadhani na Steve anatumia utaratibu huo.
Hiyo kampuni yao inaitwaje!? Na nikitaka kuwapata nawapataje!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom